Don`t try this kwetu bongo. Utafungwa miaka 56 na uko na 40

Don`t try this kwetu bongo. Utafungwa miaka 56 na uko na 40

Mopak

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2024
Posts
2,644
Reaction score
5,693
Ukifanyiwa uhuni na wewe lipiza kihuni. 2020 nilikuja kukamatwa kenya kisa sina passport hadi nikajaribu kuwapa laki wakakataa kuwa niwape 1m coz nimeingia illegaly hiyo ni imigration case.

Nikasema sawa wakanipeleka kituoni. Sasa kwa kawaida kituoni unatoa mkanda, viatu, simu hadi na hela unakabidhi siku ya kwenda mahakamani unapewa. Huko hela ukikabidhi wanakupa kajikaratasi kameandikwa kiasi cha hela kakiwa kamepigwa mhuri wa kituo na saini ya askari aliyekuandikisha. Siku hiyo nilikuwa na 300k na za kenya zilikuwa 8k.

Askari akaandika 300000 tzs na 8000kshs nikaamua kama mbaya na iwe mbaya nikapata kalamu mle mle ndani nikaongeza kila sehemu 0 moja moja. Ikawa 3m tzs na 80k kshs. Asubuhi sasa ocs amekuja watu tukaitwa majina ya kwenda mahakamani.

Hapo nimetulia tu nawasikilizia. Ikafika mda wa kuchukua kilicho chako. Wakanifikia kijana wawatu nikaonyesha vikaratasi vyangu vya m3tzs na 80k kshs. Acha waanze kuzunguka pesa haionekani wacha alokuwa zamu aitwe kuja kituoni mbio ==> kwa coment...
 
Inaendelea....
Wacha ocs akomalie watu hela yangu iko wapi. Tabia ya kudhulumu washukiwa wameitoa wapi. Yaani the only thing nilikuwa nasikia ni 'yes sir na afande'. Kibaya yule alokuwa zamu akaja amelewa, weee. Ocs akawa upande wangu kuwa anachotaka nipewe pesa yangu tu story zingne hataki kuzikia na mimi mda huo nikasema bila my money full mahakamani siendi. Surely nikiwaambia mahakamani sikuenda after ocs kuniambia we are sorry let us solve case ya hela kwanza na nikawa free mda wote nko na ocs nikisubiri pesa. Mpaka leo cjui zilitoka wapi nikapewa 3m na 80k ya kenya. Yaan cku hiyo nilifanya faida ya 2.7m tzs na 72k kshs mda huo yule afande amesemwa kusemwa na hapewi nafasi hata kujieleza after kuja amelewa. Mimi nikarudi zangu bongo kukata nyago nikawaacha huko wakilumbana ila nilimaliza mwaka siendi hiyo town. Na mtu asiniambie nilifanya dhambi hapo na ni tax ya wakenya nilipewa.
 
Screenshot_20260512-184332.jpg
 
Mkuu unaelewa maana ya kuweka ,(mkato) wakati wa kuandika tarakimu?
Kama aliandika kwa kutenganisha hivyo siyo rahisi uongezee sifuri ashindwe kung'amua.
bro kulingana na alivoandika yeye ndio maana nikawa na wazo la kufanya hivyo na nilifanya ili hata kama tukienda mahakamani niwageuzie kibao kuwa walinikamata after kukataa kuwapa hongo ndio wakanitoa chezea mjela jela wewe na hiyo inshu ni mmoja wa mahabusu alinisaidia ikatick baadae nikamfanyia mchakato kwa kumlipia bail ya 6k ya kenya akatoka after kwa amepgwa fine na matrafic police
 
Mkuu,lini Kenya wameanza kukamata watanzania kisa hawana passport? Mbona hiyo ni mpya kwangu.
 
Mkuu,lini Kenya wameanza kukamata watanzania kisa hawana passport? Mbona hiyo ni mpya kwangu.
hivi wewe unawajua maafande wa kenya wakijua kuna ulaji na afu rudia kusoma kiongozi it was 2020. Na hata sasa usije kujiroga ukaenda huko bila utambulisho wowote my friend nakuomba ucjiamini
 
hivi wewe unawajua maafande wa kenya wakijua kuna ulaji na afu rudia kusoma kiongozi it was 2020. Na hata sasa usije kujiroga ukaenda huko bila utambulisho wowote my friend nakuomba ucjiamini
Nimeenda Kenya mara nyingi mkuu na sina hata pasipoti ndo maana nashangaa unavyosema wewe ulikamatwa kisa huna pasipoti.
 
Nimeenda Kenya mara nyingi mkuu na sina hata pasipoti ndo maana nashangaa unavyosema wewe ulikamatwa kisa huna pasipoti.
ni bahati yako mkuu kuna boda zina ungese kweli kweli ila nakuomba usijisahau ndugu nenda kama una rafiki akusaidie ushke kitambulisho cha huko hawana nongw kama bongo and u will thank me later
 
ni bahati yako mkuu kuna boda zina ungese kweli kweli ila nakuomba usijisahau ndugu nenda kama una rafiki akusaidie ushke kitambulisho cha huko hawana nongw kama bongo and u will thank me later
Mmmh sijawahi kusikia hii, labda boda uliyotumia. Mi natumia Sirari,navuka zangu kwa miguu,nikifika Isibania nazurura narudi au kama nahitaji kwenda mbali zaidi nachukua usafiri hapo hapo Isibania unanipeleka napotaka .Sijawahi kusimamishwa na askari huko Kenya au kuulizwa swali lolote. Full uhuru.
 
Back
Top Bottom