Nimekuelewa kipenz changu😘Sima tena cute utaelewa nini na maanisha
ah ni kweli but sio kumuonesha kuwa unamtegemea yeyeUMesema vyema sana pesa ya mwanaume asie na mapenzi nawewe ina masimango sana ...... ila honestly kuna wakati mtu unawaza upate tu mume sijui jamaa mwenye kujua nini afanye awe responsible 100% upumzike yaani tunachoka basi tu 😁😁
Wewe kiazi tu, juzi tu ulikuwa unakomenti kuhusu hela za wanaumeLazima tusem ukweli
Je umenona au kimbau bau?Nakungojea wewe unifikishe
Nangoja ugeukeNaingojea
Nije nikugeuze mamii😂😂😂😂 sigeuki
Ila sio yakuomba
Usimfundishe ujingaHata kama ni yakuomba haina shida. Wenyewe wanapenda wakiambiwa “baby naomba hela ya kwenda kutengeneza nywele mpenzi wangu”. Ila hakikisha upo na mwanaume sahihi, anayekupenda na unayempenda. Mwanaume akikupenda na ana uwezo wa kifedha usipomuomba hela anakuona unajidai mwamba, na hawapendi.
Wewe figo uzi wako juzi unasema unapenda mwanaume anayejua unataka nn hata kabla ya kuomba leo unaanza kusema tofauti.
Kama mwanamke mpaka leo umebweteka una msubiria mwanaume akuletee hela pole
Hela za wanaume zina manyanyaso sana pamba upate chako ujivunie usikae kumtegemea mwanaume akupe pesa pleas amkeni
Kuna wanawake mpaka hela ya pedi wanaomba kwa mwanaume ni aibu sana, inatakiwa ata mwanaume asijue siku yako ya hedhi lakini kuna baadhi yetu mnawaambia et kisa mpenzi nitamwambie alie nioa tu lakini sio hawa wa muda mfupi
Ni hilo tu
kamanda.,kunywa pepsi mkubwa wao!!!nakuhakikishia mwanamke hata awe na milion still ataipigia hesabu buku ten ya mwanaume!Hapo mwisho umepigilia msumari wa motoWhen a Man pays his bills it's normal.
But when a woman pays her bills,
She is a strong woman, super woman, independent lady, fighter , Queen of the jungle, Boss lady ,Hustler, self love,
Yani sifa zote Kedekede ni zake
Na baada ya hapo "Feminism" huanza.
Mwanamke ana vikoba zaidi ya 10 hana lolote analofanya zaidi ya vizingaS
VIkoba na kuuza nyuchi kuna mahusiano gani sasa