Bahati nzuri mungu saidia nikaenda mlimali nikapata nikauza m12 nikahama hiyo sehemu jumla. Sasa kuna rafik yangu ambaye alikuwa katibu wa mwenyekiti nikampa kama posho ya m1 after kuwa ameleta mteja. Na hadi waleo ni rafik yangu na ndio kanambia kinachoendelea huko.
Huyo alobaki na meno 20 mdomoni anaomba niende nimpe msamaha after **** anaisha na familia yake karibia inaisha coz mtoto wake wa kwanza alianguka na hyo pkpk nae akawa r.i.p. Mke wake nae after kuona hayo akatoroka kwa kuogopa kuwa jamaa kaiangia kwa waganga ndio wanamaliza familia yake. Sasa jamaa yupo kachanganyikiwa na familia kwa kupitia huyo rafiki yangu katibu wananihitaji niende kumtolea msamaha coz wameenda kila sehemu kuanzia kwa waganga, mapastor, mashehe, hawa wanantembea na misalaba na mishumaa jibu ni moja tu. ATI MTAFUTE MLIYEMDHULUMU MIAKA HIYO MUMUOMBE MSAMAHA. Swaili ni nifanyeje hapo bandugu. Pale ambapo hujaelewa uliza ntakujibu.