snipa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 4,215
- 1,656
- Thread starter
- #41
.eeeti unasema umefanya uharifu wa mitandao kwa muda mrefu then leo unaulizia signal jammer nashindwa kuelewa kidogo ulikuwa unafanya uharifu wa aina gani na hata kama ulikuwa unafanya hizo tool ulikuwa hutengenezi wewe so hatuna budi kukuita script kiddie sababu huwezi kutengeneza tool zako mwenyewe...
NAHISI UNATUMIA UTI WA MGONGO KUFIKIRI
ila hujijui
kwa uti wa mgongo wako unavyokutuma... Unadhani utafanya hacking kwenye chumba kisicho na network access
call me a script kiddie,
kwa vyovyote vile utakavyo ruksa....
C++
= script kiddie
.
.
Last edited by a moderator: