Ni wakati wa kutomtegemea Mwanaume

Ni wakati wa kutomtegemea Mwanaume

Kama mwanamke mpaka leo umebweteka unamsubiria mwanaume akuletee hela pole.

Hela za wanaume zina manyanyaso sana pamba upate chako ujivunie usikae kumtegemea mwanaume akupe pesa please amkeni.

Kuna wanawake mpaka hela ya pedi wanaomba kwa mwanaume ni aibu sana, inatakiwa ata mwanaume asijue siku yako ya hedhi lakini kuna baadhi yetu mnawaambia et kisa mpenzi nitamwambie alie nioa tu lakini sio hawa wa muda mfupi.

Ni hilo tu.
Ushapata Dildo? Hizo ndio zinawapa kiburi
 
Kama mwanamke mpaka leo umebweteka unamsubiria mwanaume akuletee hela pole.

Hela za wanaume zina manyanyaso sana pamba upate chako ujivunie usikae kumtegemea mwanaume akupe pesa please amkeni.

Kuna wanawake mpaka hela ya pedi wanaomba kwa mwanaume ni aibu sana, inatakiwa ata mwanaume asijue siku yako ya hedhi lakini kuna baadhi yetu mnawaambia et kisa mpenzi nitamwambie alie nioa tu lakini sio hawa wa muda mfupi.

Ni hilo tu.
Acha umalaya singo mama utasababisha wenzako waachike kwenye ndoa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kama mwanamke mpaka leo umebweteka unamsubiria mwanaume akuletee hela pole.

Hela za wanaume zina manyanyaso sana pamba upate chako ujivunie usikae kumtegemea mwanaume akupe pesa please amkeni.

Kuna wanawake mpaka hela ya pedi wanaomba kwa mwanaume ni aibu sana, inatakiwa ata mwanaume asijue siku yako ya hedhi lakini kuna baadhi yetu mnawaambia et kisa mpenzi nitamwambie alie nioa tu lakini sio hawa wa muda mfupi.

Ni hilo tu.
Tayari huko
 
Ulipoharibu ni hapo chako ujivunie hapo tu ndio pameharibu kila kitu. Kumbuka majivuno ni mama wa kiburi rafiki.
 
When a Man pays his bills it's normal.

But when a woman pays her bills,
She is a strong woman, super woman, independent lady, fighter , Queen of the jungle, Boss lady ,Hustler, self love,

Yani sifa zote Kedekede ni zake

Na baada ya hapo "Feminism" huanza.
Mkuu upo mpaka huku😎
 
Mwanamke kama huyu ndo uoe aisee kazi unayo, halafu mwanamke anaejiheshimu huwezi kuta anapayuka hivi, wa hivi ni hawa makurubambe ya mjini
mkuu, ushauri wake ni mzuri kwa wanawake. Sema tu jinsi alivyouwasilisha ni kama kuna ujeuri flani. Na wanawake wengi walioamua kujitafutia (na wakafanikiwa) wale ninawafahamu, hata kama ndoa ilikuwa salama lakini alipopata tu, NDOA ILIGEUKA NDOANO.
 
Pesa za mwanaume hazina manyanyaso... Tatizo hamjapendwa mnaparamia wanaume za watu kwa nguvu... Mwanaume akimpenda mwanamke anampa pesa bila kuombwa tena na yakutolea... Ni nyie tu wenye viherehere ndio mnaona pesa za wanaume za manyanyaso
 
Kama hapo DP ni ww utaendelea kuwategemea tuu hata usipotaka
 
Sio kumtegea lengo ni kuwa mwanaume atakiwi kuona uchaf wak wala kujua kama ndio unaingia period siku xote skuone uko smart
Mda mwingine period ina maudhi , inaleta genye sana . Kwani ukimwambia ubebike shs ngapi ? Lol mzabzab .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom