Habari wana JF,
Nimejiuliza sana hivi kwanini Movies zetu za kibongo na series zetu hazipendwi kama hao Waturuki, wakorea, wafilipino, wahindi etc?
Kwangu mimi nimepitia tamthiliya na muvi mbali mbali za kibongo na kugundua kasoro zifuatazo:
1. Zinakosa uhalisia ,uhalisia wa kimatukio, wahusika na kiutaalamu.
2. Wanakosea Muendelezo wa matukio, Mtu kavaa hivi akitokea sehemu nyingine unaona kuna tofauti.
3. Teknolojia duni
Ni vitu gani vingine Bongo movies wanakwama tuwasaidie?
Nimejiuliza sana hivi kwanini Movies zetu za kibongo na series zetu hazipendwi kama hao Waturuki, wakorea, wafilipino, wahindi etc?
Kwangu mimi nimepitia tamthiliya na muvi mbali mbali za kibongo na kugundua kasoro zifuatazo:
1. Zinakosa uhalisia ,uhalisia wa kimatukio, wahusika na kiutaalamu.
2. Wanakosea Muendelezo wa matukio, Mtu kavaa hivi akitokea sehemu nyingine unaona kuna tofauti.
3. Teknolojia duni
Ni vitu gani vingine Bongo movies wanakwama tuwasaidie?