Nifanye nini katika hili?

Nifanye nini katika hili?

Kuna kitu naomba nikusimulie uone kati yetu alozingua nani kuna siku nimetoka zangu kumrudisha bosi niko road nikasimamishwa na watu 4 nikasimama wakanionyeshea kadi kuangalia ni wanajeshi wakirusi nikasema basi wakaniambia niwapeleke mpaka mpakani nikasema leo nimekufa tukiwa road mmoja akaniambia nimpigie mke wake nimwambie nimetumwa na mpenzi anayempenda sana ila yeye mwanamke ataje mpenzi wake anaitwa nani ili huyo mpenzi wake ajivunie. Kweli zoezi likatiki mwamba akatajwa tena na manjonjo mengi wakati narudi nikawaza hivi yule jamaa asingetajwa pangetokea nini nikaona. Ni ujinga haya niambie mwanajeshi alikuwa mt
jamaa haji elewi kabisa, yupo kama bendera
 
Apunguze utoto, Ke wana njia nyingi sana za kuwatuliza.

Sometimes kujishusha hakuondoi uanaume wako, si ajabu mwamba anajqribu kutunishiana misuli bila hata sababu za msingi.

Siamini kama umeanza kuchapiwa, ila ukianza kuchapiwa hamna rangi utaacha kuona. Huyo mkeo anarekebika vizuri tu ukiacha utoto utoto na kuhisi hana pa kwenda na anakutegemea kwa kila kitu.
Sijawahi kuwaza hivo hata mara moja mkuu tatizo alivoenda kwao wakamwambia niende katika maongezi yao kuna sherehe mbili wanachotaka niende nikawape na mahari ukiangalia mda wa kutoa bado
 
Ahsante mkuu ila tatizo lipo hivi mimi sikai nchini na natakiwa niende kazini ameondoka bila utaratibu wowote juu ya malezi ya mtoto mkuu alafu anaweza kurudi nikiwa sipo ndo tatizo
Sawa haina shida. Kama hukai nchi ndio vizur zaidi.
Toa taarifa zote kwa wazee wako , kisha kwa kipindi hiki ambacho hayupo fanya utaratibu ndigu yako akakae hapo home ukiwa unaondoka. Utaratibu woote wa mtoto jadiliana na wazee wako ataukita huko . Usijadil hili suala kabisa na upande wa kwao mwanamke wala usipihe simu.

NB
kama hukai nchini basi kuna uwezekano unagongewa na ukipofika yeye akaommba kuondoka basi inawezekana kuna suala anakuficha..
Akili kichwan ila anza kufikiria plan B ,maisha nje ya huko mwanamke.
 
Ahsante mkuu ila tatizo lipo hivi mimi sikai nchini na natakiwa niende kazini ameondoka bila utaratibu wowote juu ya malezi ya mtoto mkuu alafu anaweza kurudi nikiwa sipo ndo tatizo
Duuh kumbe mzeebaba huishi nae??
 
Kwema wakuu, naombeni ushauri ili nipite kwa amani.
Mimi ni kijana wa miaka 25, nina familia na mtoto mmoja.

Mwaka huu mwezi wa 6 nilirudi, mzazi mwenzangu akaomba aende kwao, nikakubali. Nilipokuwa nyumbani nikaanza kutembelea marafiki. Rafiki yangu mmoja ambaye tunafanya kazi pamoja tukaamua kwenda kujipongeza. Vitu vilikwenda vizuri na hatimaye tukaenda nyumbani kwangu.

Tulipofika nyumbani tukaanza utani, hata tukampigia simu mzazi mwenzangu tukamdanganya kwamba nimekamatwa na nimepelekwa polisi. Alijibu kuwa kesho atakuja mapema. Baada ya hapo tukaanza story, tukaendelea kucheka mpaka tukalala.

Saa nane usiku nikasikia geti linagongwa. Nilipotoka nikakuta ni jirani yangu pamoja na mama mdogo na mume wake. Wakanuliza kuna shida gani kwa kuwa wamesikia nimekamatwa. Niliwaeleza ilivyokuwa na waliponiambia aliyesema hivyo ni rafiki yangu, nikacheka na kusema ilikuwa ni utani.

Siku kumi baadaye mzazi mwenzangu akarudi nyumbani, na ndipo matatizo yalianza. Alianza kununa kila mara. Nilipomuuliza alinieleza mambo mengi ambayo sikuyajua. Kitu kikubwa alichokisema ni kwamba:
"Nimeambiwa nilienda kunywa pombe kwa sababu nililazimishwa kuwa naye, kwamba simpendi ila najilazimisha."

Nilipomuuliza nani aliyemwambia hivyo, akasema ni yule jirani ambaye alikuja usiku, na jirani huyo kaambiwa na mama mdogo. Nilimwambia aachane na hayo kwa sababu ni kama kufukua makaburi.

Baada ya hapo akaanza kutaka kwenda kwa baba mdogo wake (anayekaa karibu), lakini nilikataa kwa sababu tayari aliwahi kukutana naye alipokuwa kwao. Usiku mzima akanuna, asubuhi nikatoka zangu. Ghafla akanitumia sms kuwa anataka aende kwao, hataki kukaa na mimi na nimwambie sehemu ya kuacha ufunguo. Nikamwambia akienda aache mtoto. Tukabishana, nikafunga mlango na geti nikatoka.

Baadaye mama mdogo akanipigia akisema nirudi tuongee, lakini nilichelewa kurudi. Niliporudi nikawakuta wanacheza. Mzazi mwenzangu akampigia simu baba mdogo wake akimwambia kuwa naogopa labda nitampiga. Baba mdogo akanitaka tuongee kwenye simu. Tuliongea vizuri, akanishauri nitulie. Lakini muda mfupi baadaye akampigia tena na kumwambia kuwa akikugusa tu, nitalipeleka polisi. Nilichukia sana.

Baadaye mzazi mwenzangu akaja kwangu, akalia na kuomba msamaha. Nikamsamehe ili mambo yaishe. Siku chache baadaye akaniomba tena aende kwa baba mdogo, nikampeleka mwenyewe na nikawaacha. Jioni akaniomba nimchukue, nikafanya hivyo.

Lakini siku moja nilichunguza sms zake na nikakuta ujumbe wa shangazi yake ukisema: "Tembea kidogo, kama haji nijulishe nikuitie toyo." Nikashangaa walikuwa wanazungumza nini kuhusu mimi, lakini nikapuuza.

Tangu amerudi kutoka kwao akaanza tabia za kutaka kila kitu akipate, kazi za nyumbani haziendi vizuri, chakula hakieleweki. Nikimwuliza analalamika kuwa namnyanyasa. Nilipuuza.

Kuna siku tulipanga kumwachisha mtoto kunyonya, lakini akasema ni mpaka mtoto awe na mwaka na nusu. Nilijiandaa kwa lishe ya mtoto, nikamnunulia unga na vingine. Lakini alipika uji wa ulezi akaweka mafuta ya alizeti. Nilipomuuliza akasema ni uji wa kawaida. Nikamwambia: "Huo siyo uji mzuri, umeweka mafuta ya alizeti, hamnazo kabisa." Akalia sana, akasema nimemdharau.

Siku nyingine akanitumia sms: "Naomba nauli niondoke, nimechoka haya maisha." Nikamjibu amuombe huyo anayemwendea. Akasisitiza nimpe nauli nimrudishe kwao. Aliposema nikiwa sina hela, akajibu: "Kama hutanipea nauli basi jiandae kwa yatakayoendelea humu ndani mpaka utanipa mwenyewe."

Nikamwambia nadhani na wewe umejiandaa. Akanijibu: "Ya kunywa pombe na kutunyima sehemu ya kulala." Kuna siku nililala kitandani katikati, akadai sitaki walale vizuri. Nilipuuza. Usiku nikawakuta wanacheka na mtoto, nikaingia chumbani. Kesho yake akaniambia ataondoka. Nikamwambia sina mafuta, tukaita toyo na akaondoka saa sita mchana kwenda kwa baba mdogo. Saa nane akanitumia sms: "Nitazoea tu haya maisha. Utaendelea kuharibu maisha ya wengine mpaka lini?"

Akanieleza pia anaenda kuanza maisha upya, na atambadilisha mtoto jina mpaka dini. Nikamwambia afanye hivyo kama anataka.

Kwa sasa muda wangu wa kurudi kazini umewadia. Ameondoka na ufunguo.
Naombeni mnishauri nifanye nini.

Poleni kwa gazeti hili refu, imebidi niandike yote ili mnielewe. Pia naomba msamaha kwa mwandiko wangu.
Unaoaje katika umri mdogo? Je wajua kwamba unatombewa?
 
Baada ya hapo akaanza kutaka kwenda kwa baba mdogo wake (anayekaa karibu), lakini nilikataa kwa sababu tayari aliwahi kukutana naye alipokuwa kwao. Naomba ufafanuzi
 
Wewe hauna hela na bado unajitafuta mwache aende zake kama ni mfanyabiashara ila kama umeajiriwa mpe likizo ya kwao ustawi wa jamii watakunyonyoa
Demu inaonekana hataki tena kuishi na wewe na ameshapa mjuba na amemwelewa sababu ukisikia mwanamke anakuambia hataki kwa mtindo wowote ukilazimisha kuendelea utakufa siku sio zako
 
Kwema wakuu, naombeni ushauri ili nipite kwa amani.
Mimi ni kijana wa miaka 25, nina familia na mtoto mmoja.

Mwaka huu mwezi wa 6 nilirudi, mzazi mwenzangu akaomba aende kwao, nikakubali. Nilipokuwa nyumbani nikaanza kutembelea marafiki. Rafiki yangu mmoja ambaye tunafanya kazi pamoja tukaamua kwenda kujipongeza. Vitu vilikwenda vizuri na hatimaye tukaenda nyumbani kwangu.

Tulipofika nyumbani tukaanza utani, hata tukampigia simu mzazi mwenzangu tukamdanganya kwamba nimekamatwa na nimepelekwa polisi. Alijibu kuwa kesho atakuja mapema. Baada ya hapo tukaanza story, tukaendelea kucheka mpaka tukalala.

Saa nane usiku nikasikia geti linagongwa. Nilipotoka nikakuta ni jirani yangu pamoja na mama mdogo na mume wake. Wakanuliza kuna shida gani kwa kuwa wamesikia nimekamatwa. Niliwaeleza ilivyokuwa na waliponiambia aliyesema hivyo ni rafiki yangu, nikacheka na kusema ilikuwa ni utani.

Siku kumi baadaye mzazi mwenzangu akarudi nyumbani, na ndipo matatizo yalianza. Alianza kununa kila mara. Nilipomuuliza alinieleza mambo mengi ambayo sikuyajua. Kitu kikubwa alichokisema ni kwamba:
"Nimeambiwa nilienda kunywa pombe kwa sababu nililazimishwa kuwa naye, kwamba simpendi ila najilazimisha."

Nilipomuuliza nani aliyemwambia hivyo, akasema ni yule jirani ambaye alikuja usiku, na jirani huyo kaambiwa na mama mdogo. Nilimwambia aachane na hayo kwa sababu ni kama kufukua makaburi.

Baada ya hapo akaanza kutaka kwenda kwa baba mdogo wake (anayekaa karibu), lakini nilikataa kwa sababu tayari aliwahi kukutana naye alipokuwa kwao. Usiku mzima akanuna, asubuhi nikatoka zangu. Ghafla akanitumia sms kuwa anataka aende kwao, hataki kukaa na mimi na nimwambie sehemu ya kuacha ufunguo. Nikamwambia akienda aache mtoto. Tukabishana, nikafunga mlango na geti nikatoka.

Baadaye mama mdogo akanipigia akisema nirudi tuongee, lakini nilichelewa kurudi. Niliporudi nikawakuta wanacheza. Mzazi mwenzangu akampigia simu baba mdogo wake akimwambia kuwa naogopa labda nitampiga. Baba mdogo akanitaka tuongee kwenye simu. Tuliongea vizuri, akanishauri nitulie. Lakini muda mfupi baadaye akampigia tena na kumwambia kuwa akikugusa tu, nitalipeleka polisi. Nilichukia sana.

Baadaye mzazi mwenzangu akaja kwangu, akalia na kuomba msamaha. Nikamsamehe ili mambo yaishe. Siku chache baadaye akaniomba tena aende kwa baba mdogo, nikampeleka mwenyewe na nikawaacha. Jioni akaniomba nimchukue, nikafanya hivyo.

Lakini siku moja nilichunguza sms zake na nikakuta ujumbe wa shangazi yake ukisema: "Tembea kidogo, kama haji nijulishe nikuitie toyo." Nikashangaa walikuwa wanazungumza nini kuhusu mimi, lakini nikapuuza.

Tangu amerudi kutoka kwao akaanza tabia za kutaka kila kitu akipate, kazi za nyumbani haziendi vizuri, chakula hakieleweki. Nikimwuliza analalamika kuwa namnyanyasa. Nilipuuza.

Kuna siku tulipanga kumwachisha mtoto kunyonya, lakini akasema ni mpaka mtoto awe na mwaka na nusu. Nilijiandaa kwa lishe ya mtoto, nikamnunulia unga na vingine. Lakini alipika uji wa ulezi akaweka mafuta ya alizeti. Nilipomuuliza akasema ni uji wa kawaida. Nikamwambia: "Huo siyo uji mzuri, umeweka mafuta ya alizeti, hamnazo kabisa." Akalia sana, akasema nimemdharau.

Siku nyingine akanitumia sms: "Naomba nauli niondoke, nimechoka haya maisha." Nikamjibu amuombe huyo anayemwendea. Akasisitiza nimpe nauli nimrudishe kwao. Aliposema nikiwa sina hela, akajibu: "Kama hutanipea nauli basi jiandae kwa yatakayoendelea humu ndani mpaka utanipa mwenyewe."

Nikamwambia nadhani na wewe umejiandaa. Akanijibu: "Ya kunywa pombe na kutunyima sehemu ya kulala." Kuna siku nililala kitandani katikati, akadai sitaki walale vizuri. Nilipuuza. Usiku nikawakuta wanacheka na mtoto, nikaingia chumbani. Kesho yake akaniambia ataondoka. Nikamwambia sina mafuta, tukaita toyo na akaondoka saa sita mchana kwenda kwa baba mdogo. Saa nane akanitumia sms: "Nitazoea tu haya maisha. Utaendelea kuharibu maisha ya wengine mpaka lini?"

Akanieleza pia anaenda kuanza maisha upya, na atambadilisha mtoto jina mpaka dini. Nikamwambia afanye hivyo kama anataka.

Kwa sasa muda wangu wa kurudi kazini umewadia. Ameondoka na ufunguo.
Naombeni mnishauri nifanye nini.

Poleni kwa gazeti hili refu, imebidi niandike yote ili mnielewe. Pia naomba msamaha kwa mwandiko

Kwema wakuu, naombeni ushauri ili nipite kwa amani.
Mimi ni kijana wa miaka 25, nina familia na mtoto mmoja.

Mwaka huu mwezi wa 6 nilirudi, mzazi mwenzangu akaomba aende kwao, nikakubali. Nilipokuwa nyumbani nikaanza kutembelea marafiki. Rafiki yangu mmoja ambaye tunafanya kazi pamoja tukaamua kwenda kujipongeza. Vitu vilikwenda vizuri na hatimaye tukaenda nyumbani kwangu.

Tulipofika nyumbani tukaanza utani, hata tukampigia simu mzazi mwenzangu tukamdanganya kwamba nimekamatwa na nimepelekwa polisi. Alijibu kuwa kesho atakuja mapema. Baada ya hapo tukaanza story, tukaendelea kucheka mpaka tukalala.

Saa nane usiku nikasikia geti linagongwa. Nilipotoka nikakuta ni jirani yangu pamoja na mama mdogo na mume wake. Wakanuliza kuna shida gani kwa kuwa wamesikia nimekamatwa. Niliwaeleza ilivyokuwa na waliponiambia aliyesema hivyo ni rafiki yangu, nikacheka na kusema ilikuwa ni utani.

Siku kumi baadaye mzazi mwenzangu akarudi nyumbani, na ndipo matatizo yalianza. Alianza kununa kila mara. Nilipomuuliza alinieleza mambo mengi ambayo sikuyajua. Kitu kikubwa alichokisema ni kwamba:
"Nimeambiwa nilienda kunywa pombe kwa sababu nililazimishwa kuwa naye, kwamba simpendi ila najilazimisha."

Nilipomuuliza nani aliyemwambia hivyo, akasema ni yule jirani ambaye alikuja usiku, na jirani huyo kaambiwa na mama mdogo. Nilimwambia aachane na hayo kwa sababu ni kama kufukua makaburi.

Baada ya hapo akaanza kutaka kwenda kwa baba mdogo wake (anayekaa karibu), lakini nilikataa kwa sababu tayari aliwahi kukutana naye alipokuwa kwao. Usiku mzima akanuna, asubuhi nikatoka zangu. Ghafla akanitumia sms kuwa anataka aende kwao, hataki kukaa na mimi na nimwambie sehemu ya kuacha ufunguo. Nikamwambia akienda aache mtoto. Tukabishana, nikafunga mlango na geti nikatoka.

Baadaye mama mdogo akanipigia akisema nirudi tuongee, lakini nilichelewa kurudi. Niliporudi nikawakuta wanacheza. Mzazi mwenzangu akampigia simu baba mdogo wake akimwambia kuwa naogopa labda nitampiga. Baba mdogo akanitaka tuongee kwenye simu. Tuliongea vizuri, akanishauri nitulie. Lakini muda mfupi baadaye akampigia tena na kumwambia kuwa akikugusa tu, nitalipeleka polisi. Nilichukia sana.

Baadaye mzazi mwenzangu akaja kwangu, akalia na kuomba msamaha. Nikamsamehe ili mambo yaishe. Siku chache baadaye akaniomba tena aende kwa baba mdogo, nikampeleka mwenyewe na nikawaacha. Jioni akaniomba nimchukue, nikafanya hivyo.

Lakini siku moja nilichunguza sms zake na nikakuta ujumbe wa shangazi yake ukisema: "Tembea kidogo, kama haji nijulishe nikuitie toyo." Nikashangaa walikuwa wanazungumza nini kuhusu mimi, lakini nikapuuza.

Tangu amerudi kutoka kwao akaanza tabia za kutaka kila kitu akipate, kazi za nyumbani haziendi vizuri, chakula hakieleweki. Nikimwuliza analalamika kuwa namnyanyasa. Nilipuuza.

Kuna siku tulipanga kumwachisha mtoto kunyonya, lakini akasema ni mpaka mtoto awe na mwaka na nusu. Nilijiandaa kwa lishe ya mtoto, nikamnunulia unga na vingine. Lakini alipika uji wa ulezi akaweka mafuta ya alizeti. Nilipomuuliza akasema ni uji wa kawaida. Nikamwambia: "Huo siyo uji mzuri, umeweka mafuta ya alizeti, hamnazo kabisa." Akalia sana, akasema nimemdharau.

Siku nyingine akanitumia sms: "Naomba nauli niondoke, nimechoka haya maisha." Nikamjibu amuombe huyo anayemwendea. Akasisitiza nimpe nauli nimrudishe kwao. Aliposema nikiwa sina hela, akajibu: "Kama hutanipea nauli basi jiandae kwa yatakayoendelea humu ndani mpaka utanipa mwenyewe."

Nikamwambia nadhani na wewe umejiandaa. Akanijibu: "Ya kunywa pombe na kutunyima sehemu ya kulala." Kuna siku nililala kitandani katikati, akadai sitaki walale vizuri. Nilipuuza. Usiku nikawakuta wanacheka na mtoto, nikaingia chumbani. Kesho yake akaniambia ataondoka. Nikamwambia sina mafuta, tukaita toyo na akaondoka saa sita mchana kwenda kwa baba mdogo. Saa nane akanitumia sms: "Nitazoea tu haya maisha. Utaendelea kuharibu maisha ya wengine mpaka lini?"

Akanieleza pia anaenda kuanza maisha upya, na atambadilisha mtoto jina mpaka dini. Nikamwambia afanye hivyo kama anataka.

Kwa sasa muda wangu wa kurudi kazini umewadia. Ameondoka na ufunguo.
Naombeni mnishauri nifanye nini.

Poleni kwa gazeti hili refu, imebidi niandike yote ili mnielewe. Pia naomba msamaha kwa mwandiko wangu.
Pole sana mkuu

Badili kitasa kisha ondoka na ufunguo kisha kapambane kutafuta hela
 
Sijawahi kuwaza hivo hata mara moja mkuu tatizo alivoenda kwao wakamwambia niende katika maongezi yao kuna sherehe mbili wanachotaka niende nikawape na mahari ukiangalia mda wa kutoa bado
Hiyo mahari endelea kuongezea pesa ununue kiwanja ujenge
 
Ahsante mkuu ila tatizo lipo hivi mimi sikai nchini na natakiwa niende kazini ameondoka bila utaratibu wowote juu ya malezi ya mtoto mkuu alafu anaweza kurudi nikiwa sipo ndo tatizo
Hawezi kurudi mkuu acha mawazo, kakwambia mtoto anabadili jina na dini. Huenda hata mtoto sio wako
 
Nimepambana nalo gazeti mpaka nimelimaliza

Sjui wanawake wa namna hii wanatakaga nn

nakushauri usimuache,mpe likizo akatulize akili kwao baadae atakuwa sawa
Hao dawa yao huwa ni hii
1. Usimpe talaka
2. Usimpigie simu na wala usimuulize atarudi lini
3. Usimuombe arudi nyumbani
4. Pesa ya matumizi ya mtoto unakuwa unatuma bila hata kuongea nae ila unatumia namba yako wewe mwenyewe na ushahidi wa miamala tunza.
5. Akituma sms usimjibu labda aseme mtoto anaumwa.
 
Baada ya hapo akaanza kutaka kwenda kwa baba mdogo wake (anayekaa karibu), lakini nilikataa kwa sababu tayari aliwahi kukutana naye alipokuwa kwao. Naomba ufafanuzi
Mwezi wa nne alienda pasaka kwao kama familia wakakutana akaulizwa mbona hata hauji nyumbani kwangu na hatukai mbali akamwambia tutakuja sasa alivorudi huku akasema anataka aende kwa baba mdogo nikakataa nikamwambia si mlikuwa wote moshi sasa kuzurura ya nini ni hivo mkuu
 
Hao dawa yao huwa ni hii
1. Usimpe talaka
2. Usimpigie simu na wala usimuulize atarudi lini
3. Usimuombe arudi nyumbani
4. Pesa ya matumizi ya mtoto unakuwa unatuma bila hata kuongea nae ila unatumia namba yako wewe mwenyewe na ushahidi wa miamala tunza.
5. Akituma sms usimjibu labda aseme mtoto anaumwa.
Kwishaaaaa bardiii enyeweee nimenyiwuti zangu hapa wananitafuta nimeamua kuvunga mazima
 
Sawa haina shida. Kama hukai nchi ndio vizur zaidi.
Toa taarifa zote kwa wazee wako , kisha kwa kipindi hiki ambacho hayupo fanya utaratibu ndigu yako akakae hapo home ukiwa unaondoka. Utaratibu woote wa mtoto jadiliana na wazee wako ataukita huko . Usijadil hili suala kabisa na upande wa kwao mwanamke wala usipihe simu.

NB
kama hukai nchini basi kuna uwezekano unagongewa na ukipofika yeye akaommba kuondoka basi inawezekana kuna suala anakuficha..
Akili kichwan ila anza kufikiria plan B ,maisha nje ya huko mwanamke.
Point mamen
 
Back
Top Bottom