rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,106
- 18,713
Hayo ni maisha binafsi ya mtu sio vikoba...Mwanamke ana vikoba zaidi ya 10 hana lolote analofanya zaidi ya vizinga
Huyo hata asipokua na vikoba atapiga tu visinga
Hayo ni maisha binafsi ya mtu sio vikoba...Mwanamke ana vikoba zaidi ya 10 hana lolote analofanya zaidi ya vizinga
Dada usiseme hivyo...Jua kuipangilia ukipewa
😅 bora umekuwa muwaziUshauri mzuri ila hela ya mwanaume tamu bhana. Yaani hata kama umemzidi kipato bado akikupa yake ni tamu sana yaani. Tutafute hela ila kuhudumiwa raha jamani.
Kumbe? Na husemiKama wanaume wenyewe wanatoa hela kiroho safi bila kuombwa tufanyaje.
Tena mwingine anatuma na ya kutolea
Si ni wewe, ila sasa usifanye kwa wengine. Utume tu kwangu only🤗Kumbe? Na husemi
Binafsi napenda kuhudumiwa mpaka Pesa ya Pad..na ndio najifeel am a real woman japo ata nisipohudumiwa nimesimama sitetereki ata nukta lakin hali ya kuhudumiwa ndio inanifanya nijione ni Mwanamke kamili
Kila mwanamke anapenda Mwanaume mwenye kuyajua majukum yake
Mwanaume asiehudumia sio Mwanaume ni mzigo na hakupendi huyo
Kuna WANAUME jaman wanajali uwiiiiii MWENYEZI MUNGU awaweke hawa WANAUME wenye kujua wajibu wao
😅 naanzaje kukukatili kiasi hicho ?Si ni wewe, ila sasa usifanye kwa wengine. Utume tu kwangu only🤗
Nasisitiza... Hela ya mwanaume TRAAAAAAMNihonge nanunua nini kwanini yani, ina kipi nsichokijua ina tv ndani?
Wengi wenu mkipata wanaume wenye hela, wanaowahudumia, mnaishia kuwapiga na vitu vizito.. hlf sasa hao wanaume wenye hela wengi wao hawana mvuto physically (sura na shep nzuri ya kiume hawana..wana vitambi, wafupi wana sura ka sokwe) Aidanna Hannah Lovie Lady Mrs Lissu figo76
Kuomba hela tear utegemezi kama wewe mwanamketafuta za kwakoMimi sio kwamba siombi naomba tena sana tu ila sionyeshi utegemezi kwake
Mtulie ss msiseme hsmtutegemeiSiwezi kula kwa jasho na kuzaa kwa uchungu,
Ndio hapo sasa🤗😅 naanzaje kukukatili kiasi hicho ?
😄😍 haitokaa itokee nikukatili mamaNdio hapo sasa🤗
Ila kufumuliwa unafumuliwa hadi igunga huko au sio wanakupelekea Moto na hawajakuoanitamwambie alie nioa tu lakini sio hawa wa muda mfupi.
Kama mwanamke mpaka leo umebweteka unamsubiria mwanaume akuletee hela pole.
Hela za wanaume zina manyanyaso sana pamba upate chako ujivunie usikae kumtegemea mwanaume akupe pesa please amkeni.
Kuna wanawake mpaka hela ya pedi wanaomba kwa mwanaume ni aibu sana, inatakiwa ata mwanaume asijue siku yako ya hedhi lakini kuna baadhi yetu mnawaambia et kisa mpenzi nitamwambie alie nioa tu lakini sio hawa wa muda mfupi.
Ni hilo tu.
Ulishanisikia mie nasema hivyo?Mtulie ss msiseme hsmtutegemei