Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 1,312
- 1,481
1.hakikisha una mmudu
hakuna kitu kinacho mvutia mwanamke/kinacho mshawishi mwanamke kuamua kuolewa au kuishi na mwanaume zaidi ya tendo la ndoa
Yale Mambo ya vyakula sjui out nyingi magari fedha havina maana Kama mwanamke hatosheki kwenye swala la ngono
Kwa maana hiyo unapo amua kuishi na mwanamke hakikisha unaowaa mwanamke ambaye unajua una mmudu kitandani kwa mda wote ambao utakuwa nae kwenye uzima na ukamilifu wako uta dumu nae
Kinyume nahapo wazee wa mjini msingi kiuno watakula Sana pesa zako. wataingia saana chumbani kwako. wata tumia Sana magari yako. na watakujua nje ndani baada ya kumjua mkeo.na uta rea Sana watoto zao bila kujua
2.Usiangalie Jana
Mwanamke nikama mtoto kadri anavyo kosea naku kemewa ndivyo anavyo hisi anaonewa na huchukua mda kugundua kwamba alikosea.
wako hivyo mama zetu
Sasa ufanyeje ili asikosee
Kama ulikuwa na tabia ya kumpa majukumu frani na Ana kosea Mara kwa Mara unacho takiwa kufanya nikuya beba majukumu hayo au kumtafutia wa kumsaidia majukumu hayo hakina kitu mwanamke hujiskia vibaya Kama akigundua unajua hajui majukumu yake
Na maa nisha kwamba Kama hajui kupika wali nyama vizuri kwa mfano lakini.
Basi mtoe out nenda nae hoterini au mgahawani wanapo pika chakula kizuuri agiza wali nyama Kisha baada ya kula muulize vipi umekionaje chakula?
Wana wake wanawivu Sana
ataitikia kwa shingo upande nikizurii huku akinyenyua midomo lakini wewe usijari
Mwambie hivi Huwa navutiwa na walinyama wa hapa. najinsi wahudumu wanavyo nihudumia kwa heshima.
Kama. kuni nawisha,usafi,na kauri nzuri. lakini pia chakula Chao ni chakiwango.
baada ya hapo get back home with her
uta jionea atakavyo change
3.acha kumchunguza
Kumchunguza Sana mwanamke humpa hakiri na kibuli Cha kuto kuja kuachika
na pia kadri unavyo mchunguza ndivyo unavyo mpa hakiri za kujua nijinsi gani akifiche anacho kuficha/unacho taka kukijua
Sasa uki gundua wife ana cheat fanya hivi
Unapotoka kazini mletee vocha mwambie nime ku nunulia vocha sababu najua una chat sana/unaongea Sana na simu hata nikiwa sipo
Kumbuka kuzungumza haya huku ukiwa Kama unatania/muonekano wa kutania
na vyovyote ata kavyo kujibu badiri story
kwenye hakiri yake atagundua kitu kitakacho Leta matokeo mazuri kwenye ndoa yako
4.ishi na mkeo Kama rafiki
Zile Mambo za ubaba kukunja sura kununa mikausho mikali wanaita.
vina mnyima mwanamke Uhuru wa kujieleza anavyo hisi
Mwisho wa siku unaanza kuzikuta siri za ndani kwamajirani.
kwani mwanamke si mvumirivu wa kuyatunza maneno kama hana pa kupumulia
mpe Uhuru wa kuzungumza nawewe ili ujue Nini anakiwaza itakusidia kui tengeneza kesho yenu nzuri na mkeo
5.jitambue
Jitambue kwamba wewe ni mwanaume na una mke Kila kitu kina kutegemea wewe
maji,umeme,chakula,mavazi, vyote vipo chini yako
*Usiingie ndani umelewa Hera ya kula huna
*Usiingie ndani uka mwambia mkeo nimebeti nimeliwa mpaka Hera ya kula Sina
*Chunga maneno machafu uwapo mbele ya familia yako kwani matusi hudumu kwenye mioyo ya watu
Mwisho
Unapo amua kuowa Kuna Mambo/tabia za zamani inabidi uzikatae kwani tayari umekuwa father so una paswa kuwa mfano
Baba haingii disco/night crub
Baba hachezi kamali
Baba hapigani/kutukana hovyo
Baba haipaswi kuonekana amelewa au kuvuta sigara mbele ya familia yake
Baba ni kichwa Cha train kwenye reli mke na watoto Nima behewa
so be good.,
hakuna kitu kinacho mvutia mwanamke/kinacho mshawishi mwanamke kuamua kuolewa au kuishi na mwanaume zaidi ya tendo la ndoa
Yale Mambo ya vyakula sjui out nyingi magari fedha havina maana Kama mwanamke hatosheki kwenye swala la ngono
Kwa maana hiyo unapo amua kuishi na mwanamke hakikisha unaowaa mwanamke ambaye unajua una mmudu kitandani kwa mda wote ambao utakuwa nae kwenye uzima na ukamilifu wako uta dumu nae
Kinyume nahapo wazee wa mjini msingi kiuno watakula Sana pesa zako. wataingia saana chumbani kwako. wata tumia Sana magari yako. na watakujua nje ndani baada ya kumjua mkeo.na uta rea Sana watoto zao bila kujua
2.Usiangalie Jana
Mwanamke nikama mtoto kadri anavyo kosea naku kemewa ndivyo anavyo hisi anaonewa na huchukua mda kugundua kwamba alikosea.
wako hivyo mama zetu
Sasa ufanyeje ili asikosee
Kama ulikuwa na tabia ya kumpa majukumu frani na Ana kosea Mara kwa Mara unacho takiwa kufanya nikuya beba majukumu hayo au kumtafutia wa kumsaidia majukumu hayo hakina kitu mwanamke hujiskia vibaya Kama akigundua unajua hajui majukumu yake
Na maa nisha kwamba Kama hajui kupika wali nyama vizuri kwa mfano lakini.
Basi mtoe out nenda nae hoterini au mgahawani wanapo pika chakula kizuuri agiza wali nyama Kisha baada ya kula muulize vipi umekionaje chakula?
Wana wake wanawivu Sana
ataitikia kwa shingo upande nikizurii huku akinyenyua midomo lakini wewe usijari
Mwambie hivi Huwa navutiwa na walinyama wa hapa. najinsi wahudumu wanavyo nihudumia kwa heshima.
Kama. kuni nawisha,usafi,na kauri nzuri. lakini pia chakula Chao ni chakiwango.
baada ya hapo get back home with her
uta jionea atakavyo change
3.acha kumchunguza
Kumchunguza Sana mwanamke humpa hakiri na kibuli Cha kuto kuja kuachika
na pia kadri unavyo mchunguza ndivyo unavyo mpa hakiri za kujua nijinsi gani akifiche anacho kuficha/unacho taka kukijua
Sasa uki gundua wife ana cheat fanya hivi
Unapotoka kazini mletee vocha mwambie nime ku nunulia vocha sababu najua una chat sana/unaongea Sana na simu hata nikiwa sipo
Kumbuka kuzungumza haya huku ukiwa Kama unatania/muonekano wa kutania
na vyovyote ata kavyo kujibu badiri story
kwenye hakiri yake atagundua kitu kitakacho Leta matokeo mazuri kwenye ndoa yako
4.ishi na mkeo Kama rafiki
Zile Mambo za ubaba kukunja sura kununa mikausho mikali wanaita.
vina mnyima mwanamke Uhuru wa kujieleza anavyo hisi
Mwisho wa siku unaanza kuzikuta siri za ndani kwamajirani.
kwani mwanamke si mvumirivu wa kuyatunza maneno kama hana pa kupumulia
mpe Uhuru wa kuzungumza nawewe ili ujue Nini anakiwaza itakusidia kui tengeneza kesho yenu nzuri na mkeo
5.jitambue
Jitambue kwamba wewe ni mwanaume na una mke Kila kitu kina kutegemea wewe
maji,umeme,chakula,mavazi, vyote vipo chini yako
*Usiingie ndani umelewa Hera ya kula huna
*Usiingie ndani uka mwambia mkeo nimebeti nimeliwa mpaka Hera ya kula Sina
*Chunga maneno machafu uwapo mbele ya familia yako kwani matusi hudumu kwenye mioyo ya watu
Mwisho
Unapo amua kuowa Kuna Mambo/tabia za zamani inabidi uzikatae kwani tayari umekuwa father so una paswa kuwa mfano
Baba haingii disco/night crub
Baba hachezi kamali
Baba hapigani/kutukana hovyo
Baba haipaswi kuonekana amelewa au kuvuta sigara mbele ya familia yake
Baba ni kichwa Cha train kwenye reli mke na watoto Nima behewa
so be good.,