Ni Zanzibar ipi wanaitaka?

 
Kwani sisi tukitaka Tanganyika yetu, tutaka na burudi na rwanda zirudi Tanganyika. Zanzibar wanayotaka ni hiyo ya mapinduzi. Kabla ya mkoloni hatukuwa na nchi.Zanzibar ya awali ya sultani ni pemba unguja na comoro huko pamoja na shelisheli.

Huku kwingine walikuwa ktk transistion ya kuigawa, leo ukishinda vita sehemu inakuwa yako ukishindwa mnaingia ktk makubaliano, kama vile mombasa mreno alivyoshindwa, ikaja mjerumani akashindwa wakaimegua nchi ya ujerumani mashariki mwa afrika, wakaitoa burundi, na rwanda.

Huko commoro na shelisheli madagasca wafaransa wakamtoa nduki sultani, sasa sultani ili kumpozapoza wakamuongezea pwani ya afrika mashariki harafu baadae nayo wakamnyanganya.

Kwa hiyo, zanzibar wanayotaka ni ile iliyoungana na Tanganyika na si zaidi ya hapo.
 
Acha umalaya ninyi kwani lazima muolewena na Wakenya, kwani hamuwezi simama peke yenu?. Kama mtagusa hata hela ya chumvi kwa Mkikuyu na Mjaluo jaribuni. Tunawatakia kila na heri


Bwana mwenye jina kubwa, kwanini unakuwa mkali na wingi wa matusi wakati wa kutuma post zako? Mwanzoni nilikuona mtu msomi mstaarabu lakini kumbe nilijidanganya sana.

Na kwanini likitajwa jambo la Zanzibar unakuwa mkali hivi?

Kwetu sisi hatuoni tofauti baina ya mkoloni mweupe au mweusi.

Kumbe unadhani huu Muungano ambao wengi kumbe mnataka udumu na kujificha nao utadumu?

Mimi nakuomba uwe mstaarabu kidogo maana mimi najadili hoja na matusi sikuzoea.

Kuwa tolerant na mawazo ya wengine Mkuu tafadhali.
 

Wewe acha kujifanya mtaalamu wa kubadisha mambo...Tanganyika na Zanzibar ziliungana .Siku na tarehe ya Muungano inajulikana. Kama Zanzibar ya Sultan, Cheif ,ya Kifalme wewe haikuhusu. Angaliya TANGANYIKA yako na maendeleo ya Tanganyika. Historia ya Zanzibar inajulikana. Zanzibar imekua nchi kabla ya Tanganyika. Wakati Zanzibar ipo kama nchi hapa (Tangayika ) ilikua ni pori tu.
Sema ulichokificha moyoni mwako usijifanye mwana falsafa mahiri,kumbe ndio wale wale maneno mengi mbele kiza. Kama kweli unauchungu na nchi hii kwanza angalia Mtwara, Lindi , Sumbawanga , Loliondo na sehemu nyengine. Musijipe madaraka ya kutaka kutawala watu wakati nyinyi wenyewe hamna mbele wala nyuma.

Yule Mungu wenu (Nyerere) aliwadanganya na kawambia kama Zanzibar ni sehemu ya Tanganyika kwahiyo hamuwezi kuiwachia. Kama kweli umesoma historia ya Afrika Mashariki basi majibu utayapata . Hapa humdanganyi mtu...sio watu wote akili zao zimefumba. Nenda ukawadanganye huko , sio hapa. Kama Nyerere ame ku-brain washed pole sana. Unachotakiwa kufanya ni kudai kuwepo kwa serikali ya Tanganyika na sio kuwalaumu watu wanao dai haki zao.
 

Kwa sasa hivi Tanzania tunayo, Tanganyika tunayo na Zanzibar tunayo wewe ni kusuka au kunyoa.
 
 
=takashi;1876917]Kama Zanzibar ya Sultan, Cheif ,ya Kifalme wewe haikuhusu
.
Ndiyo maana ya mjadala, ukiongelea muungano Zanzibar inahusu, jibu hoja kama ilivyoletwa

Zanzibar imekua nchi kabla ya Tanganyika. Wakati Zanzibar ipo kama nchi hapa (Tangayika ) ilikua ni pori tu.
Umesahau kuwa dunia yote ilikuwa ni pori na neno nchi ni la wanadam, na nchi zilitokana na mipaka iliyowekwa na si Wazanzibar bali wakoloni.

Sema ulichokificha moyoni mwako usijifanye mwana falsafa mahiri,kumbe ndio wale wale maneno mengi mbele kiza.
Hapa umetusaidiaje kujibu hoja, maana hasira na ghadhabu ni kipimo cha udhaifu wa hoja au kujieleleza

Kama kweli unauchungu na nchi hii kwanza angalia Mtwara, Lindi , Sumbawanga , Loliondo na sehemu nyengine. Musijipe madaraka ya kutaka kutawala watu wakati nyinyi wenyewe hamna mbele wala nyuma.
Ni huko huko wapo Wazanzibar waliohamia na kuiacha nchi yao ya ahadi yenye mito ya maziwa na maji ya asali. Jiulize wanafanya nini huko

Yule Mungu wenu (Nyerere) aliwadanganya na kawambia kama Zanzibar ni sehemu ya Tanganyika kwahiyo hamuwezi kuiwachia.
Una chochote cha kuthibitisha maneno yako? au ni dhana tu iliyojengeka katika misingi ya chuki na hasira!

Hakuna sababu ya kudai serikali ya Tanganyika kwasababu hilo si tatizo la Watanganyika. Serikali ya Tanganyika itawasaidiaje ninyi Wazanzibar, hilo ni la Watanganyika na wanaweza kuamua ibaki Tanzania kama jina kwasabau nchi itabaki na mipaka yake.

Inasaidia zaidi katika mijadala kama hii kujibu hoja. Jazba na munkar ni sehemu ya mwisho kabisa ya utetezi kwa asiye na hoja. Bado swali linabaki pale pale Zanzibar ipi mnaidai, ya sultan (kwasababu hamtambui mapinduzi) au mwingereza n.k.
Na kipi kinawashinda leo hii kuamua muondoke bara, mrudi mkaijenge nchin yenu? Wale 500,000 wanafanya nini bara?
FYI Hospitali ya mnazi mmoja haina wataalamu wote wametimkia bara, mbona hili hamjiulizi ni kwanini.
 
 

unataka kujua nn kuhusu huyo kafiri ? Allah amemlaani amemtokomeza kama alivyomtokomeza firauni wa misri kwa kuzulumu roho za waumini wa kweli vipenzi vyake Allah ...bahati nzuri Field Marshal wa ukweli iddi amin dada was take care of this guy na ndio maana kafa kibudu(nyerere wenu akaleta chochoko zake then mkamvamia yule jamaa na kumzushia mambo tele kwa vile alikuwa muslim) yaani watu wa bara ambao waliokuwa makafiri tokea siku izo wanavisasi na waislam c ndio hao wadhungu wenu walivowajenga amewatawala then amewaambia wachukieni waislam then kawavamieni kule zanzibar muwauwe.
 
 

na kwann isikuwapo sababu ya kudai tangayika yenu ? Hili koti la muungano mutajivisha mpaka lini maana kipindi cha joto kinakuja msije mkaanza kupapatua kutaka kulivua while is too late...katika kila comment yako kitu kikubwa umeonyesha kuwa na chuki na visiwa hivi vya marashi ya karafuu and white sand beach hata huko miami huupati, hizo chuki zako hazima mantiki hapa sisi tutaendelea kudai nchi yetu hayo maswali yenu ya paukwa pakawa na abunu wasi hata hayatosaidia kitu kwani ss mkishatupa nchi yetu ndio tutajua wenyewe tunaitaka ipi wewe sio kazi yako ..tumechoka na hawa wakoloni weusi , wizi mafisadi, majambazi , wachuna ngozi , huwezi hata kutembea kwa raha si kwa gari si kwa mguu , usipokee simu ishu, usisimame sehemu balaa then mnataka kutuambia nn hata mukiwa na madini kiasi cha mlima wenu ule k'jaro basi hayasaidii kitu whle wananchi walio wengi ni maskini and hamuwezi kuuondosha huo umaskini daima kwa ufisadi na roho zenu zilofanana na rangi zenu
 
 
Muungano wa tanzania nivichekesho nanimuungano wamaajabu sana.
Neno kuungana lina tafsiri nyingi tena za faida bt kwa kuungalia muungano wa tanganyika na znz hapa hapakua na maana hio waasisi wamuungano walikua wana tafsiri zao karume yeye aliutaka muungano kwashindikizo lanyerere nakuhofia kupinduliwa bt hata hivo aliwekeana mkataba wa miaka 10 tu,nyerere yeye alikua naajenda kuvitawala visiwa ambovo vikimkereketa sana kwa uislam na kuhofia uchumi wa znz itakua tishio kwa barani afrika kilicho endelea hapo tangu kuasisiwa huo muungano ninjama za nyerere hadi kumtoa roho karume ili itimie azma yake.sasa em tuangaieni faida nahasara yamuungano tangu 64 tutaona wazi upende wa znz hakuna faida hata moja zaid yakupopotolewa viungo vake hadi kuifuta ktk ramani yadunia,uchumi umenididimia umasikini umeongezeka. Wanzibar mimi nasema nihaki yao kudai wakitakacho,ikiwa wanataka kuvunja muungano sawa naikiwa wanahitaji muungano uwe wa usawa nihaki yao bcouse hizi ni nchi 2 tanganyika na zanzibar ndo ikapatikana tanzania kwa maksudi kuiyua tanganyika nakubakia na tanzania kweli huu ni muungano wa wenye nia safi nawa nchi mbili.
 

Inabidi wajiulize pia ni nini hatima ya CUF na CCM baada ya kuvunja muungano. Je ASP itarudi?
 
u must be too nervous and wewe kama kinauma kichwa sisi kichwa tumbo na miguu hadi mwili mzima tumeparalize kwa huu mungano feki
 

wacha ile kwetu ishakula kwetu now 47 years na haijawa lolote ndio tumepata nguvu haswa
 
Msomeni vizuri chipachi. Aina ya Zanzibar wanayoitaka wazanzibari si kitu cha msingi sana kwao, kwa sasa atleast. Wengi wanamumunya maneno kwasababu ya ustaarabu wao,lakini Chipachi, kwa muono wangu, anawakilisha haswa nini wanakitaka. Katikati ya mistari yake hafanyi jitihada zozote kuficha nia yake (au yao for this matter). Hebu msome, "uhuru" wanaoutaka na "minyororo" iliyowafunga shingoni sasa unaiona? Msomeni muone ni vipi Okello na Nyerere (japo kwa wanaoijua historia vizuri,hawa si marafiki wa kuwaweka kundi moja) wanakua villains na Iddi Amin dada anakua hero. Msomeni muone ni kwa vipi Tanganyika na watanganyika wake hasa watanganyika wenye rangi nyeusi zaidi ndio wanakua tatizo kubwa lililowadumaza na kuwanyonya wazanzibari.
Naomba tumsome, tusimpuuze,tusidhani anaropoka. Yaweza kuwa ngumu kuamini,lakini mimi naamini hayo yake yanawakilisha mawazo ya wazanzibari wengi sana! Kwani nani kasema vichwa vikiwa vingi haviwezi kuwaza vibaya na kukosea pamoja? Kama una-appreciate nguvu ya itikadi yeyote, iwe ya kisiasa, kimila, kijamii au kidini, basi hautampuuza na kuanza kufikiri kuwa kelele zote za muungano zinaweza kuwa ni za kiitikadi tu. Na ninakosea kusema za kiitikadi "TU".
 

Majibu anayoyapenda hutayapata....Samuel Sitta, alifahamishwa wazi kama Wazanzibari hawataki Muungano. Kama faida na hasara za Muungano ,inayoathirika ni Zanzibar. Mimi nawaona watu waajabbu sana waTangayika, wao wanawashangaa watu wa Zanzibar kudai haki zao. Lakini wao wenyewe (Tanganyika) wanaburuzwa na utawala mbovu. Hivi kama kweli kila wanachojisifia kuwa wanacho hii nchi ya Tanganyika kwanini bado masikini sana? kwanini watu bado wanaishi maisha duni sana?
Huu muungano ni kuambukizana umasikini na sio chengine... Hivi lini mta amka? Kuhusu Zanzibar gani wanaitaka, ni ile kabla ya MUUNGANO. Kama mnaona aibu kuitwa Tanganyika ,hilo jina Tanzania chukueni ,its not a big deal...Ila tu, msijipe madaraka ya kutawala wengine wakati nyinyi wenyewe hamna mblele wala nyuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…