Pole Sana ila wanaume ni viumbe fulan kama simba mwenye njaa hua anatafuta kila namna yakuwinda kitoweo akishawinda anakula anashiba anatulia, huyo mwanaume alitaka kupita tu, yawezekana uko vizur kila sekta ila huyo mwanaume alitamani mchezo tu asepe na pia ujifunze jaribu kumchunguza mwanaume kwanza ili ujiridhishe mana wengine waume Za watu hawavai Ata pete mwisho wa cku anakudanganya atakuoa kumbe anafamilia yake, wanaume wakat mwingine mnawafanya wanawake wawe na roho mbaya katika mahusiano sasa wik, 2 ushapata mzigo afu umepewa akiwa na Iman kapata mume afu unazima moto gafla, unahis huyu bint akijakupata mwenye malengo atamwamin Tena, dada tulia sasa omba mungu wako akupe ubavu wako afu pia jitahid kumsoma mtu ujiridhishe kabla yakuanza mahusiano mapya Hawa ndio wanaume wa digital cm ikishaisha Chaji na namba ya demu wake anaidelete wanaume mungu anawaona!!!