Ni wakati wa kutomtegemea Mwanaume

Ni wakati wa kutomtegemea Mwanaume

Hata kama ni yakuomba haina shida. Wenyewe wanapenda wakiambiwa “baby naomba hela ya kwenda kutengeneza nywele mpenzi wangu”. Ila hakikisha upo na mwanaume sahihi, anayekupenda na unayempenda. Mwanaume akikupenda na ana uwezo wa kifedha usipomuomba hela anakuona unajidai mwamba, na hawapendi.
Mimi sio kwamba siombi naomba tena sana tu ila sionyeshi utegemezi kwake
 
Wewe figo uzi wako juzi unasema unapenda mwanaume anayejua unataka nn hata kabla ya kuomba leo unaanza kusema tofauti.
Embu elewa mada pesa napenda sana ila sitokutegemea kwa chochote
 
Pambaneni!!si mnataka 50/50!there is no free lunch
 


Kama mwanamke mpaka leo umebweteka una msubiria mwanaume akuletee hela pole

Hela za wanaume zina manyanyaso sana pamba upate chako ujivunie usikae kumtegemea mwanaume akupe pesa pleas amkeni

Kuna wanawake mpaka hela ya pedi wanaomba kwa mwanaume ni aibu sana, inatakiwa ata mwanaume asijue siku yako ya hedhi lakini kuna baadhi yetu mnawaambia et kisa mpenzi nitamwambie alie nioa tu lakini sio hawa wa muda mfupi

Ni hilo tu
Utakuwa ni singo Maza wewe
 
Kuhudumia mwanamke kunapunguza magonjwa yasiyoambukiza. We kaa na yule anayejihudumia uone anavyojigamba sebuleni.
 
✌️

Kama mwanamke mpaka leo umebweteka una msubiria mwanaume akuletee hela pole

Hela za wanaume zina manyanyaso sana pamba upate chako ujivunie usikae kumtegemea mwanaume akupe pesa pleas amkeni

Kuna wanawake mpaka hela ya pedi wanaomba kwa mwanaume ni aibu sana, inatakiwa ata mwanaume asijue siku yako ya hedhi lakini kuna baadhi yetu mnawaambia et kisa mpenzi nitamwambie alie nioa tu lakini sio hawa wa muda mfupi

Ni hilo tu
✌️

Kama mwanamke mpaka leo umebweteka una msubiria mwanaume akuletee hela pole

Hela za wanaume zina manyanyaso sana pamba upate chako ujivunie usikae kumtegemea mwanaume akupe pesa pleas amkeni

Kuna wanawake mpaka hela ya pedi wanaomba kwa mwanaume ni aibu sana, inatakiwa ata mwanaume asijue siku yako ya hedhi lakini kuna baadhi yetu mnawaambia et kisa mpenzi nitamwambie alie nioa tu lakini sio hawa wa muda mfupi

Ni hilo tu
Hii ni redflag.
Usifunge pingu za maisha na mwanamke wa aina hii.
Financial independence of women is a highest form of Satanism.
Mwanamke akikuzidi pesa hatakuheshimu,hatakusikiliza na mwisho hatokutii na kibaya zaidi atataka kuchukua majukumu ya kuwa kichwa cha familia, ndo yale ya kutoka nyumbani bila ya kuaga.
Hali ikiendelea tena, anaanza kuchepuka kutafuta mwanaume Bora zaidi yako.
Mwanamke anapaswa amtegemee mume wake kwa kila kitu kuanzia pesa, mapenzi na malezi, mwanaume ni leader.
Mwanamke akimsaliti mwanaume Kwa kutosimama kumhudumia, yuko sahihi sana.
Akitaka kufungua biashara, msapoti atakuheshimu sana alafu uwe kiongozi katika hiyo biashara hata kama ni indirectly, yaani uongoze mwelekeo wa kila kitu mwanamke anachotaka kufanya.
Katika ndoa hakikisha unamzidi mkeo kwa Kila kitu au mfanano uwepo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom