kibananhukhu
JF-Expert Member
- Jul 6, 2009
- 366
- 165
Wapeni Naafasi Vijana:
1. Myika
2. Filikunjombe
3. January
4. Nape
1. Myika
2. Filikunjombe
3. January
4. Nape
list yangu ni hii!
1. maji marefu
2. dovutwa
3. le mutuz.
John Pombe Magufuri hafiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaa kuwa raisi, ana jazba sana, anakurupukaaaaaa sana, ana kisasi sana hata na yeye ni mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, ila anakula na kupuliza, angalau tunaiona kazi yake..
Halafu hata na yeye ameanza kuumwa umwa, nchi hii ni masikini na tuko nyuma, tunahitaji raisi mwenye akili sanaaaaaaaaaaa, mwenye afya bombaaaaaaaaaa, mchapa kazi sanaaaaaaaaaaaaa, atutoe from point A to point B kwa umakini sana, tunahitaji uchumi ukuwe, employment zipatikane kwa wingi, hospital, maji safi, barabara etc, etc, siyo lele mama na mchezooo...
huyoo wa kwanza hatufai kabisa watz ila kwakuwa tumeshawajua enyi mafisadi endeleeni kumtaja kila kukicha kwenye jf kwani pesa yake ya kutuingiza mikataba ya hovyo ndo inayowafanya muone anafaa kuwa raisi. Ni maamuzi gani magumu aliwahi kuyafanya katika kipindi cha uongozi wake ktk nchi yetu? Kama si kutuingiza kwenye hasara na umasikini kwa mikataba yake ya kifisadi. Naomba myataje maamuzi magumu na vision aliyonayo kama si kupewa hela mmpigie debe jf???[/Q
Hata wewe umepewa hela uje umchafue Lowassa hapa JF. Ajabu ni kwamba watu wanatumia houba ya Nyerere kumkataa Lowassa, wakiambiwa wathibititshe ufisadi wake hawawezi. Wanaishia kuzungumzia Richmond lakini hawazungumzi Symbion iliyotokana na Dowans. Kama hamtaki awe Rais basi tumchague Pinda ambaye hana kashfa na wala hakutajwa na hotuba ya Nyerere. Hapo ni watu wawili tu either Dr Slaa au Edward Lowassa
Hata wewe umepewa hela uje umchafue Lowassa hapa JF. Ajabu ni kwamba watu wanatumia houba ya Nyerere kumkataa Lowassa, wakiambiwa wathibititshe ufisadi wake hawawezi. Wanaishia kuzungumzia Richmond lakini hawazungumzi Symbion iliyotokana na Dowans. Kama hamtaki awe Rais basi tumchague Pinda ambaye hana kashfa na wala hakutajwa na hotuba ya Nyerere. Hapo ni watu wawili tu either Dr Slaa au Edward Lowassahuyoo wa kwanza hatufai kabisa watz ila kwakuwa tumeshawajua enyi mafisadi endeleeni kumtaja kila kukicha kwenye jf kwani pesa yake ya kutuingiza mikataba ya hovyo ndo inayowafanya muone anafaa kuwa raisi. Ni maamuzi gani magumu aliwahi kuyafanya katika kipindi cha uongozi wake ktk nchi yetu? Kama si kutuingiza kwenye hasara na umasikini kwa mikataba yake ya kifisadi. Naomba myataje maamuzi magumu na vision aliyonayo kama si kupewa hela mmpigie debe jf???
Mulugo,lusinde,sophia simba,wasira etc
Wanaofaa hawajulikani.
Wanaojulikana hawafai.
Katika viongozi waliopo sasa hapa nchini kwetu haijalishi ametokea chama gani, wafuatao ndio wanaofaa kuwa rais mwaka 2015:
1. Edward Lowassa
2. John Magufuli
3. Dr. Slaa.
Wengine ni porojo tu.
Katika viongozi waliopo sasa hapa nchini kwetu haijalishi ametokea chama gani, wafuatao ndio wanaofaa kuwa rais mwaka 2015:
1. Edward Lowassa
2. John Magufuli
3. Dr. Slaa.
Wengine ni porojo tu.
Rais wa wapi labda wa Nyumbani kwako. Hao ndio uliowachagua wewe na familia yako.Katika viongozi waliopo sasa hapa nchini kwetu haijalishi ametokea chama gani, wafuatao ndio wanaofaa kuwa rais mwaka 2015:
1. Edward Lowassa
2. John Magufuli
3. Dr. Slaa.
Wengine ni porojo tu.
Hamna wezi humu kweli?1. Wote hawa ni wachapa kazi
2. Wote hawa wanamsimamo.
3. Wote hawa wana vision na nchi
4. Wote hawa wanamaamuzi magumu kwa maendeleo ya nchi.
5. Wote hawa wakotayari kusimamia sheria kwa watendaji
na vigezo vingine vingi tu.
Lowasa hafai ila sijui vigezo ulivyotumia
ukisoma hotuba za Nyerere jamaa huyu hafai kabisaaa
kwasababu sijasikia akiongea juu ya rushwa za kimtandao
ndani ya CCM, na yeye zote zinahusishwa na yeye.
Nyerere ni mungu?