Tena unatelza vizuri na ukizama chumvini unatoka uso una kuwa kama wa simba dume anamla swala🤣🤣🤣🤣Ewaah muhimu sana hiyo kitu .
Tena unatelza vizuri na ukizama chumvini unatoka uso una kuwa kama wa simba dume anamla swala
Wewe ndo mwanamke sasa, mwenye haiba za kike.Ushauri mzuri ila hela ya mwanaume tamu bhana. Yaani hata kama umemzidi kipato bado akikupa yake ni tamu sana yaani. Tutafute hela ila kuhudumiwa raha jamani.
BuzahiUshauri mzuri ila hela ya mwanaume tamu bhana. Yaani hata kama umemzidi kipato bado akikupa yake ni tamu sana yaani. Tutafute hela ila kuhudumiwa raha jamani.
Kwa kweli mie niache tu nimtegemeeKama mwanamke mpaka leo umebweteka unamsubiria mwanaume akuletee hela pole.
Hela za wanaume zina manyanyaso sana pamba upate chako ujivunie usikae kumtegemea mwanaume akupe pesa please amkeni.
Kuna wanawake mpaka hela ya pedi wanaomba kwa mwanaume ni aibu sana, inatakiwa ata mwanaume asijue siku yako ya hedhi lakini kuna baadhi yetu mnawaambia et kisa mpenzi nitamwambie alie nioa tu lakini sio hawa wa muda mfupi.
Ni hilo tu.
Iron lady, katapila, kombora, guruneti, kimondo, uvikoWhen a Man pays his bills it's normal.
But when a woman pays her bills,
She is a strong woman, super woman, independent lady, fighter , Queen of the jungle, Boss lady ,Hustler, self love,
Yani sifa zote Kedekede ni zake
Na baada ya hapo "Feminism" huanza.
Mwanamke akisha shika hela zake anaona haitaji tena kuwa na Mwanaume...Iron lady, katapila, kombora, guruneti, kimondo, uviko
Yote ya kutisha yake
Lamkosaji tu mwanamke kumtegemea mwanaume ni maumbile yako hivio mkikosa wanaume mnaanza kuwa ponda hovioKama mwanamke mpaka leo umebweteka unamsubiria mwanaume akuletee hela pole.
Hela za wanaume zina manyanyaso sana pamba upate chako ujivunie usikae kumtegemea mwanaume akupe pesa please amkeni.
Kuna wanawake mpaka hela ya pedi wanaomba kwa mwanaume ni aibu sana, inatakiwa ata mwanaume asijue siku yako ya hedhi lakini kuna baadhi yetu mnawaambia et kisa mpenzi nitamwambie alie nioa tu lakini sio hawa wa muda mfupi.
Ni hilo tu.
Safi sana achana na huyo mshamba limbukeniUshauri mzuri ila hela ya mwanaume tamu bhana. Yaani hata kama umemzidi kipato bado akikupa yake ni tamu sana yaani. Tutafute hela ila kuhudumiwa raha jamani.
Wewe hapo ulipo unakula hela zetuZimewapumbaza
Hilo dunga nyembe limekosa mumeKama wanaume wenyewe wanatoa hela kiroho safi bila kuombwa tufanyaje.
Tena mwingine anatuma na ya kutolea