Kakole
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,094
- 1,751
Tumempiga mtu 6Hivi mechi ya leo imeisha ngapi ngapi
Tumempiga mtu 6Hivi mechi ya leo imeisha ngapi ngapi
Thank you very muchUsijali ni wajibu wa kila mwanadamu kumsaidia binadamu mwenzake kwa matatizo mbali mbali kulinda na uwezo wao na wa mwenyezi mungu pia........
Nakutakia maisha mema ya uhusiano huko utakapoenda, but kuwa makini tena sana.![]()
![]()
Heri ww ila nilichofanyiwa na mdada mwenzio sitoka nipende amenipelekea nipo kwenye wakati mgumu sana kwenye maisha yangu....
Oooooh pole sana kwa hlo...ila usihukum mtu mwingine kwa kosa la mtu mwingine....zaid ya kuwa makini tu hcho ndo nilichojifunza leo kutoka kwa dada na kaka zanguHeri ww ila nilichofanyiwa na mdada mwenzio sitoka nipende amenipelekea nipo kwenye wakati mgumu sana kwenye maisha yangu....
Anyway pole sanaaaa ila nakuomba ujifunze mapenzi hayako fair kabisaa.... Aina aja uyaishiOooooh pole sana kwa hlo...ila usihukum mtu mwingine kwa kosa la mtu mwingine....zaid ya kuwa makini tu hcho ndo nilichojifunza leo kutoka kwa dada na kaka zangu
Ndio
Unaamini kama wanaume tunatofautiana? Kama ndio njoo PMNi kwavile nilimwamin saana.
Ahsante sana......hii thread ya leo nimeipenda sana
wana jamvi wamenionyesha ni ma great sage na mimi nimejifunza kitu humu
pole mdogo wangu ila usikate tamaa wee endelea tu ivyo ivyo maana wanaume hatuelewekagi mpaka upate aliyetulia hapo ipo kazi. anayenipenda mimi ana kazi sana
Utakuwa muiraki wewe sio bure