jay aeshi
Member
- Dec 13, 2018
- 55
- 43
Mbona rahis tu mkuu zipo kwenye simu au pc?Mm ninazo tatzo kuziweka hapa sasa
Mbona rahis tu mkuu zipo kwenye simu au pc?Mm ninazo tatzo kuziweka hapa sasa
SimuMbona rahis tu mkuu zipo kwenye simu au pc?
Maelekezo hayo mkuu hapo hatua ya mwisho unaingia kwenye audio unasend tu brooSimu
Nmeshindwa broMaelekezo hayo mkuu hapo hatua ya mwisho unaingia kwenye audio unasend tu brooView attachment 974088View attachment 974089View attachment 974090
hicho kibao kinaitwa "asali" ..artist Dr kareemJamani kuna huu wimbo, ni wakitambo hvi.. Miaka kama 2007,2008 ilibamba sana.. So naomba jina
la wimbo na wasanii waloimba, maana yupo Boy na girl..
Nafahamu kiitikio tu cha huyo girl
"Mwenzio naogopa.. Naogopa nitajikata mie.. Huuuuu uuuuumama"
Jamani, hz ni fani za watu me siwezi kuimba ila nadhan mtakuwa mumeupatapata huo wimbo..
Naomba unitumie kwa whatssap mkuu 0620324387Nmeshindwa bro
Hii namba nmeichek kule kwenye lile group la whatsapp,,la oldskool bro,,kule tayal waliishusha album yake yote ya ally mbogo,,search kule utzpata zote,,mm pia nimeztoleaa kuleNaomba unitumie kwa whatssap mkuu 0620324387
Yeah nipo kule ila kuna raia kafuta madini yangu yote kwa simu yangu sasa kuwaambia wana kule kwa group la oldskuli wazitume tena naona kama usumbufu brooHii namba nmeichek kule kwenye lile group la whatsapp,,la oldskool bro,,kule tayal waliishusha album yake yote ya ally mbogo,,search kule utzpata zote,,mm pia nimeztoleaa kule
Owk,,ngoja nichek broYeah nipo kule ila kuna raia kafuta madini yangu yote kwa simu yangu sasa kuwaambia wana kule kwa group la oldskuli wazitume tena naona kama usumbufu broo
Owk,,ngoja nichek bro
naweza kupata link ya kujiunga hilo group mkuu?Hii namba nmeichek kule kwenye lile group la whatsapp,,la oldskool bro,,kule tayal waliishusha album yake yote ya ally mbogo,,search kule utzpata zote,,mm pia nimeztoleaa kule
Mkuu maswala ya PM tena?? Si uzi upload hapa na sisi tuzipate?Nnazo zote nitafte PM
Nitafuteni ule wimbo wa olduvai band "baba Kaleta panya" original nitatoa sh 10,000.
Huo ni copy mi nahitaji ule original wa Olduvai band.Kwa niaba ya...
Kiongozi una original version ya kighetogheto nimeitafuta sana, nimeikosaJiko Limenuna zipo Version mbili...
Huu hapaKiongozi una original version ya kighetogheto nimeitafuta sana, nimeikosa
Huu hapa. Enjoywacha party ianze snop lee ft duly sykes
Mkuu huu uliotuma ni remix, upo original version alishirikishwa Juma Nature na kundi linaitwa Wandava kama sikosei.Huu hapa