Issuna
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 3,168
- 7,513
mimi hawa wenzangu mkuu sijui kwann tumekutana huku JF wakat wana mauwezo YA kumbukumbu kiasi hicho (walitakiwa saivi wawe huko wanamshauri RAIS na kumkumbusha Timetable)Ina maana mi na wewe Mkuu ndio hatuna kumbukumbu eeee? 😜😜