Nielekezeni jinsi ya kununua ma-Game kwenye PS 4

Nielekezeni jinsi ya kununua ma-Game kwenye PS 4

Joseph 44

Senior Member
Joined
Nov 14, 2022
Posts
100
Reaction score
65
Kama nilivyosema hapo juu, nchi yetu haina access za kununua game kwenye account za PlayStation. Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikitafuta suluhisho la kununua hayo magame. Nasikia ukiwa Tanzania sio rahisi kununua mpaka ufuate utaratibu maalum, ambapo ni kufungua account na kupata redeem code – tena na zenyewe kwa magendo.

Sasa, swali langu ni kwamba: hizo redeem code nitazipata wapi? Na vipi kuhusu account – iwe ya nchi gani? Na je, zitakubali ukizijaza?

Swali langu la pili: ukiingia kwenye PlayStation Store kununua magame, unakuta mengine yameandikwa Extra au Premium Included, mengine yameandikwa Online Play Optional au Internet Required – hii imekaaje wakuu? Please, naombeni mnisaidie kwenu wakuu.


download (1).jpg
download.jpg
 
Account vyema Tengeneza ya Usa,

Vocha utapata amazon, nunua Kisha redeem, iwe Vocha ya Usa pia.

Games nyingi za Ps kucheza online utahitaji kusubscribe hizo ps plus na deluxe ili uweze kucheza online.

Kila tier ya subscription sio tu inakuwezesha kucheza online bali unapewa na games za bure kila mwezi.
 
Account vyema Tengeneza ya Usa,

Vocha utapata amazon, nunua Kisha redeem, iwe Vocha ya Usa pia.

Games nyingi za Ps kucheza online utahitaji kusubscribe hizo ps plus na deluxe ili uweze kucheza online.

Kila tier ya subscription sio tu inakuwezesha kucheza online bali unapewa na games za bure kila mwezi.
Amazon nanunuaje Kaka?
 
Na mastercard ama Visa card za bank ama mitandao ya simu.

Nunua digital card ambayo ni code tu unatumiwa kwenye email.
sasa kaka ni nani ataniuzia? Na je, vipi kuhusu digital code ntazijuaje?
 
sasa kaka ni nani ataniuzia? Na je, vipi kuhusu digital code ntazijuaje?
We ingia amazon kwanza search kisha fuata maelekezo ukishindwa sehemu leta hapa, ama kama unaona ni ngumu sana watu wanauza hizo code hapa hapa Tanzania, City mall zimejaa kibao, ila ndio mtu lazima akuekee cha juu.
 
Account vyema Tengeneza ya Usa,

Vocha utapata amazon, nunua Kisha redeem, iwe Vocha ya Usa pia.

Games nyingi za Ps kucheza online utahitaji kusubscribe hizo ps plus na deluxe ili uweze kucheza online.

Kila tier ya subscription sio tu inakuwezesha kucheza online bali unapewa na games za bure kila mwezi.
Kumbe kwa ps4 ndio mlolongo hivi...


Me nikajua kama kwenye pc tu. Ukishafungua account ya steam tu. Ukinunua linakaa kwa library yako unanainistall tu hata ukibadili pc ukidownload tena steam na kulogin tena kwa account yako linakuwa bado lipo ni ww tu kulishusha...
 
Kumbe kwa ps4 ndio mlolongo hivi...


Me nikajua kama kwenye pc tu. Ukishafungua account ya steam tu. Ukinunua linakaa kwa library yako unanainistall tu hata ukibadili pc ukidownload tena steam na kulogin tena kwa account yako linakuwa bado lipo ni ww tu kulishusha...
Sio tu kununua ni shida, kucheza online games nyingi hadi uwe member wa ps+ na ulipe kila mwezi,

Pc ipo poa sana mambo mengi.
 
Sio tu kununua ni shida, kucheza online games nyingi hadi uwe member wa ps+ na ulipe kila mwezi,

Pc ipo poa sana mambo mengi.
Khaa.. bado tena😂

+Bundle tena.

Bado graphics nazo limited.

Ndio maana hata games naona siku hizi wanaanza kutoa kwa console kwanza kumbe wanapiga hela zaidi ya kwenye pc.
 
Sio tu kununua ni shida, kucheza online games nyingi hadi uwe member wa ps+ na ulipe kila mwezi,

Pc ipo poa sana mambo mengi.
yani kwakweli ps inamambo ya ajabu na vipi kuhusu cd utaweza kucheza offline ukizinunua?
 
yani kwakweli ps inamambo ya ajabu na vipi kuhusu cd utaweza kucheza offline ukizinunua?
CD unacheza offline, mfano kama ni Fifa unacheza mwenyewe, hata hizo games unazonunua online na Vocha unacheza offline pia.

Ila ukitaka kucheza online game lako la. CD ama ulilonunua online utahitaji separate subscription ya ps+
 
CD unacheza offline, mfano kama ni Fifa unacheza mwenyewe, hata hizo games unazonunua online na Vocha unacheza offline pia.

Ila ukitaka kucheza online game lako la. CD ama ulilonunua online utahitaji separate subscription ya ps+
ooh asante kaka
 
CD unacheza offline, mfano kama ni Fifa unacheza mwenyewe, hata hizo games unazonunua online na Vocha unacheza offline pia.

Ila ukitaka kucheza online game lako la. CD ama ulilonunua online utahitaji separate subscription ya ps+

CD unacheza offline, mfano kama ni Fifa unacheza mwenyewe, hata hizo games unazonunua online na Vocha unacheza offline pia.

Ila ukitaka kucheza online game lako la. CD ama ulilonunua online utahitaji separate subscription ya ps+
nilisikia ukiweka cd ya game eti utaitaji kuiupdate eti ni kweli?
 
We ingia amazon kwanza search kisha fuata maelekezo ukishindwa sehemu leta hapa, ama kama unaona ni ngumu sana watu wanauza hizo code hapa hapa Tanzania, City mall zimejaa kibao, ila ndio mtu lazima akuekee cha juu.
kwani code za amazon zina gharama nafuu kuliko kununua hapa bongo? na vipi thamani yake inaendana na thamani ya soko la dollar yaani kwa mfano redeem code ina thamani ya dollar 10$ ambapo thamani ya hela ya Tz ni shilingi 26451.25 , utatakiwa kuilipa hii hela au itaongezeka kidogo? na vipi kuhusu kodi hawatakukata?
 
Back
Top Bottom