Kwa 3 hao nakubaliana na EL. Magufuli anafaa u-PM. kwangu mie CCM wakimuweka EL nitampigia, Chadema wakimuweka Zitto nitampigia.
Kwa hali tuliyofikishwa na JK, tunahitaji rais dictetor, atakayerudisha hadhi ya rais, atakayesema acha unaacha mwenyewe, atakayenda ziara mikoani wenyeji watetemeke, vile hawajui siku wala saa, watabaki wasafi.
Namkubali EL bila kujali yeye ni fisadi au la, ila ninachoamini ni kwamba ataizalishia Tz kingi sana na (kama mwizi/fisadi ataiba sana ila ziada itakayobaki itakuwa kubwa sana kuliko kumchagua mtu msafi halafu hazalishi na hana uwezo wa kusimamia wezi, kama ni mwiz, wahenga wakasema ukitalka mtoto wako abaki salama, mpe mchawi!
Magufuli anafaa kwa kuwa naye anaweza ku-dictate, ila relatevely, anazidiwa na EL kwa maana EL ana kadiplomatic fulni.
EL - Hata Joyce Banda asingethubutu kuleta utata, awaulize msimamo aliokuwa nao akiwa waziri wa maji wamisri walipotaka tusiwape wasukuma wa mwanza, shinyanga, kahama maji ya lake!
Zitto yuko juu ya Dr, Dr anarusha tu naweza kusema umbeya anaopewa (Sorry umbeya means taarifa, kutaja mafisafi bila kuogopa mi naona sio kige\o cha kiongozi bora, ila Zitto anajenga hoja ya focus kiuchumi na siasa zenye maslahi ya kitaifa, basedkwenye sera and national focus na sio kujadili mafisafi mikutano yote!
yes, ni EL, Zitto, Mbowe, magufuli resp.