Nimempa pesa nyingi sana..
Nimemlipia ada ya chuo..
Nimeingia chumvini...
Ufundi mwingi nimetumia...
Zawadi nyingi sana nimemnunulia...
Sehemu za starehe nyingi nimempeleka..
Na mambo kadhaa wa kadhaa....
Bado namuona hana upendo na anachokitaka kwangu ni pesa tu ...
Wataalamu wa Jf nawauliza inawezekana kweli kumbadili aweze kunipenda??
Detailz za mwanamke mwenyewe
1-22 years old
2-Amewahi kuumizwa sana kimapenzi(story amenipa mwenyewe)
3-Ni Msukuma
4-Mahusiano yetu=mwaka 1
Tatizo ulijifanya pedeshee alafu unaamini mahusiano yanajengwa na pesa na ujuzi wa kufanya ngono pekee kumbe kuna vitu vingine vya ziada kina dada wanataka. Kwani wewe hujawahi kuona mtu anapewa kila kitu alafu mwisho wa siku unamkuta anachukuliwa na mtu mwingine ambae anatoa zawadi za kawaida tu (nadhani hujajua interest za huyo mrembo wako). Alafu umri alionao una complication pia umesema amewahi kuumizwa sana kimapenzi, hapo ndi inashangaza kwa umri huo ametendwa sana kimapenzi which means ameshakuwa na mahusiano na watu kibao, just imagine mwenyewe ktk umri huo unadhani huyo yukoje..........tafakali......haki elimu
Hata na ww mamkwe....
Nitaamua Liwalo na liwe...
Nyani ww huna hela....mbeba box utatoa wapi chapaa?
Jasmine anakusalimia sana.....mtt ana sauti ya kasuku