Ni wakati wa kutomtegemea Mwanaume

Ni wakati wa kutomtegemea Mwanaume

Ushauri mzuri ila hela ya mwanaume tamu bhana. Yaani hata kama umemzidi kipato bado akikupa yake ni tamu sana yaani. Tutafute hela ila kuhudumiwa raha jamani.
Wewe ndo mwanamke sasa, mwenye haiba za kike.

Sio dume jike kama mleta uzi.
 
Kama mwanamke mpaka leo umebweteka unamsubiria mwanaume akuletee hela pole.

Hela za wanaume zina manyanyaso sana pamba upate chako ujivunie usikae kumtegemea mwanaume akupe pesa please amkeni.

Kuna wanawake mpaka hela ya pedi wanaomba kwa mwanaume ni aibu sana, inatakiwa ata mwanaume asijue siku yako ya hedhi lakini kuna baadhi yetu mnawaambia et kisa mpenzi nitamwambie alie nioa tu lakini sio hawa wa muda mfupi.

Ni hilo tu.
Kwa kweli mie niache tu nimtegemee
 
Tambua kuwa iyo kitu ipo nature huwezi pingana na iyo nature ndio mana mungu alikuumba uwe mwanamke. Kuacha kutoa huduma kwa mwanamke ni ngumu sana hata kama mwanamke anafanya kazi lazima kidume kitoe mahitaji fulani fulani kwa mwanamke wake.

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
When a Man pays his bills it's normal.

But when a woman pays her bills,
She is a strong woman, super woman, independent lady, fighter , Queen of the jungle, Boss lady ,Hustler, self love,

Yani sifa zote Kedekede ni zake

Na baada ya hapo "Feminism" huanza.
Iron lady, katapila, kombora, guruneti, kimondo, uviko
Yote ya kutisha yake
 
Kama mwanamke mpaka leo umebweteka unamsubiria mwanaume akuletee hela pole.

Hela za wanaume zina manyanyaso sana pamba upate chako ujivunie usikae kumtegemea mwanaume akupe pesa please amkeni.

Kuna wanawake mpaka hela ya pedi wanaomba kwa mwanaume ni aibu sana, inatakiwa ata mwanaume asijue siku yako ya hedhi lakini kuna baadhi yetu mnawaambia et kisa mpenzi nitamwambie alie nioa tu lakini sio hawa wa muda mfupi.

Ni hilo tu.
Lamkosaji tu mwanamke kumtegemea mwanaume ni maumbile yako hivio mkikosa wanaume mnaanza kuwa ponda hovio
 
Ushauri mzuri ila hela ya mwanaume tamu bhana. Yaani hata kama umemzidi kipato bado akikupa yake ni tamu sana yaani. Tutafute hela ila kuhudumiwa raha jamani.
Safi sana achana na huyo mshamba limbukeni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom