Young Tanzanian
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 1,736
- 293
nmeipenda hii list..bt maguful anafaa pm
Lowasa kwanza atuambie vizuri kuhusu Richmond, bado hajanasuka.
Magufuli atuambie kwanza uuzaji wa nyumba za serikali, na ile ya kwake aliyoinunua pale Ali Hassan Road, na amemuuzia nani ama ni yeye anayefanya uwekezaji pale.
Dr Slaa peke yake ndiye anayesimama bila lawama.
Itabidi na sisi tufanye kama Kenya, wagombea urais ni lazima wapite Integrity Test.
4.mwigulu nchemba1. Wote hawa ni wachapa kazi
2. Wote hawa wanamsimamo.
3. Wote hawa wana vision na nchi
4. Wote hawa wanamaamuzi magumu kwa maendeleo ya nchi.
5. Wote hawa wakotayari kusimamia sheria kwa watendaji
na vigezo vingine vingi tu.
Katika viongozi waliopo sasa hapa nchini kwetu haijalishi ametokea chama gani, wafuatao ndio wanaofaa kuwa rais mwaka 2015:
1. Edward Lowassa
2. John Magufuli
3. Dr. Slaa.
Wengine ni porojo tu.
Katika viongozi waliopo sasa hapa nchini kwetu haijalishi ametokea chama gani, wafuatao ndio wanaofaa kuwa rais mwaka 2015:
1. Edward Lowassa
2. John Magufuli
3. Dr. Slaa.
Wengine ni porojo tu.
Kha! Hutuba za nyerere za nini tena? Tutumie akili zetu.Lowasa hafai ila sijui vigezo ulivyotumia
ukisoma hotuba za Nyerere jamaa huyu hafai kabisaaa
kwasababu sijasikia akiongea juu ya rushwa za kimtandao
ndani ya CCM, na yeye zote zinahusishwa na yeye.
Mkuu naona hujanielewa vizuri....ni kama vile umejawa na jazba....sijasema kwamba kila alichokisema kilikuwa sahihi...yeye ni mwanadamu..kama mimi na wewe. Lakini lazima tukubali alikuwa na upeo mkubwa sana..na haya utaona kama ukiwa unaweza kufikiria ukiwa huru. Kwa kifupi haya tunayoyaona leo ni yeye Mtume Nyerere ndiyo aliyachelewesha.....aliyaona....aliingilia kati akayapoteza.....yalikuwa yaonekane mara baada ya utawala wa Mwinyi..Tumshukuru angalau tuliishi kwa miaka 10 ya raha na nidhamu....kama hulioni hili basi ujue una jambo linaziba nuru ya macho yako.....Ndio uhuru wa kuabudu endelea kuwa muumini wa mtume Nyerere,ni wendawazimu kuamini kila alilosema Nyerere lilikuwa sahihi au leo taifa la Tanzania haliwezi kwenda bila yeye.
Punguza jazba mkuu....utapandwa na presha....wezi wote wako magerezani....:sleepy:we ni umbwa¬ mwizi huyo namba moja wa nini?umetumwa!hivi kwanini hatujifunzi pamoja na kuwa mjini ambapo info zipo za kutosha>?hivi hii nchi ilipofika tuna sababu ya kuwaa kumpa nchi mwizi??anayetaka urais kwa gharama yoyote ile? ma-chiziiiiiiiiiiiiiiiii wakubwa nyie!
Haijalishi kama unakubaliwa au haukubaliwi...."Kushinda uchaguzi ni mbinu tu" - JMKNimefuatilia comment zote kwa karibu sana inaonesha watu wanamkubali sana EL. Kwa mujibu wa hapa JF EL anaweza akaongoza nchi.
Gaidi!teh teh teh!
Ongeza na Ponda Issa Ponda