Ni watatu tu wanaofaa urais 2015

Ni watatu tu wanaofaa urais 2015


Hapo kwenye red huyu mtu ni hatari kwa visasi hafai kuwa na maamuzi ya mwisho juu ya mustakabali wa nchi kwa kuwa atakayetofautiana naye kwa mtizamao anaweza kuishia jela kama Dk Slaa hatakuwepo ni bora hata ya Lowasa na ufisadi wake kuliko Magufuli
Watu walitabiri
 
Kati ya hao wawili wameingia kwenye ushindani mkali.
 
Sidhani kama anaogopwa, lakini ninadhani kwamba hana simile. Anapaswa kuwa mtendaji, kwa maana ya kwamba akitoa kauli kwa kukurupuka, basi Rais awepo kwa ajili ya kuirekebisha. Ni mfuatiliaji sana na anataka mabadiliko ya haraka kwa kila jambo. Hana simile, sasa mambo mengine hayawezekani kwenda hivyo.

Ni dhahiri Magufuli angekuwa Rais angeshaagiza jengo la TANESCO livunjwe, sasa maamuzi ya level ya urais hayawezi kuwa yanafanywa kirahisi namna hiyo. Anatakiwa tu awe ni mtendaji, tukimpa kazi ya kufuatilia utekelezaji wa ilani, hatapindisha. Na ikitokea akapindisha, Rais atarekebisha. Sasa niambie yeye ndo Rais halafu amewaambia watu wapige mbizi kama hawawezi kulipa nauli. Tell me wananchi wamemjia juu what will happen?

Labda mtu ambaye ningesema ana staha nzuri na umakini mkubwa naweza kusema Mwakyembe. Lakini Magufuli, hapana. Yeye afanye kazi katika level ya mtendaji mkuu (PM).
JF kulikuwa kuna vichwa aiseeh. Nikiangalia sukari na hizi kauli zake za karibuni dah uliona mbali.
 
Hapo kwenye red huyu mtu ni hatari kwa visasi hafai kuwa na maamuzi ya mwisho juu ya mustakabali wa nchi kwa kuwa atakayetofautiana naye kwa mtizamao anaweza kuishia jela kama Dk Slaa hatakuwepo ni bora hata ya Lowasa na ufisadi wake kuliko Magufuli
Mkuu yameshatimia
 
Kati ya hao wawili wameingia kwenye ushindani mkali.
Uliona mbali sana,kwa maono yako pia una nafasi ya kutuambia huyu tuliyenaye kwa mwendo huu ile kiu tuliyokuwanayo ya mabadiliko na maendeleo kiuchumi na kisiasa tutayapata?
 
we ni umbwa¬ mwizi huyo namba moja wa nini?umetumwa!hivi kwanini hatujifunzi pamoja na kuwa mjini ambapo info zipo za kutosha>?hivi hii nchi ilipofika tuna sababu ya kuwaa kumpa nchi mwizi??anayetaka urais kwa gharama yoyote ile? ma-chiziiiiiiiiiiiiiiiii wakubwa nyie!
Upo ndugu, ulikuwa Na hasira Sana, basi kakosa urais Baba
 
Katika viongozi waliopo sasa hapa nchini kwetu haijalishi ametokea chama gani, wafuatao ndio wanaofaa kuwa rais mwaka 2015:

1. Edward Lowassa
2. John Magufuli
3. Dr. Slaa.

Wengine ni porojo tu.
kumbe
 
Uliona mbali sana,kwa maono yako pia una nafasi ya kutuambia huyu tuliyenaye kwa mwendo huu ile kiu tuliyokuwanayo ya mabadiliko na maendeleo kiuchumi na kisiasa tutayapata?
Ukisoma thread yangu nilieleza kila kitu. Sitaki nirudie. Hapa tutaanza kuongea bra bra ambazo huwa sizitaki.
 
Hapo kwenye red huyu mtu ni hatari kwa visasi hafai kuwa na maamuzi ya mwisho juu ya mustakabali wa nchi kwa kuwa atakayetofautiana naye kwa mtizamao anaweza kuishia jela kama Dk Slaa hatakuwepo ni bora hata ya Lowasa na ufisadi wake kuliko Magufuli
Ningekujua mzee ningekukunulia hata soda baridi. Uliona mbali sana miaka 4 iliyopita.
 
Wa kwanza anaueezo sawa ila asingeweza kutumbua majipu na kukomesha lushwa pia tungebaki tunadhalauliana tu si kama saiv watu tunaheshimiana maoffsin
Wa pili:anauwezo sana isipokuwa inatakiwa akubali kukosolewa pale anapofanya kinyume pia asiwe na maamiz bila kuyapima kama yanaweza kuwa na madhara kwa baadae,yuko vizur sana ila afate katiba tu mambo yataenda sawa na asikilize ushauli pande zote sio kiidikadi
Wa tatu;hafai kabisa hata kidogo sasa huyo tungeuzwa hata ss,tungejuta kabisa hana maamuz magum,pia msaliti mtu wa kweli na fighter waga sio kigeugeu alionyesha uzaifu kama manakumbuka hivyo hafai kwa mawazo yang lakin.
 
Wa kwanza anaueezo sawa ila asingeweza kutumbua majipu na kukomesha lushwa pia tungebaki tunadhalauliana tu si kama saiv watu tunaheshimiana maoffsin
Wa pili:anauwezo sana isipokuwa inatakiwa akubali kukosolewa pale anapofanya kinyume pia asiwe na maamiz bila kuyapima kama yanaweza kuwa na madhara kwa baadae,yuko vizur sana ila afate katiba tu mambo yataenda sawa na asikilize ushauli pande zote sio kiidikadi
Wa tatu;hafai kabisa hata kidogo sasa huyo tungeuzwa hata ss,tungejuta kabisa hana maamuz magum,pia msaliti mtu wa kweli na fighter waga sio kigeugeu alionyesha uzaifu kama manakumbuka hivyo hafai kwa mawazo yang lakin.
Hapa ndugu imepita huu ni mrejesho tu. Tusubiri miaka 7 tutawaletea utabiri mwingine.
 
tufufue na ule wa kuuzwa cdma pia au ule wa kumkaribisha lowasa
 
Mkuu hongera sana nimepitia kila comment tangu ya kwanza hadi ya dk 20 zilizopita.

1. Nilichofaham ulifikiri sana, vile vile ni ngumu sana kwa mtu asie na maono sahihi kwa miaka ile kufikiri MH JPM angekua raisi naamin hata yeye alikua hawazii na hata kama alikua akiwazia hakua serious about it.

2. Waziri Mstaafu EL kiukweli cjawahi kumkubali kushika nchi hata kabla CCM haija mchagua mgombea wake nilikua na manung'uniko mengi sana sababu ilikua inaonekana wazi kabisa EL alijiandaa kushika nchi kwa nguvu zote tukubali tukatae katoa pesa sana kaingia gharama sana, nakubuka 2015 nipo Ushirika moshi nikiongea na waliokwenda arusha kwenye safari ya matumaini waliyoyaongea baada ya kutoka kwenye mkutano huo wakieleza hela walizokula. Kiufupi nilikua radhi kupiga upinzani kama EL angesimama CCM ila alivyokatwa kwa maneno ya vijana nilishukuru na baada ya kusimama Mh JPM kura yangu ilikua CCM, kilichoharibika kabisa kuifanya kura kubaki CCM ni baada ya CDM kumpa EL jeshi la makamanda kuongoza kijiti dah.

Tukija kuongelea kiujumla wengi walivyosikia Mh JPM walishahisi haya na pengine walihisi yangekua sio kama sasa ila kiukweli mim bado sijaona muda wa kujuta coz ck zote hakuna maendeleo yakosayo challenge.
Swala la elimu bure limetoa challenge sana na naamini serikali inajitahidi kulifanyia kazi.

Swala la sukari indirect serikali ilishaonyesha kujikosoa yenyewe ilivyoanza kuagiza sukari nje hii ni kuonyesha kukosea katika maamuzi. Naamin swala la sukari litakwisha kwa juhudi thabiti zikiwekwa za uagizwaji wa sukari iliyopelea mafuta yalisumbua tukaweka mamlaka ya kusimamia na kuagiza kwanini kwa sass tusifanye hivyo kwenye sukari wakati ambao hatuna suluhisho la kudumu

Swala la democracy hili limekua kizungurumkuti cjakubaliana nalo ila linahitaji ufumbuzi binafsi cna ufumbuzi wa kudumu naamin katiba pekee ndio yaweza ila hatuna katiba ya kutetea na kuupa upinzani hadhi ya dhati. Vile vile inabidi tupate wapinzani thabiti wasio na makando kando na wasio wanafki.
Kiuchumi nchi iko vizuri kiasi chake ingawa tunahitaji usimamizi mzuri, ila kwa swala la kusimamia kodi na bandari hasa kwenye bandari kuna changamoto kubwa ingawa tumeanza vizuri sehemu ndogo ndogo, mwanzo bidhaa zilikua zikipita tu kwa sasa kuna uhaueni kiasi chake.

Utendaji wa taasisi za serikali na wizara umekua mzuri na tumeanza vizuri ingawa changamoto hazikosekani inabidi tujitahidi sana huku maana ndipo tunapotengeneza nchi inayosimamia miradi na kutoa services kwa wananchi kuimprove welfare.

Mbali ya yote mengi yameongelewa na niyakweli sana hayana uongo. Shukrani yangu kubwa ni kwa muanzisha hii thread Annie kitu kama hicho
 
Back
Top Bottom