Mwalimu wa darasa la kwanza/pili anahitajika

Mwalimu wa darasa la kwanza/pili anahitajika

KIBALUHUNJA25

Member
Joined
Aug 22, 2025
Posts
5
Reaction score
1
Habari za mchana?

Shule ya English Medium iliyopo Pongwe,Tanga jiji.
Ina nafasi ya mwalimu wa darasa la kwanza na la pili.
Sifa

Awe anajua kufundisha masomo husika
Awe na upendo kwa watoto
Awe na uzoefu na kazi husika.

Mawasiliano infotanzaniaa@gmail.com
Au ni PM
 
Back
Top Bottom