Ni wapi Tanzania kuna bustani nzuri ya kupumzika kama ya Nakuru nchini Kenya?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2023
4,695
6,398
Ni sahihi kuiga vitu vizuri. Kama hatuna bustani nzuri kama hii iliyopo jijini Nakuru, Kenya, ni bora jitihada zifanyike ili miaka michache ijayo, tuwe na nzuri, tena kubwa kuizidi ya jijini Nakuru.

Najua pale Mwanza Mjini, jirani na Gandhi Hall, kuna bustani ya uma lakini ukiilinganisha na ya Nakuru, ni kadogo sana.

Je, tuna bustani ya umma nzuri na kubwa kama ya jijini Nakuru nchini Kenya?

IMG_20231203_084830.jpg
IMG_20231203_084523.jpg
IMG_20231203_084925.jpg
IMG_20231203_084902.jpg
IMG_20231203_083954.jpg
IMG_20231203_083627.jpg
IMG_20231203_083249.jpg
IMG_20231203_084014.jpg
 
Iko Wapi hiyo Bustani Nzuri...?

Ndio hizo picha..?

Au Umetumia Kamera Ya Tecno..?

Mbona Kinachooneka Cha Kawaida sana(Sijasema kibaya)

Ukitokea Mwenge Dsm ukafika Bagamoyo,hapo. Kati Utakutana na Mi Bostani Chungu mzima Zaidi ya Hizo Picha..!
 
Back
Top Bottom