micind
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 344
- 873
Eeh watu jamani mlivyomshambulia mtoa mada issue ni kwamba yeye hajisikii vizuri kuitwa baba na huyo mtoto hayo ya elimu ndogo, sijui umri na blah blah zingine za nini sasa,mtoa mada watoto wengi wakiwa na umri huo ndo wanaanza kujifunza kuongea na Mara nyingi wanaanza na baba au dada so wewe usiwaze kakikuita baba we kapokee tu unakaambia wow uncle,na mama ake mzoeshe tu Hilo jina la uncle kwa mfano unamuuliza uncle hajambo au ukikaletea zawadi kaambie uncle chukua zawadi, watoto wepesi Sana kushika vitu in no time kataanza kukuita uncle, au na kua uncle hutaki mkuu??