Unaweza nitajia sababu zinazo mpa mwanaume uhalali wa kumpiga mkewe??Wewe ni mkorofi sana. Haiwezekani mme akupige pasipo sababu na kuishi na watoto wako lazima utawaambukiza tabia yako ya hovyo.
Unaweza nitajia sababu zinazo mpa mwanaume uhalali wa kumpiga mkewe??Wewe ni mkorofi sana. Haiwezekani mme akupige pasipo sababu na kuishi na watoto wako lazima utawaambukiza tabia yako ya hovyo.
Acheni kumsema vibaya kama vile ninyi mnaishi sayari nyingine kwamba ayo matukio ya wanawake kupigwa pasipo kosa hamuyaoni.Wewe ni mkorofi sana. Haiwezekani mme akupige pasipo sababu na kuishi na watoto wako lazima utawaambukiza tabia yako ya hovyo.
Uonavyo msimbe, ni sahihi. Siwezi oingaKuchepuka ndo unipige mpk uniue?? NONSENSE
I think I love youNikwambie tu ukweli...HAWATOSAHAU....mimi nakumbuka matukio ya toka nikiwa darasa la 1..2..3 ya wazazi wangu...now nna 36 years sisahau na sitosahau..japo simchukii mzaz wangu ila matendo siyasahau.....
Never ever...na wala sihitaj kulishwa maneno..ni kwamba niliona kwa macho...picha zipo kichwan
1. UkorofiUnaweza nitajia sababu zinazo mpa mwanaume uhalali wa kumpiga mkewe??
Ukimpiga akakupeleka mahakamani unahisi hivyo ulivyovitaja vitasimama kama utetezi wako?1. Ukorofi
2. Umalaya
3. Kidomodomo
4. Uchafu
Pole sana, kwa nini mnapigana?
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana, sasa wanapigania nini...
Dah! Mkuu huwa unaniacha hoi na comments zako, ni fupi halafu unavyo comment ni kama vile unahimiza watoto wadogo, mfano:
Pole sana, kwanini mnapigana?
Ngoja waje kukupa mwongozo!
Usirudie kumkaripia mtoto mdogo!
Dah!