GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 4,695
- 6,398
Ni sahihi kuiga vitu vizuri. Kama hatuna bustani nzuri kama hii iliyopo jijini Nakuru, Kenya, ni bora jitihada zifanyike ili miaka michache ijayo, tuwe na nzuri, tena kubwa kuizidi ya jijini Nakuru.
Najua pale Mwanza Mjini, jirani na Gandhi Hall, kuna bustani ya uma lakini ukiilinganisha na ya Nakuru, ni kadogo sana.
Je, tuna bustani ya umma nzuri na kubwa kama ya jijini Nakuru nchini Kenya?
Najua pale Mwanza Mjini, jirani na Gandhi Hall, kuna bustani ya uma lakini ukiilinganisha na ya Nakuru, ni kadogo sana.
Je, tuna bustani ya umma nzuri na kubwa kama ya jijini Nakuru nchini Kenya?