A43
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 385
- 757
Ndg nawezaje kupata mkopo wa tsh Milion 1 na laki 2 tu, kwa dhamana ya vyeti vyangu?
1.Cha form 4
2.Cheti cha kuzaliwa
3.Leseni ya udereva iliyo ndani ya muda
4.Cheti cha diploma chuo cha biashara CBE
5.Cheti cha degree chuo cha uhasibu TIA
Vyote ni Original kabisa, na ni vyakwangu mwenyewe, sina nia mbaya na siwezi kutelekeza nyaraka zangu kwani bado nazihitaji, ni jinsi yakupata msaada tu. Asante.
Kiukweli nina shida nahitaji msaada.
Niko tayari kulipa kwa riba na kuandikishana kwa mwanasheria, kwasasa nipo Mkoa wa Pwani ya Kibaha.
Naomba kuwasilisha kwenu wana JF.
1.Cha form 4
2.Cheti cha kuzaliwa
3.Leseni ya udereva iliyo ndani ya muda
4.Cheti cha diploma chuo cha biashara CBE
5.Cheti cha degree chuo cha uhasibu TIA
Vyote ni Original kabisa, na ni vyakwangu mwenyewe, sina nia mbaya na siwezi kutelekeza nyaraka zangu kwani bado nazihitaji, ni jinsi yakupata msaada tu. Asante.
Kiukweli nina shida nahitaji msaada.
Niko tayari kulipa kwa riba na kuandikishana kwa mwanasheria, kwasasa nipo Mkoa wa Pwani ya Kibaha.
Naomba kuwasilisha kwenu wana JF.