Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,263
- 3,628
Wewe ulikuwa ukihama unarudia darasa? mimi nimehama mara nne, lkn wa darasa la kwanza nawakumbuka!Kwa yule aliosoma shule moja toka la kwanza hadi la saba .anaweza kuwafahamu...ila kwa sisi tuliohamahama shule huwezi kumbuka..
sababu nikihama la nne mwishoni naanza la tano mwanzoni.
sasa wewe unaiga kuhama but hukuwa mhamaji usitupige