Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,108
- 45,730
Ndio maana wanajijengea hadi International airport majumbani kwao.
Au wanaweza kujenga branch kubwa ya Bank inayoweza kuhudumia wateja 1000 kwa siku wakati hapo wapo 30
kweli kabisa mkuu yani ukiwa dictator lazima uwe na vitabia vya ajabu,kuna dictator fulani alipeleka railway kijijini kwao