Kuna nyimbo 2 naziyafuta kea mwenye kuzijua anitumie..
1.Taarabu inaitea Mama shughuri Ameimba Mwanahawa ally.
2.Kuna wimbo ameimba afande sele sijui unaitwaje nakumbuka baadhi ya mistari tu..
"Ametoroshwa mpenzi wangu ameniacha mama aaa
Ameondoka ameniacha sina la kufanya,
Amini ipo siku moja utakuja nikumbuka aaa
Ipo siku utakuja nikumbuka mimi...
Unatumaje audio ili nikutumie hizo nyimbo..
Ipo hapa hapa, i search kwa jina umeondoka
Zipo hizo zote kwenye huu uziJustine kalikawe - usitumie cheo chako. Na nyimbo zake nyingine
Usjali nitawa-check mkuu. Thanks.
zipo za afande sele zimeshushwa karibia zote kwa pamoja sikumbuki ni post no ngapi tuuSijaipata mkuu
NATAFUTA WIMBO FULANI WA CHARANGA ULIOIMBWA KWAKISWAHILI....akapita kisuranami nikamwitanikauliza waitwa naninaitwa mariaoooh mariamtoto kolikolimtoto zurizurintakupa korola
JE NANI ALIIMBA,WIMBO UNAITWAJE,,PIA NISAIDIENI KUUPATA
Naomben wimbo wa sugu feat dully Sykes -usiku ndo huu
ALBUM:FUNGA KAZI
KUNDI:HARD BLASTERS(HBC)
MWAKA:2000
Ilikua na ngoma 11.View attachment 1197548
Ilikua ni Album ya 3 ya HBC ikitanguliwa na BLUST NUFF na MAMBO YA MJINI-(kabla ya NIgga J ambae kwasasa ndo Prof J kujiunga HBC)