Boss maskini
Member
- Jan 16, 2022
- 62
- 70
Unauhakika wewe ni mwanaume?, Kama jibu ni ''ndiyo'' sasa unachukia nini kuitwa baba.
Huyu shida yake ni kukimbia majukumu anajua akiitwa hvyo ataanza kuchukua majukumu ya Baba mzaziMzee mwenzangu wa kuweka mzigo una muonekano wa kibaba nini?
Shida kubwa unayoipata akikuita baba ni ipi?
Shida sio mimi labda ni kwako na nilie mquote maana ungeanza kwanza kushangaa mada yangu na form 4 failure vinaingiliana vipiWewe bado mvulana mdogo sana i bet huzidi 22 ..
Sasa hayo mambo ya masters na phd yametoma wapi?
Acha utoto wewe mvulanaaa... kuitwa Baba na mtoto mdogo asiye na dhambi ambaye ni sawa na malaika ni baraka sana...Muache mtoto ajisikie vizuri kwani hautopungukiwa chochote. Kila urejeapo nyumbani tafadhali mletee zawadi na uwapo nyumbani cheza nae kama Baba kwani ndio faraja yake.Msaada wa haraka unahitajika wakuu, Nifanyaje kuzuia hii hali. Hapa nilipopanga kuna Mwanamke nilimkuta anaishi.
First time nilijua labda ni mwanafunzi maana umri wake unachezea 18~19 , Ila baada ya muda nilikuja gundua anamtoto umri unachezea kama mwaka na miezi 8.
Shida ilipoanzia kuna siku nilikuwa nje nafua yeye alikuwa amekaa na yule mtoto wake, siunajua tabia za watoto kakaropoka huku kanatembea kuja kwangu baba baba baba.
Yaani toka siku hiyo imekuwa ndio wimbo baba baba. Nikiwa naondoka anamwambia mwambie baba akulete zawadi, nikirudi jioni anamwambia kampokee baba kanakuja kugonga mlango baba baba yaani.
Fedhea kubwa inapokuja kuna wapangaji wengine wapo sasa ile nikiwa narudi kile kitoto kinakuja baba baba yaani nashindwa hata nijibu nini naishia tu kujichekesha kinafiki.
Hapa nilikuwa nawaza nimwambie amkataze yule mtoto naona haiwezekani, Au nijiegeshe tu kuwa baba hewa. Nahitaji ushauri wandugu natanguliza shukrani.
Shida ni yako kuwa scared na kuitwa baba na katoto ka miezi 8.Shida sio mimi labda ni kwako na nilie mquote maana ungeanza kwanza kushangaa mada yangu na form 4 failure vinaingiliana vipi
yaa ndio zinazofanya kazi hapa bongo,Hiyo masterz itakuwa ni ya mchongo basi
Una umri gani bro..tusije tukaanza kumshauri kijana aliyefel form four juzi. Lugha zikapishana. Anyway hama.
Nenda kapange kwingine huko utaitwa majina mengine, mfano msela, man, muhuni, auncle,nk
doesn't matter.Ya kwako haitoboi