Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,180
- 45,910
Ndio maana wanajijengea hadi International airport majumbani kwao.
Au wanaweza kujenga branch kubwa ya Bank inayoweza kuhudumia wateja 1000 kwa siku wakati hapo wapo 30
Hapana, kwa eidd nitasimama tofauti Sana na wewe ki mtizamo.
Amini nakwambia eidd alikua Bora mara Mia kuliko;
-Nkulunzinza.
-kagame.
-Museveni.
-Mgombea/gari la mkaa.
Wewe ni mliotekwa na propaganda za wazungu.
Amin alikua na maono ya mbali Sana, aliamua kuwaondoa wahindi mitaa ya Kampala ili awaruhusu raia wazawa wamiliki uchumi wao(niambie mgombea alishawahi hata kuwatishia wachina waondoke? Wachina wanaichezea tz watakavyo)
Amin alikua na mpango wa kuiunganisha Africa iwe moja, Yeye na Gaddafi ndio walikua na mipango hiyo kwa dhati kabisa.
Jaribu kufuatilia speech za Amin usikilize mtazamo wake, usikae na kusikiliza propaganda za tanzania , Mambo ya Amin kula nyama za watu, usiamini.
Utumiaji wako wa neno "cult of personality" umenifanya niamini wewe ni mtu unaependa history na unafahamu mengi pia kuhusu modern European historyJamaa alikua anajipenda sana huyu, mpaka anauliwa wanaenda nyimbani kwake walikuta misuti mipyaa ya bei mbaya ipo kabatini haijavaliwa kabisa. Alipenda kuweka picha zake kila kona ya nchi, alikua Dictator aliyekuwa na cult of personality kubwa sana na alipinduliwa kimasihara tu hata hakuamini maana alikua anahutubia wananchi kamampindua hapo hapo.
Huo ndiyo ulikuwa mwanzo wa mageuzi Ulaya Magharibi , na kuanza kwa siasa za vyama vingi katika nchi zilizokuwa zinaunga juhudi za USSR (ukomunisti)Kuna baadhi ya binadamu sio watu wazuri pale wanapotaka kuiba rasilimali za nchi yako.
Lazima tu wakuundie kamati ya roho mbaya na kukuita majina ya kishetani. Mabeberu sio watu wazuri hata kidogo mkuu.
Sawa mkuu, asante sana kwa ufafanuzi wakoHuo ndiyo ulikuwa mwanzo wa mageuzi Ulaya Magharibi , na kuanza kwa siasa za vyama vingi katika nchi zilizokuwa zinaunga juhudi za USSR (ukomunisti)
Huyo ndugu anajua sana kuchambua na ninampa bigup sana kwa hiloUtumiaji wako wa neno "cult of personality" umenifanya niamini wewe ni mtu unaependa history na unafahamu mengi pia kuhusu modern European history
Goodwell said Sir
Mkuu, huyo dictator bila shaka ni Jean-Bédel Bokassakweli kabisa mkuu yani ukiwa dictator lazima uwe na vitabia vya ajabu,kuna dictator fulani alipeleka railway kijijini kwao
Kama huyu uchwara kujenga kiwanja uko kwao chato??!kweli kabisa mkuu yani ukiwa dictator lazima uwe na vitabia vya ajabu,kuna dictator fulani alipeleka railway kijijini kwao
Thanks too
Huyo uchwara ndio nani mkuu?Kama huyu uchwara kujenga kiwanja uko kwao chato??!
Hayo ni mawazo yako tu bossWewe unataka watu waamini Kwamba jamaa alionewa.
Yule Jamaa wa Chartell ..humjui??Huyo uchwara ndio nani mkuu?
Simjui mkuuYule Jamaa wa Chartell ..humjui??
Babu yangu alipiga sana kazi hapa UDA enzi hiiizooooo...Kampuni ya UDA haikuletewa Ila ilinunua kutoka huko.
Hakika UDA walikuwa vizuri sana hapo zamaniKampuni ya UDA haikuletewa Ila ilinunua kutoka huko. Acha kuidhalilisha kampuni iliyokuwa na hadhi wakati huo sio sasa mnapogawiana na kina Kisena
Upo vizuriJamaa alikua anajipenda sana huyu, mpaka anauliwa wanaenda nyimbani kwake walikuta misuti mipyaa ya bei mbaya ipo kabatini haijavaliwa kabisa. Alipenda kuweka picha zake kila kona ya nchi, alikua Dictator aliyekuwa na cult of personality kubwa sana na alipinduliwa kimasihara tu hata hakuamini maana alikua anahutubia wananchi kamampindua hapo hapo.
Political ScientistUpo vizuri