Ni watatu tu wanaofaa urais 2015

Ni watatu tu wanaofaa urais 2015

John Pombe Magufuri hafiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaa kuwa raisi, ana jazba sana, anakurupukaaaaaa sana, ana kisasi sana hata na yeye ni mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, ila anakula na kupuliza, angalau tunaiona kazi yake..

Halafu hata na yeye ameanza kuumwa umwa, nchi hii ni masikini na tuko nyuma, tunahitaji raisi mwenye akili sanaaaaaaaaaaa, mwenye afya bombaaaaaaaaaa, mchapa kazi sanaaaaaaaaaaaaa, atutoe from point A to point B kwa umakini sana, tunahitaji uchumi ukuwe, employment zipatikane kwa wingi, hospital, maji safi, barabara etc, etc, siyo lele mama na mchezooo....

Anahitajika rais mwanye jazba,bila kupata rais mwanye jazba hatutaweza kujenga taifa imara kwani kutakwa na mzaha mzaha.

Sijui lini nchi hii atatokea kiongozi wa aina ya sokoine au Agustino Mrema.hawa ndio wangeweza kuleta mabadiliko ya kweli na pia viongozi wa aina hii ni hadimu sana kutokea.
 
Rushwa imetamalaki CMM, Kama wanataka hii nchi, they have to change, they have to fight corruption, starting within their own party system! They have to elect their leader without considering wealth status! Thus personally i cant see CCM progressions if they will continue holding and valuing this VICIOUS behaviour of them. But at the same time i am worried, for they will use PEPAR in winning back this country without having their system changed! The problems within this country could never ever end, if we will continue with our selfishness that leads to lack of patriotic spirits
 
Lowasa hawezi urais. Kwanini akakubali kua kafara?
 
1. Wote hawa ni wachapa kazi
2. Wote hawa wanamsimamo.
3. Wote hawa wana vision na nchi
4. Wote hawa wanamaamuzi magumu kwa maendeleo ya nchi.
5. Wote hawa wakotayari kusimamia sheria kwa watendaji

na vigezo vingine vingi tu......

Ila mmoja ni mwizii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 

Anahitajika rais mwanye jazba,bila kupata rais mwanye jazba hatutaweza kujenga taifa imara kwani kutakwa na mzaha mzaha.

Sijui lini nchi hii atatokea kiongozi wa aina ya sokoine au Agustino Mrema.hawa ndio wangeweza kuleta mabadiliko ya kweli na pia viongozi wa aina hii ni hadimu sana kutokea.
....

Kama urais ni jazba basi Aggrey Mwanri ndio anafaa.
 
Padri akishika hii nchi basi yesu karudi hao wengine napita.....

ACHA MATANGAZO YAKO YA UDINI-POOR TANZANIANMbona Shk! kashika nchi na Hatuna tabu isipokuwa hii ya poor administration?
 
Lowasa kwanza atuambie vizuri kuhusu Richmond, bado hajanasuka.

Magufuli atuambie kwanza uuzaji wa nyumba za serikali, na ile ya kwake aliyoinunua pale Ali Hassan Road, na amemuuzia nani ama ni yeye anayefanya uwekezaji pale.

Dr Slaa peke yake ndiye anayesimama bila lawama.

Itabidi na sisi tufanye kama Kenya, wagombea urais ni lazima wapite Integrity Test.
 
John Pombe Magufuri hafiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaa kuwa raisi, ana jazba sana, anakurupukaaaaaa sana, ana kisasi sana hata na yeye ni mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, ila anakula na kupuliza, angalau tunaiona kazi yake..

Halafu hata na yeye ameanza kuumwa umwa, nchi hii ni masikini na tuko nyuma, tunahitaji raisi mwenye akili sanaaaaaaaaaaa, mwenye afya bombaaaaaaaaaa, mchapa kazi sanaaaaaaaaaaaaa, atutoe from point A to point B kwa umakini sana, tunahitaji uchumi ukuwe, employment zipatikane kwa wingi, hospital, maji safi, barabara etc, etc, siyo lele mama na mchezooo...

Au mnaogopa kupiga mbizi?
 

Anahitajika rais mwanye jazba,bila kupata rais mwanye jazba hatutaweza kujenga taifa imara kwani kutakwa na mzaha mzaha.

Sijui lini nchi hii atatokea kiongozi wa aina ya sokoine au Agustino Mrema.hawa ndio wangeweza kuleta mabadiliko ya kweli na pia viongozi wa aina hii ni hadimu sana kutokea.....


kajifunze mwandiko huku si level yako,usilete foleni isiyo ya lazima.
 
Wewe unaesema 152 unajua aliye kuwa anaenda kuzichukua pale hazina uliza kwanza uambiwe sio kutuhumu watu
 

Hapo kwenye red huyu mtu ni hatari kwa visasi hafai kuwa na maamuzi ya mwisho juu ya mustakabali wa nchi kwa kuwa atakayetofautiana naye kwa mtizamao anaweza kuishia jela kama Dk Slaa hatakuwepo ni bora hata ya Lowasa na ufisadi wake kuliko Magufuli

Naungana na wewe mkuu; asiyeamini awaulize watu wa jimboni kwake wanaojaribu kwenda agaist naye!
 
lowassa wants to prove to Tanzanians that all allegations leveled against him are false and he will prove to us as the best president ever.
 
zitto akiingia anaweka mahakama ya kadhi.
 
bila kujitambua katu hatutoweza kutoka kwenye umaskini? Just imagine watu wamelitengeneza giza na kuingia mikataba ya hajabu leo hii tunasema wanafaa kuwa viongozi. Mtu aliye na uchu wa madaraka kupindukia anayelalamikiwa na chama chake bado anatajwa kuwa kiongozi wa nchi. Mtu ambaye amekuwa akitoa maneno ya kuidhoofisha serikali yake kwa ajili ya kupata ushawishi leo tunamtaka hawe rais. Kwa mazingira ambayo tayari watu wamekula zao kwenye gas na mafuta, je hunawezaje kumweka mtu aliyehukumiwa na jamii kuwa ni fisadi? Tazama midomo yake anapokuwa kwenye harambee kila kona makanisani ni dhairi anatokwa udenda wa madaraka. Matajiri wako nyuma yake na wanamsaidia kupiga hatua huyo kweli awe rais wataifa linalotarajia gas na mafuta kuwa mkombozi? Shule na udom ndizo sifa? Fedha zilizotumika si za kodi tumekamuliwa huku kodi ikipita njia hisiyo sahihi, huyu awe rais? I will go beyond that. I will go to the visionary leader, i will go for true leader, i will go for a reformer and honest leader for this nation.

well said
 
Back
Top Bottom