DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 10,519
- 21,437
PuguKigogo fresh maeneo gani
PuguKigogo fresh maeneo gani
Njoo kisemvule nikupe viwanja chenye ukubwa wa futi 50 kwa 80 na chenji inabaki usafir wa mjini upo ni umbali wa mbande tu mbagala tu 0716671919 whsspHabari Wana JF,
Natafuta Kiwanja Dar es salaam Cha bei poa Chini ya Mil 4
Vigezo;
- Eneo liwe lina upatikanaji wa maji na umeme
- Pasiwe mbali sana na Mji(Ndani ya dar es salaam)
- Eneo la kutosha vyuma ya vyumba 3 na choo 2.
Gongo la mboto sehemu gani hiyoKwa vigezo vyako...
Hapo ni mwendo wa Mbangala, Chanika, kivule, Chamazi, Gongola Mboto...
Bagamoyo unapata...
Kigamboni unapata ila ni mbali sana...
Chamazi, Mbande, Msongola anapata kwa hiyo pesa ni Manispaa ya Ilala jijini DSM.Kuna maeneo ya Kisemvule nayafahamu unapata kiwanja tena kikubwa tu kizuri hakipo bondeni na kimepimwa. Pi pameendelea maji umeme na daladala zipo.
Ila ndani ya Dar es Salaam mmmmmh ni ngumu sana.
Naishi Dar ila kwa maeneo nayoishi mm bila Mil 15 na kuendelea wala usifikirie kuhusu kiwanja
Karibu
Njoo kisemvule nikupe viwanja chenye ukubwa wa futi 50 kwa 80 na chenji inabaki usafir wa mjini upo ni umbali wa mbande tu mbagala tu 0716671919 whssp
Kibwegere ipo wapi mkuu njia gan yan??
400Futi 50 kwa 80 ni sqm ngapi?
Baadaye utamwambia, "Nilikwambia hakina migogiro, siyo migogoro."Ñnjoo nikuuzie kiwanja changu kipo kigamboni magorofani dege hakina udalali wala nn nione 0653054835 30*20 hakina migogiro
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
DahSinza unapata
Acha utapeli... mwanalugali ni kms 2 kutoka mailimoja?karibu kibaha nje kidogo ya jiji la dsm kuna viwanja vinapatikana mwanalugali 2 km kutoka barabara kuu
10k kwa skweamita1
viwanja vina anzia ukubwa wa 300 sqm kuendelea
njoo pm kwa maelezo zaidi
Toa majibu sahihi...sio kulalamika.Acha utapeli... mwanalugali ni kms 2 kutoka mailimoja?
Napajua ndo maana nimempa ukweli wake na hajauliza swali so haikuhitaji jibu sahihi.Toa majibu sahihi...sio kulalamika.
#MaendeleoHayanaChama
Sawa basi tupe taarifa sahihi mana tunatafuta viwanja.Napajua ndo maana nimempa ukweli wake na hajauliza swali so haikuhitaji jibu sahihi.
Mwanalugali ni mbali sana mkuu kutoka hiyo barabara kuu anayoisemea.Sawa basi tupe taarifa sahihi mana tunatafuta viwanja.
#MaendeleoHayanaChama
20*20 mbezi msakuzi, maji yapo umeme upoHabari Wana JF,
Natafuta Kiwanja Dar es salaam Cha bei poa Chini ya Mil 4
Vigezo;
- Eneo liwe lina upatikanaji wa maji na umeme
- Pasiwe mbali sana na Mji(Ndani ya dar es salaam)
- Eneo la kutosha vyuma ya vyumba 3 na choo 2.
Habari Wana JF,
Natafuta Kiwanja Dar es salaam Cha bei poa Chini ya Mil 4
Vigezo;
- Eneo liwe lina upatikanaji wa maji na umeme
- Pasiwe mbali sana na Mji(Ndani ya dar es salaam)
- Eneo la kutosha vyuma ya vyumba 3 na choo 2.
Nenda Kigamboni maeneo ya Cheka ay Mwasonge unapata eneo ila mbali na kivuko kidogoHabari Wana JF,
Natafuta Kiwanja Dar es salaam Cha bei poa Chini ya Mil 4
Vigezo;
- Eneo liwe lina upatikanaji wa maji na umeme
- Pasiwe mbali sana na Mji(Ndani ya dar es salaam)
- Eneo la kutosha vyuma ya vyumba 3 na choo 2.
Mbona hii kama million 12?Chanika Mvuti utapata eneo kubwa tu. Kiwanja unapata kwa 1,2000,000/=. Cheki na "Larry's Real Estate Agency" kwenye page ya Instagram anatumia "larry_s_real estate"