Ni wapi naweza kupata mkopo usio na RIBA ndani ya Tanzania hii?

Amani iwe nanyi.

Moja kwa moja naomba nijitambulishe kwa imani mimi ni muumini wa dini ya Kiislam.Katika maandiko matakatifu ya kitabu cha Quran naona kuwa Suala la RIBA limekemewa sana ,kifupi ni haramu kula au kutumia RIBA!

Principle kuu ni kuwa RIBA ni haramu, yaani ongezeko lolote la pesa juu ya mkopo ni RIBA na haifai kudeal na jambo hilo. Hivyo inaniwia vigumu kukopa katika taasisi za kifedha kama vile benki maana system ya mikopo yao ni RIBA.

Ukikopa mfano shilingi milioni 1 basi utatakiwa kurudisha milioni 1.2 au ukikopa milioni 10 basi utatakiwa kurudisha milioni 12-13. Hilo ongezeko katika pesa ya mkopo ndio RIBA na ni haram.

Naombeni mnijuze ni wapi naweza kupata mkopo usio na riba!!

Asanteni
Kaombe huo mkopo usiokua na riba kwa uyo aliekuandikia hicho kitabu unachotumia kama muongozo
 
Kuna kuazima na kukopa....kuazima utarudisha km ilivyo na hiyo ni kwa mtu unayemfahamu...kukopa ni kwa mtu ambaye hamjuani au taasisi na yeye hiyo ni kazi yake sasa atafanyaje kazi isiyokua na faida!
Kidini Riba sio faida. Yaani mtu akikukopa shilingi milioni moja anatakiwa akurudishie shilingi milioni moja hiyo hiyo hakutakiwi ongezeko hata la thumni juu yake.
 
Hawakopeshi fedha , wanakopesha vitu ambapo ni mfumo ule ule wa riba tu sema umezungushwa.

Mfano unataka milioni 10 ununue gari, wao wanasema tunalinunua hilo gari kwa 10m halafu tunakuuzia wewe kwa milioni 13. Then unalipa kidogo kidogo.

Ila ukiwafata wakupe fedha hawatoi.
wahuni hao
 
Kidini Riba sio faida. Yaani mtu akikukopa shilingi milioni moja anatakiwa akurudishie shilingi milioni moja hiyo hiyo hakutakiwi ongezeko hata la thumni juu yake.

Mkuu unasoma hizo "aya" bila uelewa wake..........ikiwa wataka hivyo ulazimishavyo iwe basi Waislamu wote haitowafaa biashara yoyote

Uislamu juu ya suala la Riba..umetoa njia ambazo waislamu wataweza kuepuka "Riba" hiyo isiyotakiwa

Yasiofaa
1.haifai kuomba riba
2.haifai kuomba mkopo wenye riba

Ifaavyo
3. Musharakah - mwenye pesa na mwenye biashara wanakuwa washirika, wanafanya pamoja na kugawana faida
4.Murabaha-Benki inanuua bidhaa unayotaka,halafu inakuuzia kwa faida (Cost-plus financing)
5..Ijarah-benki inakukodisha kifaa na unanua baada ya muda wa kukodi (Lease)
6.Bay Salam - Mfano, mkulima analipwa kabisa kwa ajili ya mazao yake, na aleta mazao baada ya kuvuna bdae
7.Mudharaba-Benki inawekeza kwako na kuchukua asilimia ya faida ya shughuli husika (e.g 60:40) (Profit n risk sharing)

ziada
Muislam hapaswi kuwekeza (invest) kwenye kitu chochote, kuna utararibu wake na tathmini lazima ifanyike kujua kama maeneo hayo yanakubalika kisheria (sharia compliant).
Tunajua kuwa huwezi ku invest kwenye pombe, kamali, riba, n.k, lakini sio hivyo tu. Kampuni inaweza kuwa kwenye biashara halali, mfano kilimo, lakini ikakosa vigezo vingine vya uwiano wa ki-fedha (financial ratios).
Vigezo hivi vya ki-fedha vinaangalia;
1. Kiasi cha mkopo wa riba kinachangia kiasi gani katika mali zote za kampuni (interest-bearing debt/total assets shuld not exceed 30%)
2. Kiasi cha amana (interest-earning) kampuni ilichoweka benki na mali zote (interest-bearing deposits/total assets) kisizidi 30%
3. Kiasi cha mapato yanayotakana na maeneo yaliyokatazwa yasizidi 5% (non-permissible income)
4. Na “accounts receivables” zisizidi 49% ya mali za kampuni
Kama unataka kununua hisa (shares), kampuni lazima ikidhi vigezo hivyo juu.
Na hii sio kwa waislam tu, ni kwa mtu yoyote, kwa kuwa vigezo hivyo vinaiweka kampuni katika nafasi nzuri ya kuwa na maendeleo makubwa (high growth potential)

Mwisho
Watu wengi wanalalamika kuwa ni ngumu kuepuka riba, baadhi ya sababu wanazotoa ni hizi;
1. Wanatia shaka huduma za kibenki za kiislam na kusema kuwa ni ujanja tu kubadili riba na kuiita faida. Matokeo yake wanaendelea kutumia huduma za kibenki za kawaida (conventional banking)
2. Hawana hufahamu wa utararibu wa huduma za kibenki za kiislam
3. Wanasema benki za kiislam zinatoa masharti magumu ya mikopo, haswa like suala ka kutotoa mikopo ya fedha taslim (cash loans). Hali hii inapelekea thamani ya benki za kiislam (total assets) kuendelea kuwa chini ya assets za conventional banks.
Ukiangalia total assets za 50 top conventional banks only ni USD 69.6 trillion, wakati za islamic banks total globally ni USD 2.2 trillion, ila ukuaji unaendelea vizuri.
JE, NI VIP TWAWEZA KUEPEKANA NA RIBA?
KI-Iman (Religiously)
1. Kuamini kuwa rizki inapangwa na Mwenyezi Mungu, waweza acha riba na Yeye akakupa rizki yako kama kawaida (tawakkul)
2. Kumbuka kuwa kuna adhabu kubwa ya kujihusisha na riba (punishment). Financially
1. Fungua akaunti katika benki zenye utararibu usio na riba
2. Wekeza pesa zako katika mifumo isiyo na riba. Usiweke pesa zako kwenye government bonds, government bills, stocks (hisa) za makampuni yenye kufanya biashara haramu, speculation, n.k
3. Fungua akaunti za akiba (savings) ili uepukana na haja za kuomba mikopo
4. Usiingie mikataba yenye masharti ya kulipa penalties za riba
Socially (ki-jamii)
1. Ishi kwa mujibu wa kipato chako (live below your means) ili kuepuka vishawishi vya kutaka kukopa
2. Jiunge na utaratibu wa vikundi vya kupeana mikopo isiyo na riba, kama vile islamic saccos
Kumbuka kuwa madhara ya riba ni mabaya hapa duniani, na mibaya zaidi kesho akhera.
Surah Al-Baqara, Verse 276:
يَمْحَقُ اللَّهُ الرِّبَا وَيُرْبِي الصَّدَقَاتِ وَاللَّهُ لَا يُحِبُّ كُلَّ كَفَّارٍ أَثِيمٍ
Allah does not bless usury, and He causes charitable deeds to prosper, and Allah does not love any ungrateful sinner.

Some Credit ziende kwa: Salum Awadh

cc.Partner in business Mshana Jr
 
Mkuu unasoma hizo "aya" bila uelewa wake..........ikiwa wataka hivyo ulazimishavyo iwe basi Waislamu wote haitowafaa biashara yoyote

Uislamu juu ya suala la Riba..umetoa njia ambazo waislamu wataweza kuepuka "Riba" hiyo isiyotakiwa

Yasiofaa
1.haifai kuomba riba
2.haifai kuomba mkopo wenye riba

Ifaavyo
3. Musharakah - mwenye pesa na mwenye biashara wanakuwa washirika, wanafanya pamoja na kugawana faida
4.Murabaha-Benki inanuua bidhaa unayotaka,halafu inakuuzia kwa faida (Cost-plus financing)
5..Ijarah-benki inakukodisha kifaa na unanua baada ya muda wa kukodi (Lease)
6.Bay Salam - Mfano, mkulima analipwa kabisa kwa ajili ya mazao yake, na aleta mazao baada ya kuvuna bdae
7.Mudharaba-Benki inawekeza kwako na kuchukua asilimia ya faida ya shughuli husika (e.g 60:40) (Profit n risk sharing)

cc.Partner in business Mshana Jr
Asante kwa mchango wako.

Labda unieleweshe tu , je ni sahihi kuwaambia mathalani benki kuna gari naihitaji yard ina thamani ya milioni 10..halafu wao wakwambia sawa sisi tutainunua na kukuuzia kwa 15m, ...yaani kuna ongezeko la 5M uwalioe wao ili hali thamani halisi ya hiyo bidhaa unajua kabisa ni 10M.?
 
Kwanza nikupongeze Kwa kushikilia dini. Jitahidi pia usichepuke, Wala usipige mitungi.
Kuhusu mikopo, Check na NBC, Wana hicho kitengo Cha Islamic banking. Au People's Bank of Zanzibar. Wana hiyo mikopo isiyo na riba.
Mdanganye pbz hakuna hela za bure bure eti upewe 100 urudishe 100 uongo mtupu..kule wamebadilisha jina hawaiti riba ila wanaita faida.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Amani iwe nanyi.

Moja kwa moja naomba nijitambulishe kwa imani mimi ni muumini wa dini ya Kiislam.Katika maandiko matakatifu ya kitabu cha Quran naona kuwa Suala la RIBA limekemewa sana ,kifupi ni haramu kula au kutumia RIBA!

Principle kuu ni kuwa RIBA ni haramu, yaani ongezeko lolote la pesa juu ya mkopo ni RIBA na haifai kudeal na jambo hilo. Hivyo inaniwia vigumu kukopa katika taasisi za kifedha kama vile benki maana system ya mikopo yao ni RIBA.

Ukikopa mfano shilingi milioni 1 basi utatakiwa kurudisha milioni 1.2 au ukikopa milioni 10 basi utatakiwa kurudisha milioni 12-13. Hilo ongezeko katika pesa ya mkopo ndio RIBA na ni haram.

Naombeni mnijuze ni wapi naweza kupata mkopo usio na riba!!

Asanteni
Nenda kamkope jamaa ambae unajua anamshobokea mkeo.
 
Asante kwa mchango wako.

Labda unieleweshe tu , je ni sahihi kuwaambia mathalani benki kuna gari naihitaji yard ina thamani ya milioni 10..halafu wao wakwambia sawa sisi tutainunua na kukuuzia kwa 15m, ...yaani kuna ongezeko la 5M uwalioe wao ili hali thamani halisi ya hiyo bidhaa unajua kabisa ni 10M.?

wao watanunua na kukuzia kwa faida......hii yafaa japo tu "haijuzu ikiwa watatafuta faida kubwa exceed 30%"

kwa hiyo gari la 10M wakilinunua na kukuuzia kwa 10M upto 13M ni sahihi na yajuzu

nimekuongezea nyama kwe post namba 30


Na Allah awe nawe kwenye njia njema
 
Mkuu unasoma hizo "aya" bila uelewa wake..........ikiwa wataka hivyo ulazimishavyo iwe basi Waislamu wote haitowafaa biashara yoyote

Uislamu juu ya suala la Riba..umetoa njia ambazo waislamu wataweza kuepuka "Riba" hiyo isiyotakiwa

Yasiofaa
1.haifai kuomba riba
2.haifai kuomba mkopo wenye riba

Ifaavyo
3. Musharakah - mwenye pesa na mwenye biashara wanakuwa washirika, wanafanya pamoja na kugawana faida
4.Murabaha-Benki inanuua bidhaa unayotaka,halafu inakuuzia kwa faida (Cost-plus financing)
5..Ijarah-benki inakukodisha kifaa na unanua baada ya muda wa kukodi (Lease)
6.Bay Salam - Mfano, mkulima analipwa kabisa kwa ajili ya mazao yake, na aleta mazao baada ya kuvuna bdae
7.Mudharaba-Benki inawekeza kwako na kuchukua asilimia ya faida ya shughuli husika (e.g 60:40) (Profit n risk sharing)

ziada
Muislam hapaswi kuwekeza (invest) kwenye kitu chochote, kuna utararibu wake na tathmini lazima ifanyike kujua kama maeneo hayo yanakubalika kisheria (sharia compliant).
Tunajua kuwa huwezi ku invest kwenye pombe, kamali, riba, n.k, lakini sio hivyo tu. Kampuni inaweza kuwa kwenye biashara halali, mfano kilimo, lakini ikakosa vigezo vingine vya uwiano wa ki-fedha (financial ratios).
Vigezo hivi vya ki-fedha vinaangalia;
1. Kiasi cha mkopo wa riba kinachangia kiasi gani katika mali zote za kampuni (interest-bearing debt/total assets shuld not exceed 30%)
2. Kiasi cha amana (interest-earning) kampuni ilichoweka benki na mali zote (interest-bearing deposits/total assets) kisizidi 30%
3. Kiasi cha mapato yanayotakana na maeneo yaliyokatazwa yasizidi 5% (non-permissible income)
4. Na “accounts receivables” zisizidi 49% ya mali za kampuni
Kama unataka kununua hisa (shares), kampuni lazima ikidhi vigezo hivyo juu.
Na hii sio kwa waislam tu, ni kwa mtu yoyote, kwa kuwa vigezo hivyo vinaiweka kampuni katika nafasi nzuri ya kuwa na maendeleo makubwa (high growth potential)

Mwisho
Watu wengi wanalalamika kuwa ni ngumu kuepuka riba, baadhi ya sababu wanazotoa ni hizi;
1. Wanatia shaka huduma za kibenki za kiislam na kusema kuwa ni ujanja tu kubadili riba na kuiita faida. Matokeo yake wanaendelea kutumia huduma za kibenki za kawaida (conventional banking)
2. Hawana hufahamu wa utararibu wa huduma za kibenki za kiislam
3. Wanasema benki za kiislam zinatoa masharti magumu ya mikopo, haswa like suala ka kutotoa mikopo ya fedha taslim (cash loans). Hali hii inapelekea thamani ya benki za kiislam (total assets) kuendelea kuwa chini ya assets za conventional banks.
Ukiangalia total assets za 50 top conventional banks only ni USD 69.6 trillion, wakati za islamic banks total globally ni USD 2.2 trillion, ila ukuaji unaendelea vizuri.
JE, NI VIP TWAWEZA KUEPEKANA NA RIBA?
KI-Iman (Religiously)
1. Kuamini kuwa rizki inapangwa na Mwenyezi Mungu, waweza acha riba na Yeye akakupa rizki yako kama kawaida (tawakkul)
2. Kumbuka kuwa kuna adhabu kubwa ya kujihusisha na riba (punishment). Financially
1. Fungua akaunti katika benki zenye utararibu usio na riba
2. Wekeza pesa zako katika mifumo isiyo na riba. Usiweke pesa zako kwenye government bonds, government bills, stocks (hisa) za makampuni yenye kufanya biashara haramu, speculation, n.k
3. Fungua akaunti za akiba (savings) ili uepukana na haja za kuomba mikopo
4. Usiingie mikataba yenye masharti ya kulipa penalties za riba
Socially (ki-jamii)
1. Ishi kwa mujibu wa kipato chako (live below your means) ili kuepuka vishawishi vya kutaka kukopa
2. Jiunge na utaratibu wa vikundi vya kupeana mikopo isiyo na riba, kama vile islamic saccos
Kumbuka kuwa madhara ya riba ni mabaya hapa duniani, na mibaya zaidi kesho akhera.
Surah Al-Baqara, Verse 276:
يَمْحَقُ اللَّهُ الرِّبَا وَيُرْبِي الصَّدَقَاتِ وَاللَّهُ لَا يُحِبُّ كُلَّ كَفَّارٍ أَثِيمٍ
Allah does not bless usury, and He causes charitable deeds to prosper, and Allah does not love any ungrateful sinner.

Some Credit ziende kwa: Salum Awadh

cc.Partner in business Mshana Jr
kasome Torati 23:19-20
 
Mkuu unasoma hizo "aya" bila uelewa wake..........ikiwa wataka hivyo ulazimishavyo iwe basi Waislamu wote haitowafaa biashara yoyote

Uislamu juu ya suala la Riba..umetoa njia ambazo waislamu wataweza kuepuka "Riba" hiyo isiyotakiwa

Yasiofaa
1.haifai kuomba riba
2.haifai kuomba mkopo wenye riba

Ifaavyo
3. Musharakah - mwenye pesa na mwenye biashara wanakuwa washirika, wanafanya pamoja na kugawana faida
4.Murabaha-Benki inanuua bidhaa unayotaka,halafu inakuuzia kwa faida (Cost-plus financing)
5..Ijarah-benki inakukodisha kifaa na unanua baada ya muda wa kukodi (Lease)
6.Bay Salam - Mfano, mkulima analipwa kabisa kwa ajili ya mazao yake, na aleta mazao baada ya kuvuna bdae
7.Mudharaba-Benki inawekeza kwako na kuchukua asilimia ya faida ya shughuli husika (e.g 60:40) (Profit n risk sharing)

ziada
Muislam hapaswi kuwekeza (invest) kwenye kitu chochote, kuna utararibu wake na tathmini lazima ifanyike kujua kama maeneo hayo yanakubalika kisheria (sharia compliant).
Tunajua kuwa huwezi ku invest kwenye pombe, kamali, riba, n.k, lakini sio hivyo tu. Kampuni inaweza kuwa kwenye biashara halali, mfano kilimo, lakini ikakosa vigezo vingine vya uwiano wa ki-fedha (financial ratios).
Vigezo hivi vya ki-fedha vinaangalia;
1. Kiasi cha mkopo wa riba kinachangia kiasi gani katika mali zote za kampuni (interest-bearing debt/total assets shuld not exceed 30%)
2. Kiasi cha amana (interest-earning) kampuni ilichoweka benki na mali zote (interest-bearing deposits/total assets) kisizidi 30%
3. Kiasi cha mapato yanayotakana na maeneo yaliyokatazwa yasizidi 5% (non-permissible income)
4. Na “accounts receivables” zisizidi 49% ya mali za kampuni
Kama unataka kununua hisa (shares), kampuni lazima ikidhi vigezo hivyo juu.
Na hii sio kwa waislam tu, ni kwa mtu yoyote, kwa kuwa vigezo hivyo vinaiweka kampuni katika nafasi nzuri ya kuwa na maendeleo makubwa (high growth potential)

Mwisho
Watu wengi wanalalamika kuwa ni ngumu kuepuka riba, baadhi ya sababu wanazotoa ni hizi;
1. Wanatia shaka huduma za kibenki za kiislam na kusema kuwa ni ujanja tu kubadili riba na kuiita faida. Matokeo yake wanaendelea kutumia huduma za kibenki za kawaida (conventional banking)
2. Hawana hufahamu wa utararibu wa huduma za kibenki za kiislam
3. Wanasema benki za kiislam zinatoa masharti magumu ya mikopo, haswa like suala ka kutotoa mikopo ya fedha taslim (cash loans). Hali hii inapelekea thamani ya benki za kiislam (total assets) kuendelea kuwa chini ya assets za conventional banks.
Ukiangalia total assets za 50 top conventional banks only ni USD 69.6 trillion, wakati za islamic banks total globally ni USD 2.2 trillion, ila ukuaji unaendelea vizuri.
JE, NI VIP TWAWEZA KUEPEKANA NA RIBA?
KI-Iman (Religiously)
1. Kuamini kuwa rizki inapangwa na Mwenyezi Mungu, waweza acha riba na Yeye akakupa rizki yako kama kawaida (tawakkul)
2. Kumbuka kuwa kuna adhabu kubwa ya kujihusisha na riba (punishment). Financially
1. Fungua akaunti katika benki zenye utararibu usio na riba
2. Wekeza pesa zako katika mifumo isiyo na riba. Usiweke pesa zako kwenye government bonds, government bills, stocks (hisa) za makampuni yenye kufanya biashara haramu, speculation, n.k
3. Fungua akaunti za akiba (savings) ili uepukana na haja za kuomba mikopo
4. Usiingie mikataba yenye masharti ya kulipa penalties za riba
Socially (ki-jamii)
1. Ishi kwa mujibu wa kipato chako (live below your means) ili kuepuka vishawishi vya kutaka kukopa
2. Jiunge na utaratibu wa vikundi vya kupeana mikopo isiyo na riba, kama vile islamic saccos
Kumbuka kuwa madhara ya riba ni mabaya hapa duniani, na mibaya zaidi kesho akhera.
Surah Al-Baqara, Verse 276:
يَمْحَقُ اللَّهُ الرِّبَا وَيُرْبِي الصَّدَقَاتِ وَاللَّهُ لَا يُحِبُّ كُلَّ كَفَّارٍ أَثِيمٍ
Allah does not bless usury, and He causes charitable deeds to prosper, and Allah does not love any ungrateful sinner.

Some Credit ziende kwa: Salum Awadh

cc.Partner in business Mshana Jr
Kwahiyo ni haram kwa muislam kuwekeza pesa zake katika Mifuko kama UTT amis au kununua shares?

Hebu tufafanulie ndugu kwa faida ya wote
 
Amani iwe nanyi.

Moja kwa moja naomba nijitambulishe kwa imani mimi ni muumini wa dini ya Kiislam.Katika maandiko matakatifu ya kitabu cha Quran naona kuwa Suala la RIBA limekemewa sana ,kifupi ni haramu kula au kutumia RIBA!

Principle kuu ni kuwa RIBA ni haramu, yaani ongezeko lolote la pesa juu ya mkopo ni RIBA na haifai kudeal na jambo hilo. Hivyo inaniwia vigumu kukopa katika taasisi za kifedha kama vile benki maana system ya mikopo yao ni RIBA.

Ukikopa mfano shilingi milioni 1 basi utatakiwa kurudisha milioni 1.2 au ukikopa milioni 10 basi utatakiwa kurudisha milioni 12-13. Hilo ongezeko katika pesa ya mkopo ndio RIBA na ni haram.

Naombeni mnijuze ni wapi naweza kupata mkopo usio na riba!!

Asanteni
Unaelewa maana ya mkopo kweli ndugu mkurugenzi? Yaani unataka mkopo usio na riba!! Hakuna kitu kama hicho.

Mimi nadhani ungesema ni wapi utaweza kuazima fedha, halafu baada ya muda urejeshe! Ila unapo ongelea ishu ya mkopo, basi tambua fika ni lazima kuwepo na marejesho (riba)
 
Back
Top Bottom