Ni wakati wa kutomtegemea Mwanaume

Ni wakati wa kutomtegemea Mwanaume

Mwanamke kama huyu ndo uoe aisee kazi unayo, halafu mwanamke anaejiheshimu huwezi kuta anapayuka hivi, wa hivi ni hawa makurubambe ya mjini
Makurubambe au singomaza ndio wanajifanya kuwa na viharakati kama hivi
 
Kama ulipewa ukasimangwa ni wewe,

Hakuna mwanaume ambaye ahongi tatizo ni kipato tu ,

Ladies kama zipo omba na omba tena usijejifanya mtakatifu wakati rohoni unazitamani na utagundua siku mwenzio kumbe analipiwa bills zote.
 
Naomba usimsikilize mleta mada tafadhali.Threader,naitwa tena threader acha Ukorofi.Nisamehe ila nikihudumiwa I feel am a real woman....nisipohudumiwa I feel am a feminist.....
 
Sasa wengine tunapenda teleza wakati wa period hivyo demu lazima aseme ili wakati huo tegegedane
Sio vyema mimi sikufunzwa ivyo
Niliambiwa anae takiwa kujua ni mumeo tu
 
Mwanamke kama huyu ndo uoe aisee kazi unayo, halafu mwanamke anaejiheshimu huwezi kuta anapayuka hivi, wa hivi ni hawa makurubambe ya mjini
Lazima tusem ukweli
 
W
Wazo zuri but ni Wajibu wa Mwanaume kumhudumia Mwanamke kwa kila hitajio lake nasio mpaka aombwe..haijilishi Mwanamke ana pesa au hana

Kuna Wanaume wanajali jaman acha tu hawaombwi wanajua kutimiza wajibu wao mpaka raha yaan

Pesa ya Mwanaume tamu sana
ewe peke tako umenielewa nini na maanisha
 
Kama wanaume wenyewe wanatoa hela kiroho safi bila kuombwa tufanyaje.

Tena mwingine anatuma na ya kutolea
Mimi naongelea wale wanawake ambao hawataki kuujisumbua wanakaa tu kumtegemea mwanaume yaani kuna rafiki yangu kasomeshwa ana vyeti mwanaume kamwambia asifanye kazi mwanaume wenyewe papatu papatu
 
Naomba usimsikilize mleta mada tafadhali.Threader,naitwa tena threader acha Ukorofi.Nisamehe ila nikihudumiwa I feel am a real woman....nisipohudumiwa I feel am a feminist.....
Sima tena cute utaelewa nini na maanisha
 
UMesema vyema sana pesa ya mwanaume asie na mapenzi nawewe ina masimango sana ...... ila honestly kuna wakati mtu unawaza upate tu mume sijui jamaa mwenye kujua nini afanye awe responsible 100% upumzike yaani tunachoka basi tu 😁😁
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom