Samwel Jr
JF-Expert Member
- May 9, 2020
- 1,362
- 960
- Thread starter
- #61
Kuna kitu naomba nikusimulie uone kati yetu alozingua nani kuna siku nimetoka zangu kumrudisha bosi niko road nikasimamishwa na watu 4 nikasimama wakanionyeshea kadi kuangalia ni wanajeshi wakirusi nikasema basi wakaniambia niwapeleke mpaka mpakani nikasema leo nimekufa tukiwa road mmoja akaniambia nimpigie mke wake nimwambie nimetumwa na mpenzi anayempenda sana ila yeye mwanamke ataje mpenzi wake anaitwa nani ili huyo mpenzi wake ajivunie. Kweli zoezi likatiki mwamba akatajwa tena na manjonjo mengi wakati narudi nikawaza hivi yule jamaa asingetajwa pangetokea nini nikaona. Ni ujinga haya niambie mwanajeshi alikuwa mtoto?Ndicho nilicho mwambia pia, we mtu mna hard life ila nguvu ya kulewa na kuwaza ujinga ana itoa wapi!