Leo mkuu kapiga simu redio Clouds na kusema yake machache na kuwapongeza watendaji wa ATCL na wengineo kwa kazi nzuri wanaoifanya. Hii inamaanisha Mh. Rais ni msikilizaji mzuri wa radio hii na inavyoonekana amevutiwa na ubunifu wao katika kuandaa vipindi.
Ni wazi kuwa kule kwingine hakuna mvuto na ubunifu na hii inaashiria kuwa waliopewa dhamana si wabunifu. Sasa kwanini waendelee kukalia hivyo vyeo?
Dkt. Rioba jipime kabla hujapimwa!
HERI YA MWAKA MPYA
Ni wazi kuwa kule kwingine hakuna mvuto na ubunifu na hii inaashiria kuwa waliopewa dhamana si wabunifu. Sasa kwanini waendelee kukalia hivyo vyeo?
Dkt. Rioba jipime kabla hujapimwa!
HERI YA MWAKA MPYA