Mkuu, ni kweli ulichoandika ama? Sijajua nature ya kitu unachofanya lakini kiufupi si salama kufanya kkwa kutumia network yako au ya nyumbani, hata kama unatumia sock5 na layer ngapi za kujihami lakini IT IS NEVER SAFE, fraudsters wana msemo wao wanasema NEVER SHIT WHERE YOU EAT!! Ingekuwa kwa wenzetu hapo LE wangeshabisha hodi mlangoni kwako kitaaambo, sema Tanzania hakuna wataalam, au hata kitu unachokifanya hakina madhara kama kuhack account za watu za fb na kuspoof simu za washkaji zako, hiyo haina madhara! Next time tumia publick wifi, tena mbali na maeneo yako, hiyo usb dongle hata kama haijasajiliwa LE wanaweza kutriangulate wakanarrow down mpaka kwenye nyumba yenu, wakifanya uchunguzi wa dakika mbili tu wanagundua maeneo hayo ni wewe tu ndiyo una idea ya programming, wakichoma ghetto kwako wakakamata laptop tu wanaushahidi wa kila kitu, I wonder hata kama umeincript drives zako! A real hacker or fraudster will never surface on the clear web boasting ameishi kwa uhalifu wa mitandaoni then naomba msaada wa kujua signal jammer tu!:lock1: