Riba hii ni sahihi au ni mtego?

Agresive

JF-Expert Member
Feb 18, 2018
889
1,226
WanaJF habari ya leo na hongereni kwa kukumudu changamoto ya kukatikakatika kwa umeme.

Niende kwenye mada.

Leo nimepata sms kutoka company za ukopeshaji inayonihamasisha kuchukua mkopo kutoka company ya MABOTO.

SMS yao inasema karibu uckukue mkopo wenye riba nafuu CHUKUA LAKI 5 URUDISHE LAKI 6 KWA MIEZI 11 AU MILIONI 1 URUDISHE MILIONI NA LAKI 2 KWA MIEZI 11.

Namba ile ile iliyonisms nikaitumia sms kuwa riba hii ni kweli wakanipigia nakuniambia ni kweli.

Laki 5 makato ni 54545 kwa mwezi kwa muda wa miezi 11.

Sijawahi kukopa taasisi yoyote binafsi zaidi ya BANK NMB NA CRDB NA TPB (Bank ya posta.)

Company hii ya Maboto, Bayport, Faidika na nyingine za binafsi kwa historia najuwa ni zile kausha damu.

Riba hii haijanishawishi kukopa hapana ila tu nahisi inaweza kuwa ni janja janja za company hizi kulaghai watumishi wa umma.

MWISHO.

1. EPUKA KUKOPA BILA SABABU

2. USIKOPE TU KWA SABABU UNAKOPESHEKA KOSA KWA SABABU UNA SABABU YA KUKOPA.

3. Usikopee pesa yote unayoweza kukopeshwa isipokuwa kopa kwa sababu una uhitaji wa kukopa.

4. Usikope kabla ya kuandaa bajeti bali kopa kufuata bajeti uliyoandaa.

5. Usishawishiwe kukopa kamwe mkopo haushawishiwi ila shida ndiyo utakusababisha ukope.

6. Usikope kwa ajili ya ujenzi endapo unaweza kulipa kodi bila kuathiri kipato chako ripa kodi na jenga pole pole.

7. Kopa kwa ajili ya kuwekeza biashara zaidi usikope kununua vitu vya ndani au kwenda kuoa au kulipia mahali au kazi ya harusi, funga ndoa kulingana na kipato chako.

Kuwa na nidhamu ya pesa ili usiwe mtumwa wa madeni.
 
Jichanganyee, labda kama ni mfanyabiashara unaingiza mwenyewe Bank, ila kama ni kupitia Salary utakatwa mpaka ukome.
 
WanaJF habari ya leo na hongereni kwa kukumudu changamoto ya kukatikakatika kwa umeme.

Niende kwenye mada.

Leo nimepata sms kutoka company za ukopeshaji inayonihamasisha kuchukua mkopo kutoka company ya MABOTO.

SMS yao inasema karibu uckukue mkopo wenye riba nafuu CHUKUA LAKI 5 URUDISHE LAKI 6 KWA MIEZI 11 AU MILIONI 1 URUDISHE MILIONI NA LAKI 2 KWA MIEZI 11.

Namba ile ile iliyonisms nikaitumia sms kuwa riba hii ni kweli wakanipigia nakuniambia ni kweli.

Laki 5 makato ni 54545 kwa mwezi kwa muda wa miezi 11.

Sijawahi kukopa taasisi yoyote binafsi zaidi ya BANK NMB NA CRDB NA TPB (Bank ya posta.)

Company hii ya Maboto, Bayport, Faidika na nyingine za binafsi kwa historia najuwa ni zile kausha damu.

Riba hii haijanishawishi kukopa hapana ila tu nahisi inaweza kuwa ni janja janja za company hizi kulaghai watumishi wa umma.

MWISHO.

1. EPUKA KUKOPA BILA SABABU

2. USIKOPE TU KWA SABABU UNAKOPESHEKA KOSA KWA SABABU UNA SABABU YA KUKOPA.

3. Usikopee pesa yote unayoweza kukopeshwa isipokuwa kopa kwa sababu una uhitaji wa kukopa.

4. Usikope kabla ya kuandaa bajeti bali kopa kufuata bajeti uliyoandaa.

5. Usishawishiwe kukopa kamwe mkopo haushawishiwi ila shida ndiyo utakusababisha ukope.

6. Usikope kwa ajili ya ujenzi endapo unaweza kulipa kodi bila kuathiri kipato chako ripa kodi na jenga pole pole.

7. Kopa kwa ajili ya kuwekeza biashara zaidi usikope kununua vitu vya ndani au kwenda kuoa au kulipia mahali au kazi ya harusi, funga ndoa kulingana na kipato chako.

Kuwa na nidhamu ya pesa ili usiwe mtumwa wa madeni.
Kuna kitu mjini kinaitwa matone hiyo kausha damu cha mtoto!
 
Ushakopa tayari kwenye bank tatu. Hongera. Sijui huwa mnawezaje. Sijawahi kukopa na natamani nijaribu. lakini nahofu na hizi riba na mambo mengine ambayo nasikia yanachanganya kuelewa kwenye contract. Experience yako ya kukopa ikoje kwenye hizo benki ulizozitaja? And was it worth it kuchukua mkopo? Iliweza kukusaidia bila kukupa pressure kulipa? Nataka nichukue mkopo NMB kwa ajili ya ujenzi. Ila ninasita sana. Hofu
 
Tangazo limekaa kisomi Mnooookoo.
IMG_1638.jpg
 
Jichanganyee, labda kama ni mfanyabiashara unaingiza mwenyewe Bank, ila kama ni kupitia Salary utakatwa mpaka ukome.
Labda wawe na mfumo wa kuwalipa cash na mkiwa na mkataba angalau inaweza kuwa na uhalisia
 
WanaJF habari ya leo na hongereni kwa kukumudu changamoto ya kukatikakatika kwa umeme.

Niende kwenye mada.

Leo nimepata sms kutoka company za ukopeshaji inayonihamasisha kuchukua mkopo kutoka company ya MABOTO.

SMS yao inasema karibu uckukue mkopo wenye riba nafuu CHUKUA LAKI 5 URUDISHE LAKI 6 KWA MIEZI 11 AU MILIONI 1 URUDISHE MILIONI NA LAKI 2 KWA MIEZI 11.

Namba ile ile iliyonisms nikaitumia sms kuwa riba hii ni kweli wakanipigia nakuniambia ni kweli.

Laki 5 makato ni 54545 kwa mwezi kwa muda wa miezi 11.

Sijawahi kukopa taasisi yoyote binafsi zaidi ya BANK NMB NA CRDB NA TPB (Bank ya posta.)

Company hii ya Maboto, Bayport, Faidika na nyingine za binafsi kwa historia najuwa ni zile kausha damu.

Riba hii haijanishawishi kukopa hapana ila tu nahisi inaweza kuwa ni janja janja za company hizi kulaghai watumishi wa umma.

MWISHO.

1. EPUKA KUKOPA BILA SABABU

2. USIKOPE TU KWA SABABU UNAKOPESHEKA KOSA KWA SABABU UNA SABABU YA KUKOPA.

3. Usikopee pesa yote unayoweza kukopeshwa isipokuwa kopa kwa sababu una uhitaji wa kukopa.

4. Usikope kabla ya kuandaa bajeti bali kopa kufuata bajeti uliyoandaa.

5. Usishawishiwe kukopa kamwe mkopo haushawishiwi ila shida ndiyo utakusababisha ukope.

6. Usikope kwa ajili ya ujenzi endapo unaweza kulipa kodi bila kuathiri kipato chako ripa kodi na jenga pole pole.

7. Kopa kwa ajili ya kuwekeza biashara zaidi usikope kununua vitu vya ndani au kwenda kuoa au kulipia mahali au kazi ya harusi, funga ndoa kulingana na kipato chako.

Kuwa na nidhamu ya pesa ili usiwe mtumwa wa madeni.
Kuwa makini matapeli wameadvance wanaanza kutumia hadi huduma za bulky sms.
Mitandao ya simu si rahisi wakupe riba ya chini hvyo. Airtel walinipa lak 320000 ndani ya week 3 tu nilitakiwa nilipe lak nne plus.
 
Ushakopa tayari kwenye bank tatu. Hongera. Sijui huwa mnawezaje. Sijawahi kukopa na natamani nijaribu. lakini nahofu na hizi riba na mambo mengine ambayo nasikia yanachanganya kuelewa kwenye contract. Experience yako ya kukopa ikoje kwenye hizo benki ulizozitaja? And was it worth it kuchukua mkopo? Iliweza kukusaidia bila kukupa pressure kulipa? Nataka nichukue mkopo NMB kwa ajili ya ujenzi. Ila ninasita sana. Hofu
Kukopa nia kawaida sana kwa dunia ya leo.

CRDB ndiyo bank ambayo viwango vyao ni vzr zaidi kuliko bank nyingine.

Mfano CRDB makato ya laki 1 unaweza kupata labda milioni 7 kwa muda kadhaa hlf makato hayo hayo kwa NMB na muda huo huo bado pesa yao itakuwa chini.

Kukopa siyo lazima kama huna sababu, na kukopa BANK zaidi ya moja is OK coz kuna muda mtu unakuwa hutaki kufanya top up,

Pia kabla ya kukopa angalia take home yako isiyumbe ukaishi kwa shida.

Usikope mpaka kiwango chako cha mwisho cha kukopeshwa weka akiba hujuw kesho litatokea lipi.

Na jitahidi ukope mkopo usiozidi miaka 3 coz riba inakuwa chini kuliko miaka 8 au 7.

Kama una mshahara mdogo usikope acha kabisa.
 
Bora maboto,
Mi nakopesha kwa wiki moja riba ni 20%

Chukua laki 1 rejesha 120k

Beba 200k rejesha 240k

Na bondi unaweka nakaa nayo hutaki kafie mbele
Screenshot_20231027-224334.png
 
Back
Top Bottom