mudushi
Senior Member
- Oct 19, 2010
- 151
- 84
Ndugu zangu wanaJF poleni na Mihangaiko ya kila mara na haya na yale yanayoendelea humu kwetu. ni upepo utapita tu.
Mwaka jana nilipost humu jamvini thread kuomba msaada wa tiba ya nguvu za kiume. Kwa kweli ni tatizo lililonisumbua kwa muda mrefu. Sikuwa naweza hata kusimamisha kwa dakika. Kabla ya kuja jamvini nilikuwa nimetembea kwa waganga wengi mnoooo. Nilikula dawa zao za kutosha. Nilienda Mwanza, Arusha, Mbeya, Kenya, DSM, Dom na kwingine kwengi tu. Sikupata hata nafuu kidogo. Nilipokuja humu jamvini nilipata ushauri na hata waganga wengine walinialika nitumie dawa zao kwa kunihakikishia kuwa ni tiba sahihi kwa 100%. Sitawataja kwa sababu ya maadili na kwa kuwa wako kazini na kwa kuwa nimekujatoa ushuhuda. Ukweli ni kuwa nimenunua hizi dawa za hawa waganga nyingine kwa Tshs, USD, rand n.k na nilizitumia kwa uaminifu mkuwa kabisa. Tofauti na nilivofikiri kwa kweli ckupata nafuu hata kidogo.
Kuna jamaa mmoja alinitonya kuwa nenda hispital umwone Dr wa hiyo issue yako. Niliamua kwenda MNH ingawa kwa aibu kubwa mnooo. Wakati najieleza Dr alikatisha maelezo yangu akaniuliza km nna sukari, pumu, k/kikuu nk. Nikamwambia hapana, tatizo langu ni hili hapa. Akaniambia kapime hivi haafu ulete majibu, ckujua ninini. Nilienda kwa vipimo nikachukuliwa damu baada ya muda nikapewa majibu na nikauliza walipima nn. Mtaalamu wa vipimo akaniambia alipima hormones mwilini bac nikarudi kwa dr. Dr baada ya kupitia majibu akaniambia hormones za kiume (testosterone) zimeshuka. Nikamwambia sasa? Akajibu zipandishe. Akaniandikia dawa za miezi mitatu. Kwa kweli nilitumia dawa kuanzia mwezi August 2012 na kufikia september mambo yalianza kubadilika kabisa na mpaka sasa natoa ushuhuda mm ni mwingine kabisa. Sasa nazingatia mlo na mazoezi (gym).
Ushauri wangu kwa wengi wenye hii issue ni kuwa nendeni hospital mkajue ni nni hasa tatizo ndo muanze tiba. Najua Waganga wa humu JF hamtaipenda hii lakini tukubali ukweli, ili watu wasipoteze muda na pesa nyingi km mm nilivofanya.
Mudushi
SHUHUDA ZA WADAU WENGINE WALIOFANIKIWA KUPONA TATIZO HILI
NILIACHA KUJICHUA, NIKABADILI LISHE NA NIKAZINGATIA MAZOEZI. NILIACHA SEX KWA WIKI 3Habar ndugu zangu shkamooni wakubwa kiukweli mm. Nilikua mmoja kati ya wanachama wa (CHAPUTA) nilishiriki tangia 2010 kipindi nipo form 4 na kueza kuacha rasmi mwezi wa 6 mwishon mwaka huu 2018
Kiukweli nilikua mtumwa kwa kipindi. Chote nilifika kipindi hata Mara 3 kwa siku nafanya nilikua memba wa porn sex zote na ukizingatia wanawake nilikua nao ila nilikua sina hata ham nao na nikimis sex ni lazima nianze puunyeto wakat dem yupo njian ata nikianza nao mm nakua natafuta bao LA pili na mechi wanaisoma
Niliendelea na huu mchezo hadi nilipoamua kusema nauacha hapo sijaona madhara yoyote zaid ya mwili kuchoma kuumwa kichwa mgongo ila hata hivo nilishindwa nikarudia kwasababu ugonjwa huu kwangu sikuweza kupisha nikikaa camp akipita mdada anavutia mm nyeto Instagram gigy kakaa uchi nyeto
Kiufup utumwa huu uliniathir mno nikaamua kuacha tena kwa Mara ya 2 hata week sijafika nikioga sitok nikill mafuta hata mate tu mm najirizisha
Sasa imefik kipindi nimeamua kua na mchumba adi nimeposa na nikaacha wanwake wote still nyeto sikuacha
Sasa hapo nikawa nishaanza kuona athari maana nikionana na mchumba wangu nafika kileleni sekunde tu na siwez simamisha tena na ikisimama ndan ya uke husinyaa aibu ilioje kwa Mara ya kwanza nikasingizia nimechoka Mara nyengine Yale Yale kwaio nikatunga uongo wa kudumu kua naumwa na manyama kwaio akaamini kwasababu magonjwa ya manyam yanajulikana kua misuli ikikaza huwez kusimamisha wachezaj mpira wanayajua hali hii ndo ikasababisha niache puunyeto kwakuogopa aibu na ukiZingatia naingia kwenye ndoa soon
Nikaamua kuacha huu ujinga nikaanza kutafuta Tiba mitandaoni maana ni ngumu kumhadisia MTU ndio nikaona post nyingi zinazohusu nguvu za kiume zinatoka humu jf nikaamua kujiunga na kusoma tiba ata ukiangalia lini nimejiunga utaona kama mwezi
Nilipata madoctor wengi wa maela mengi nikajarib kuongea nao ata punguzo ila ikawa ngumu basi nikaona nifate maelekezo ya baadhi ya page kula matunda mbogamboga na kufanya mazoez ya viungo bila kusahau mazoez ya kengel Yale yakubana mkojo
Huwez amin nikaanza kijiskia tofaut na nilistope sex kama week 3 nafanya mazoez na nilimueleza mchumba wangu kua nafanya mazoez ya manyama. So kaelewa nimeliza juzi baada yakujiona tofaut nikasema. Nisex
Aaaah mungu mkubwa sasa kazi imekua kubwa kwa mchumba haelew zaid ya kusema baby umepona
Saiv ni zaid ya mwanzo nasimamisha bila ya kuchoka uume umerefuka na una nguvu tele nachelewa kukojoa na nainjoy
Jamani puunyeto ni mbaya tuache wanaoendeleza na waloathirika njoo inbox nikupe formula ya matunda na mazoezi no bureeeee asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
NILITUMIA MATIBABU HAYA. SASA NIPO VIZURI
Habarini wana JF wote natumaini muwazima nisiwe nastori nyingi niende mojakwamoja kwenye mada
Naomba kama ulikua muathirika wa Nguvu zakiume kutokana na Punyeto au maradhi yoyote naukapona naomba uweke mrejesho wadawa uliotumia ukapona tatizo hilo
Nikianza na mimi, nilikua mpiga puchu mzuri ila nilikua Niki mix napapuch kwamwenzi Mara mbili
Matibabu yalionisaidia
1)Mbegu za maboga (punje 10×2)
2) Ungawasoya (asubuhi na jioni kijiko kimoja kila nikinywa chai au uji)
3) Matikiti maji nakula pamoja na mbegu zake wiki ×4
4 Mazoezi ya kegel (asubuhi na jioni)
5) Maji Lita Moja kila siku
6)Asali ya nyuki wadogo nachanganya navitunguu maji vilivyo kanguliwa kila siku jioni nakula kijiko kimoja na asubuhi
+++NAKARIBISHA WENGINE WATOE USHUHUDA LENGO KUOKOA NDOA ZAWATU++
PIA SOMA
NILIGUNDUA TIBA NI KUJIAMINI
Naomba nianze kwa kujitambulisha,
Mimi ni kijana mwenye umri zaidi ya miaka 30, fani yangu ni Udaktari. Nimetanguliza hayo ili mnielewe vizuri nitakachoelezea hapa maana ni kitu kilichonisumbua na kukifatilia kwa mda mrefu sana, nitajitahidi kuelezea kwa kifupi kadri niwezavyo.
Kama kawaida, vijana wengi tunazama kwenye ule mchezo wetu pendwa, (CHAPUTA). Nami nilikuwa muathiriwa tangu nilivyoanza kidato cha kwanza. Pia nilikuwa muoga sana kwa wanawake (domo zege) hili ilinisababishia kuwatamani na kumalizia haja zangu bafuni. Mwanamke wa kwanza kukutana naye nilikuwa Chuo, mwaka wa tatu na nilimaliza kabla ya kuingiza.
Sasa hapo ndipo nilipojigundua nina tatzo kubwa hivyo nahitaji msaada, na kwa vile nilikuwa kwenye fani husika nilijitahidi sana kutafuta nondo zinazohusu matatizo hayo. Kwa kufatilia kwangu kipindi hicho na sasa, niligundua mambo mengi sana yanayohusiana na nguvu za kiume, kuna sababu nyingi zinasababisha tatizo hili hivyo mtu kabla hujaanza kutafuta dawa kwanza tafuta sababu, ukishaijua ndipo uifanyie kazi.
Nikipata muda nitaelezea sababu zote hapa ili kila mwenye tatizo ajikague na kujipima mwenyewe maana wengi tunaogopa kwenda Hospital. Kiukweli kabisa, Punyeto haisababishi tatizo la nguvu za kiume. najua kuna watakaopinga maana hata mie nilikuwa mpingaji lakini nitatoa mifano. Unaposema kitu fulani kinaleta madhara fulani basi kila atakaefanya hakikisha anapata madhara hayo.
Kwa mfano unaposema ukijikata na kisu unatoka damu, hapo kila mtu akijikata atatoka damu, ukisema ukilala bila chandarau unapata malaria au mbu anasababisha malaria je ni kweli kila anaelala bila chandarua au uking'atwa na mbu unapata malaria?
Hapo tunajua sio kweli mbu hasababishi malaria hvyo tunasema, plasmodium ndiyo anasababisha malaria maana kila atakayekutwa na kijidudu hiki basi atakuwa na malaria ila sio kila aliyeng'atwa na mbu atumie dawa ya malaria. Kwa mfano huo utakuwa umenielewa.
Nami baada ya kugundua hilo nikajipa moyo, nikaanza kupambana kujua tatizo. Baada ya kuoa, (mke wangu) akawa mwanamke wa pili kukutana naye, na ilichukua wiki kufanikiwa (naye ilikuwa mara ya kwaza) ila sikukata tamaa nikaendelea kujipa moyo huku nikitoa ahadi mbali mbali kwa mke wangu.
(Jaman kumbukeni nafupisha ili story iwe fupi)
JE, SASA NIMEPONA?
Hapa ndipo paliponifanya nifungue ID mpya na kuandika hili, maana kunafaida itapatikana. Baada ya kusoma sana na kujikagua ili tatizo langu linasababishwa na nini nikagundua kuna aina mbili za Homoni zikizidi katika mwili wa mwanaume anauwezekano wa kupata tatizo ili, nikajipanga kwenda kupima ila sikutaka wenzangu wajue, kila ninapopafikiria kwenda naona kama kuna watu wananijua, nitafanyaje?
Miongoni mwa sababu iliyonisukuma kupima homoni ni hapa kazini palikuwa na muhudumu alinivutia sana na alikuwa karibu sana na mimi sasa kila nikiwaza naona nitaumbuka, huyu anaweza kusimulia wenzake maana wanawake wa siku hizi hawana siri (Kumbuka mke wangu alikuwa asharizika na hali yangu kwa muda wa zaidi ya miaka mitano)
Sasa huyu binti nimwite 'Jully' Alikuwa anakuja mara kwa mara Ofisini kwangu hadi tukaomba awe muhudumu katika ofisi yangu na tukakubaliwa kwa muda. (Kabla hawajatushtukia sasa wamemuhamisha) na huyu ndio aliniponya
Ilikuwaje? Endelea...
Siku hiyo baada ya kumaliza wateja wote tukabaki wawili tu, (ilikuwa weekend, nusu siku) bila kutarajia tukajikuta tumeshakumbatiana na kupakatana yaani hadi kulambana huku nikiwa na hofu ya hali ya juu, ghafla nikamwona mtoto anataka kuvua nguo, ikabidi nimzuie kwa kisingizio nilikuwa sijala tangu asubuhi hivyo sitaweza kitu, kwa bahati nzuri naye akanielewa, tukaanza kupanga sehemu ya kukutana.
Yaani siku hiyo nilikuwa na wasiwasi kutwa, sijui hata nile nini cha kuweza kunisaidia, natamani muda usifike, Ghafla napigiwa simu, mimi ndio naenda, mara nishafika yaani nilichelewa zaidi ya masaa mawili nikabidi niende na lolote liwe.
Chumbani sasa...
Nilivyofika kama kawaida tukajikagua Afya zetu ukizingatia wote ni wataalamu wa afya, baada ya hapo ghafla Jully akanirukia baada ya majibu kuwa salama, kama kawaida yangu, nikapampu mara mbili au tatu tayari nishamaliza hoi kitandani nikabaki nikimwangalia atasema nini, nikawa nasubiria maswali huku nikitafuta utetezi wangu
cha ajabu nikamwona anafuraha na tabasamu huku akinambia asante nikatamani nimuulize umeridhizika nikasita, nikazidi kumkazia macho naye anazidi kunionyesha tabasamu.
Baadae tukazama kwenye stori kuhusiana na maisha na kunisimulia historia ya maisha yake tulitumia zaidi ya lisaa, akaanza kunisifia jinsi nilivyo huku akichezea kifua changu, ghafla nikahisi kitu kinanesanesa, nikaanza kushangaa na kutabasamu, akaleta mkono wake, kushika akaona kitu kimetuna, naye akatabasamu na kuja juu fasta. nayo haikuchukua muda nikacheua lakini sio kama mwanzo mara hii alinesanesa muda kidogo na alikuwa na spidi ya ajabu yaani nilijikuta tayari, (Yaani ilikuwa ndiyo mara ya kwanza narudi kufanya ndani ya muda mfupi, ilikuwa hadi nilale kwanza na muda mwingine nashindwa)
Mchezo bado unaendeleaa...
Baada ya hapo nikajiona nimeweza woga ukaisha, tukapumzika akanambia tukaoge tuondoke hapo sasa nikapata ujasiri wa kumuuliza kama ameridhika, akasema ndiyo nikamwambia mie bado nataka tena, (kumbe nilikuwa nazuga) akasema tukaoge anataka kuwahi.
Baada ya kuoga tukapumzika kitandani kama nusu saa huku tukinywa juisi na kuulizana hali ya mchezo, cha ajabu akawa ananisifia na kusema nipo vizuri, yaani nikajikuta nina furaha ya ajabu, huku anaendelea kunisifia na kunipapasa sehemu mbalimbali za mwili wangu.
Yaani sikuamini nilichokuwa najihisi jamaa alisimama ghafla naye hakuchelewesha akaweka maeneo,
Aisee asikwambie mtu yaani nilikamua, kila mkao, naye alikuwa na fujo, kazi kunibadilishia mikunjo tu, hadi tunafika mwisho namsikia akisema asante sana leo nimekojoa, na tulivyomaliza akaenda kuoga fasta nami nikamfata nyuma tulivyomaliza akavaa na kusepa!
Yaani nikawa najiuliza kimetokea nini, hata sielewi ikabidi nimwambie turudie ndani ya siku tatu akakubali. Safari hii nikawa naenda kwa kujiamini, kama kawaida la kwanza fasta, tukatulia, tukala na chakula, (Maana tulikuwa tumebeba kabisa tulipanga kulala hadi asubuhi) tukaenda kitandani imo, safari hii raundi ya pili nikamuona anavyokakamaa na kuning'ang'ania kwa nguvu mno nikajua ndiyo anakojoa na cha tatu hivyo hivyo!
Yaani hadi leo tumeng'ang'aniana maana kila mtu anakiri hajawahi fanya kama tunavyofanyana hivi. Yaani kuna siku naenda hadi raundi tano, hadi ananiomba msamaha, na cha ajabu zaidi, siku hizi hata punyeto siwezi tena, nikifanya nahisi najiumiza tu.
Maswali ninayojiuliza:
Je, huyu ndio kanitibu nguvu za kiume?
Kama kweli mbona ajawatibu hao alieanza nao wakawa kama mimi (kwa maelezo yake ninayoyamini mimi ni mwanamme watatu kwake, wa kwanza aliyezaa naye yupo naye kwa zaidi ya miaka ishirini ila hajawah kumtoa maji,
Wa pili ndiyo ajaweza chochote ye kimoja tu, na hajawahi kurudia hivyo akawa ananishangaa mie nawezaje kurudia.
Hitimisho
Usahihi ni kwamba, kwa maelezo hapo juu na ufuatiliaji nilioufanya, Punyeto haisababishi tatizo la nguvu za kiume ila mtu ukikubuhu kwenye mchezo huo kuna uwezekano ukaathirika kisaikolojia hivyo ikakuletea athari katika kufanya mapenzi na vijana wengi wanaopata shida hii itakuwa imesababishwa na sababu za kisaikolojia na wala sio nyingne
Nani wa kukutibu?
Hapa daktari mkubwa ni wewe mwenyewe na mwenza wako wote mnatakiwa kuonyesha ushirikiano, mwanamke usikate tamaa na kukimbilia kumlaumu mwenzako na wala mwanamme usikate tamaa kwa kujiona umeshindwa na wote kwa pamoja msiwe na haraka ya kutaka kurudia tendo.
Jamani nilikuwa na mengi ya kuelezea zaidi ya hayo ila mie sio mtaalam wa kuandika na naona maelezo mengi zaidi. Mwisho naomba mnishauri nimpe zawadi gani huyu binti kwa kazi nzuri aliyoifanya, Maana nishamnunulia kiwanja, nataka nimjengee nyumba kabisa
Naweka na kaushahidi kidogo
LISHE HII ILINIPA MATOKEO NDANI YA MWEZI MMOJAKwa miaka Mingi nilikuwa nasumbuliwa na tatizo la uume kutokuwa imara wakati wa shughuli na pia kumaliza mapema. Kwa sasa tatizo hilo limeisha kabisa kwani nakaa kifuani mpaka nachoka mwenyewe na mnara unasoma nyuzi tisini.
Nimewahi kwenda hospital moja kubwa hapa mjini nikaambiwa sababu kubwa ni msongo na kutokujiamini lakini sababu ya msongo na kutokujiamini ni kutokuwa rijali.. mwanaume huwezi ukawa usimamishi ukaacha kuwa na msongo na kutokujiamini labda kama umechagua kuwa shoga....najua wanaume mnajua ujasiri wetu upo kwenye urijali mengine mbwembwe tu.
Watu wengi wanatoa sababu ya tatizo hili ni punyeto na sababu nyingine nyingi za kutunga ila sababu kubwa niligundua ni kutokuwa na mzunguko mzuri wa damu kwenye mwili unaosababisha damu kutokufika kwenye uume vizuri.
Nini hasa nimefanya na matokeo yake ni yapi. Nimeanza kutumika asali ya nyuki wakubwa kama dozi asubuhi mchana na jioni pamoja nakula matunda sana sana tikiti maji kila jioni. Kwa hakika nimepata matokeo ndani ya mwezi mmoja.
Kwani kwa sasa nasimamisha vizuri...zile style nilizokuwa nashindwa kufanya KamA Chuma mboga kwa sasa nazimudu na furaha ndani ya maisha yangu imekuja kama mnavyojua ujasiri wa mwanaume upo kwenye urijali wake.
Mbali na hayo nimepunguza ulaji wa vyakula ambavyo ni vya wanga kama mnavyojua msosi unaopatikana kwa wingi bongo asubuhi ni mkate/ chapati/ mihogo/ supu za nyama mchana/ jioni ugali/ wali/ ndizi/ chipsi.
Ratiba yangu ya msosi ni kama ifuatavyo
Asubuhi maziwa +karanga/yai kienyeji la kuchemsha/ mchana/jioni wali/dona/njegere/maharage/maini/samaki/kisamvvu bila kusahau jioni lazima nishushie glass ya maziwa. Milo yote lazima nianze kwa kula asali kidogo ndo niendelea na mlo.
Note hapa sijaanza kufanya mazoezi Kwani mazoezi yana sehemu yake pia kwenye kujenga mwili.
Sehemu ninayoendelea kuboresha ni kuweka tangawizi kwenye maziwa plus kula vitunguu saumu kwani vyote vinasaidia mzunguko wa damu.
Wewe ni unavyokula...badili namna yako ya kula uweze kupona au kuimarika uwezo wako wa kusimamia shoo.
Kitu madaktari wamejisahau kuwashahuri watu wengi ni namna bora ya kula ili kuwa na mzunguko mzuri wa damu.
Bila kusahau matumizi ya kila siku ya asali+kitunguu saumu+tangawizi+karanga+korosho yanaweza kukuponya/kupunguza athari za magonjwa kama sukari presha shinikizo la damu na mengine mengi.
Matumizi ya wanga + na nyama kwa wingi ni hatari sana kwa afya yako.
Note. Mimi sio daktari ila maarifa yanatafutwa kwa kuamua kujifunza kutoma vyanzo tofauti.
NILIPONA KWA DAWA ZA ASILI
Habari ya sahizi wakuu, poleni na mapambano dhidi ya ugonjwa hatari unaozidi kuleta hofu nchini na duniani.
Katika harakati za maisha tunakumbana na changamoto nyingi hususani sisi wanaume. Japo changamoto zinatofautiana lakini kila mtu amekua na namma ambavyo ameweza kuziepuka.
Hapa nazungumzia changamoto tulizowahi kukutana nazo hasa katika swala la sex, hii imekua changamoto kubwa ambayo wanaume wengi huwa inatupaga stress sana hasa inapotokea kupiga shoo mbovu.
Hali hii hupelekea mabaharia wengi kupata stress na hata kujikuta kuanza kutafuta nani ni mchawi
Binafsi iliwahi kunitokea zaidi ya mara tatu kwa nyakati tofauti kupiga shoo mbovu na kuambulia maneno ya dharau. Aisee nilifedheheka sana hivyo ikanibidi nianze kuhangaika huku na huko nikitafuta suluhu maana nilijua kutakua na shida mahali.
Basi bwana katika kuhangaika nikakutanaga na mzee flani kiumri sio mzee ila age ilikua imeenda nikamuelezea akacheka sana akasema basii.
Akanipa mavumba fulani akanambia nichanganye na uji ninywe aisee ndo ikawa mwisho wa dharau kwakwel.
Je, wewe ulivyokutwa na shida kama hiyo (kushindwa kuhimili tendo la sex) ulichukua hatua gani au uliamua kuachana na hizo mambo na kufanya shughuli zingine.
Tuambizane ili wengine wainuke usingizini.