Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 38,153
- 47,229
Sio kila biashara au kazi inapaswa kulipiwa kodiMimi nacho ona walipe kodi na wenyewe si biashara wanafanya.
Sio kila biashara au kazi inapaswa kulipiwa kodiMimi nacho ona walipe kodi na wenyewe si biashara wanafanya.
Ndiyo maana watu wanataka hiyo biashara irasimishwe ili walipe kodiSio kila biashara au kazi inapaswa kulipiwa kodi
hahahahaha komaeni tuHi biashara sasa imekua holela sana, yani hawa wadada wanaamua popote kambi, mtaani imekua kero sana.
Sehemu haina baa wala nini lakini wanamua kuchukua nyumba na kuweka kambi.
Nimeshangaa kukuta wadada wanaojiuza kinyerezi mbuyuni na segerea chama sehemu ambayo haina baa na pako kimya ni makazi ya watu, tena saa tatu tayari wako barababarani.
Ku pretend hili suala halipo, ni kuweka vichwa vyetu kwenye mchanga huku miili yote iko nje.
Ni vema sasa hawa watu wawe na maeneo maalum ya mambo yao, watuachie mitaa /maeneo ya makazi. Si jambo jema kabisa.
Hata ni mtaa moja basi wapeni wakae
Kujiuza ni tabia na sio changamoto ya maishaHili suala limekithiri sana, na wengi wao husema changamoto za kimaisha
Pia wanaofanya ivyo ni ma-single mother. 🥲
Wangekuwa hawapendi wasingejiuzaUnaakili ndogo kama tunda za ubuyu,hiyo serikali imeshindwa kutengeneza ajira Kwa vijana wake,au mazingira ya kujiajiri,hakuna binadamu yoyote anayependa kujiuza
Sio kila biashara iliyo rasmi inalipa au inapaswa kulipa kodi.Ndiyo maana watu wanataka hiyo biashara irasimishwe ili walipe kodi
Kweli wangapi wana shida mtaani na hawajiuzi, hao wana tabia mbaya tu toka walikotoka!Kujiuza ni tabia na sio changamoto ya maisha
Wanakuwa wamevamiwa na pepo la ukahaba.Kweli wangapi wana shida mtaani na hawajiuzi, hao wana tabia mbaya tu toka walikotoka!
Inatakiwa ilipiwe niniSio kila biashara au kazi inapaswa kulipiwa kodi
Na vijana wako busy hapa , wanaomba kujua locationUmemaliza kila kitu.
Hivi wewe jamaa si mtu mzima?Yes najua na Mimi nitawatafuta baada ya ramadhani ila sitaki mishangazi ya 2004 nataka watoto wa 2006
Huwajawahi kufika wewe, ni vitoto kabisa, wengine hata 20 sijui kama wamefikaIla ni mabibi namba A choka mbayaa
Asante sanaChanika mwisho One point Bar
kino pale ukitokea mnyamla kabla ya kwa robi wani ni mapema tu tena pembeni wanauza ftari afu wao wako kwa mbele kwenye uwanja alooo. Kazi sanaa. Afrika sana kumepoa siku hizi. Ilikuaga sa12 tu jion hata jua halijapotea, wako kama wote. Vita ngumu hii, ukute hata mkuu nae na kelele zile kumbe ni mteja wao tu.Hi biashara sasa imekua holela sana, yani hawa wadada wanaamua popote kambi, mtaani imekua kero sana.
Sehemu haina baa wala nini lakini wanamua kuchukua nyumba na kuweka kambi.
Nimeshangaa kukuta wadada wanaojiuza kinyerezi mbuyuni na segerea chama sehemu ambayo haina baa na pako kimya ni makazi ya watu, tena saa tatu tayari wako barababarani.
Ku pretend hili suala halipo, ni kuweka vichwa vyetu kwenye mchanga huku miili yote iko nje.
Ni vema sasa hawa watu wawe na maeneo maalum ya mambo yao, watuachie mitaa /maeneo ya makazi. Si jambo jema kabisa.
Hata ni mtaa moja basi wapeni wakae
Unapita na watoto (wa umri gani?) wako au wazazi usiku wote huo unaenda wapi? Wewe kama wewe ndio unaeona ni jambo baya sana. Wenzio kwao hiyo ni fursa ya kuchagua bidhaa iliyo bora zaidi. 😁 Ni vizuri wewe na wenzako msiohusika piteni njia nyingine ili msibughudhi biashara za watu na nyie pia msikwazike.Unajua kwa mtaani yani sehemu za makazi ni jambo la aibu sana, unapita na watoto wako au wazazi ni jambo baya sana
Huwajawahi kufika wewe, ni vitoto kabisa, wengine hata 20 sijui kama wamefika
Serikali i officilize tu tupate na kodi.. wafungiwe meter kwenye vikojoleo ili kujua viwango vyao vya matumizi.Unapita na watoto (wa umri gani?) wako au wazazi usiku wote huo unaenda wapi? Wewe kama wewe ndio unaeona ni jambo baya sana. Wenzio kwao hiyo ni fursa ya kuchagua bidhaa iliyo bora zaidi. Ni vizuri wewe na wenzako msiohusika piteni njia nyingine ili msibughudhi biashara za watu na nyie pia msikwazike.