Nifanye nini mimi?

Nifanye nini mimi?

Marahaba dogo
Wewe tutakuja pigana hapa...
Mi sio dogo kiasi cha kukuamkia wewe.

Mimi na wewe hatuna haja ya kuamkiana wee ujui mi wa 70 ngap wala sijui ww wa 90.ngapi 😂😂😂🙌🙌
 
Wewe tutakuja pigana hapa...
Mi sio dogo kiasi cha kukuamkia wewe.

Mimi na wewe hatuna haja ya kuamkiana wee ujui mi wa 70 ngap wala sijui ww wa 90.ngapi 😂😂😂🙌🙌
Nyokoo🤣 mtoto wa aftatu unaniletea drama za 70s unazitoa wapi wewe kinda kabisa! Hebu tulia hapo tukupe madini bwana!
 
Nyokoo🤣 mtoto wa aftatu unaniletea drama za 70s unazitoa wapi wewe kinda kabisa! Hebu tulia hapo tukupe madini bwana!
Ndo nasemaje tutakuja siku kupigana hapa alafu ukashangaaa..

Mtoto wa aftatu ana nn ndevu kama hizi
Au unataka nianze kutuma nida yangu hapa
 
Ndo nasemaje tutakuja siku kupigana hapa alafu ukashangaaa..

Mtoto wa aftatu ana nn ndevu kama hizi
Au unataka nianze kutuma nida yangu hapa
Bora tuuane tu kuliko kuamini huu ushubwada! Kama vipi eka nida hapa! Wadogo zangu pia wana ndevu hunitishi!
 
Bora tuuane tu kuliko kuamini huu ushubwada! Kama vipi eka nida hapa! Wadogo zangu pia wana ndevu hunitishi!
Umeona join yangu inasema ngapi..
Hup ndo mwaka nimemaliza veta pale changombe baada ya kutoka advance...

Unalo la.kuongea hapo. 😂😂😂🙌🙌🙌
Mda na join ulikua kidato cha ngap sema kweli
 
K
Umeona join yangu inasema ngapi..
Hup ndo mwaka nimemaliza veta pale changombe baada ya kutoka advance...

Unalo la.kuongea hapo. 😂😂😂🙌🙌🙌
Mda na join ulikua kidato cha ngap sema kweli
Kwendraa!! Nyie ndio mlikuwaga mnajoin mitandao wakati mpo masomoni akili ziko huku na huku! Mnatongozana fesibuku weee!🤣
 
K

Kwendraa!! Nyie ndio mlikuwaga mnajoin mitandao wakati mpo masomoni akili ziko huku na huku! Mnatongozana fesibuku weee!🤣
😜😜😜 Hapana..
Sema nikikumbuka kipindi najiunga humu daaaah..

Niliwahi andika uzi niliweka zile "" xaxa, xie, xawa"""

Walimishambulia sana aiseee aibu
 
- KumbukiziMTAFUTANO.jpg
 
Leo ni doria ya watoa matusi mbwa kilema saa hivi hana simu amebaki mmoja na babake i want to teach them a lesson wajue jf ni ya watu walikomaa akili. Sio mtu anaingia na bundle la kukopa kutusi watu ni kama jf ni yake. Mwaka huu watakoma kuringa.
 
Leo ni doria ya watoa matusi mbwa kilema saa hivi hana simu amebaki mmoja na babake i want to teach them a lesson wajue jf ni ya watu walikomaa akili. Sio mtu anaingia na bundle la kukopa kutusi watu ni kama jf ni yake. Mwaka huu watakoma kuringa.
Leo umeamua mkuu kampeni ya jeshi la mtu mmoja! Jitahidi kuwataja tuwaepuke😁
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom