Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 10,327
- 6,850
Kama ni hivyo basi ideas yake ni superb, itamlipa bila shaka yoyoteAmesema mkopo hauchukulii benki za hpa ni benki ya nje
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
copernicucci98
Kama ni hivyo basi ideas yake ni superb, itamlipa bila shaka yoyoteAmesema mkopo hauchukulii benki za hpa ni benki ya nje
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Kama nimekuelewa hivi. Japo umesema hati fungani ni ya muda mrefu miaka 15 hadi 20, hujafafanua malipo yaani kwa maana ya gawio la hati fungani utakuwa unapata kila mwaka au unaanza kuvuna lini toka uwekeze kutoka kwenye hati fungani?Habari za leo wadau,
Nimepata hili wazo week hii, ushauri wenu kama linatekelezeka.
Background kidogo:
Mimi ni kijana, nina nafasi ya kupata mkopo kwa interest rate ya 5.6% kwa mwaka, kiasi cha mkopo nachoweza kuchukua maximum ni 125M marejesho miaka 4-10.
Mimi sio mtu wa biashara na pia kazi nayofanya hainipi muda wa kufanya biashara.
Nimewaza nichukua huu mkopo (100M) then niwekeze kwenye hati fungani za muda mrefu(15 years - 13.5% au 20 years - 15.49%, source:BOT)
Then hela nayopata kwenye hati fungani niitumie kurejesha mkopo wangu ambao utakuwa wa miaka 6. Kwa maana hiyo mambo mengine yataendelea kama kawaida.
Ni wazo nimeliwaza sijui wanajukwaa mnalionaje, ushauri wowote unakaribishwa.
Asante
Earning ya deposit ni withholding pyt... Haikatwi kodiNikumbushie tu kwenye hiyo 13.5% kama faida government nayo itakata kodi asilimia fulani hutopewa hela yote jaribu kufatilia pia
Malipo ni mara mbili kwa mwaka. Yanaanza mwezi wa 6 tangu tarehe ya kununua hatifungani.Kama nimekuelewa hivi. Japo umesema hati fungani ni ya muda mrefu miaka 15 hadi 20, hujafafanua malipo yaani kwa maana ya gawio la hati fungani utakuwa unapata kila mwaka au unaanza kuvuna lini toka uwekeze kutoka kwenye hati fungani?
Washapunguza hadi 9%Tpb wanatoa ila kwa sharti la kuweka kuanzia 5M na kwa miaka kuanzia 2.
Hili ni wazo ambalo pia ninalifikiria. Kwa sasa najaribu kusoma kuhusu crypto na mutual fundsMm nakupongeza Kwa kile unachotaka kukifanya najua upo ulaya au USA (riba ya mkopo)
Mm ushauri wangu ungetafuta mda wa kujifunza kuwekeza kwenye sector mbalimbali mfano stocks,bonds,real estate ,crypto etc.
Mwaka mmoja unatosha kutafuta elimu ya kuwekeza kwenye industry unayochagua then badae ndo unawekeza hela yako ulikojifunza.
Mafano mm nina mwaka wa pili najifunza kuwekeza kwenye USA stocks. Mwezi wa kumi naanza rasmi kununua hisa za makampuni ya USA japo last year November nilianza kununua Kwa udogo na nimeona faida kubwa hadi sasa (400%).
Nakushauri anza kwanza Kwa kujielimisha huku ukianza Kwa udogo.badae ukishakua vizuri unaweka hela yote.kuwekeza bila elimu ya ndani ni disaster.
Malipo ya hati fungani ni mara mbili kwa mwaka(kila baada ya miezi sita) Hapo katikati naweza kucover mwenyeweKama nimekuelewa hivi. Japo umesema hati fungani ni ya muda mrefu miaka 15 hadi 20, hujafafanua malipo yaani kwa maana ya gawio la hati fungani utakuwa unapata kila mwaka au unaanza kuvuna lini toka uwekeze kutoka kwenye hati fungani?
Sio TZ mkuuMmh bank gani inakuchaji JUST 5.6% interest kwa mwaka??
Tujue tukimbilie huko!
Everyday is Saturday...............................
Kuwekeza kwenye stocks na crypto kuna risk kubwa tofauti na kwenye bonds, hata nikiamua kuwekeza huko itakua ni amount ndogo ndogo kila mwakaMm nakupongeza Kwa kile unachotaka kukifanya najua upo ulaya au USA (riba ya mkopo)
Mm ushauri wangu ungetafuta mda wa kujifunza kuwekeza kwenye sector mbalimbali mfano stocks,bonds,real estate ,crypto etc.
Mwaka mmoja unatosha kutafuta elimu ya kuwekeza kwenye industry unayochagua then badae ndo unawekeza hela yako ulikojifunza.
Mafano mm nina mwaka wa pili najifunza kuwekeza kwenye USA stocks. Mwezi wa kumi naanza rasmi kununua hisa za makampuni ya USA japo last year November nilianza kununua Kwa udogo na nimeona faida kubwa hadi sasa (400%).
Nakushauri anza kwanza Kwa kujielimisha huku ukianza Kwa udogo.badae ukishakua vizuri unaweka hela yote.kuwekeza bila elimu ya ndani ni disaster.
Nimeangalia wazo lako ni zuri na ninapenda kuwafahamisha hata hapa ndani zipo taasisi zinazotoa chini ya asilimia 10 ya riba kwa wafanyakazi wao kama mikopo ni njia ya kuwapa wafanyakazi motisha. Wasiwasi wangu tu ni pale unapokupa kwenye dollar na unakuja kuwekeza kwenye shilingi hapo kuna kitu kidogo cha kuongalia tofauti ya inflation ya TShs na ile ya nchi unayokopa ili izije kukata baadaye kuna watu wanafanya hedging hapo ukiweza kuweka sawia inaweza kuwa investment nzuri sana ila ningekushauri baadhi uweke kwenye fixed deposit ili ukiwa i need ya hela unaweza kuvunja tu mkataba ukakabiliana nayo. uwe na ya mwaka 1, 2, 5 na 10 itakusaidia kwenye mambo yatakayoibuka. Malipo ya T-bond huwa ni mara mbili kila baada ya miezi sita.Sio TZ mkuu
Na mimi nahitaji kufahamu hili maana hili dili ni 'too good to be true'.Hatifungani hivi hela zako kweli zinakuwa salama
Asante kwa ushauri, kuna mdau amesema TPB wana rate nzuri kwa sasa 11% kama sikosei kwa miaka miwiliNimeangalia wazo lako ni zuri na ninapenda kuwafahamisha hata hapa ndani zipo taasisi zinazotoa chini ya asilimia 10 ya riba kwa wafanyakazi wao kama mikopo ni njia ya kuwapa wafanyakazi motisha. Wasiwasi wangu tu ni pale unapokupa kwenye dollar na unakuja kuwekeza kwenye shilingi hapo kuna kitu kidogo cha kuongalia tofauti ya inflation ya TShs na ile ya nchi unayokopa ili izije kukata baadaye kuna watu wanafanya hedging hapo ukiweza kuweka sawia inaweza kuwa investment nzuri sana ila ningekushauri baadhi uweke kwenye fixed deposit ili ukiwa i need ya hela unaweza kuvunja tu mkataba ukakabiliana nayo. uwe na ya mwaka 1, 2, 5 na 10 itakusaidia kwenye mambo yatakayoibuka. Malipo ya T-bond huwa ni mara mbili kila baada ya miezi sita.
Tanzania postal bank. Yetu Bank inaenda hadi 13% kwa mwaka, wacheki mkuu, na kama sijasahau hii rate ni kuanzia 50M.Mkuu ni benki gani hiyo wanayotoa Fixed deposit kwa rate ya 11%, hiyo pia inaweza kuwa option nyingine naweza kuifikiria
Karibu tushirikishane hapa. Naona sasa linatekelezeka baada ya kuona maoni ya wadauNinawzo kama lako