Ni vitu gani vinavyochochea ugomvi hapa jukwaani...?

Ni vitu gani vinavyochochea ugomvi hapa jukwaani...?

JF imeharibika hivi karibuni baada ya kuvamiwa na mashoga ambayo yanataka kutangaza ushoga wao humu kwa nguvu,ukiyapiga vita ndio yanaanzisha ugomvi na matusi,

Sasa hivi mashoga kibao yamepigwa ban,unaweza kuona kuna utofauti mkubwa sana kati ya sasa na hapo mwanzo humu JF kwenye issue ya amani,

Sasa hivi ni karibu siku 4 au 5 kumekua na amani kubwa sana JF,na mada zinajadiliwa bila ugomvi coz kuna mashoga yamepigwa ban.
😂😂😂😂 mbona kama kweli?
 
Unakuta mtu anatumia user name ya member wa Jf kuwasilisha kiungo fulani cha Mwanamke,muhanga mkubwa wa tabia hii ni member anaye tumia ID ya Makebo.
Hii imeniathiri mpaka mimi, najikuta natumia hiyo id kumaanisha matako. Na wala sifurahii ila mazingira ya humu yamenifanya nione kama ni synonym yake. Vijana waache kuchafua majina ya watu. Naunga mkono hoja ✊.
 
Hii imeniathiri mpaka mimi, najikuta natumia hiyo id kumaanisha matako. Na wala sifurahii ila mazingira ya humu yamenifanya nione kama ni synonym yake. Vijana waache kuchafua majina ya watu. Naunga mkono hoja ✊.
Usichafue ID ya mtu mkuu coz hata wewe hutopenda mtu achahafue ID yako,
Hilo kundi la kuchafua ID's za watu ni kundi la michicha mwiba,jaribu kua mbali na tabia zao.
 
Kuzua zua ma ugomvi humu ina reflect maisha halisi ya members humu.

Kuna mtu hajisikii raha asipopandisha kisukari. Yaani hawezi kupitisha siku pasipo kumtukana mtu au kuzua ugomvi wa maksudi.

Halafu wengi wana stress za kukosa ajira, manyanyaso sehemu ya kazi/makazi na hata ndoa so anaamua aje ateme nyongo humu pindi mtu anapomcharua, utaoga matusi mpaka ujute ku quarrel na hiyo id.

Kingine ni ujana na ujuaji wa matumizi ya fake ID.
 
AFYA YA AKILI

KAZI MAALUM HAMNA

ULIMBUKENI

MIHEMUKO KULIKO LOGIC

UMASIKINI

STRESS

TRAUMA

JF NDIO BABA YENU, JF NDIO MAMA YENU.

MNAJICHUKIA KATIKA UHALISIA NA SEHEMU YA KUDONDOSHA MAKASIRIKO NI HUMU JF

MNATENGENEZA VINYONGO VYA MITANDAO UKIWA NYUMA YA ID ULIOFICHA UTAMBULISHO HALISIA

UNAKUTA UNAFUATILIA KIDUME MWENZAKO 24 HRS ILI UMUITE SHOGA NA MAJINA YOTE ILI UFAIDIKE NA NINI HASWA? UNAKUTA NDIE ANAELIPIA BILI DADA YAKO ALAFU DADA YAKO ANAKUKOPESHA PESA ZA BAANDO

HAMNA MAISHA, MASIKINI WA AKILI .
 
AFYA YA AKILI

KAZI MAALUM HAMNA

ULIMBUKENI

MIHEMUKO KULIKO LOGIC

UMASIKINI

STRESS

TRAUMA

JF NDIO BABA YENU, JF NDIO MAMA YENU.

MNAJICHUKIA KATIKA UHALISIA NA SEHEMU YA KUDONDOSHA MAKASIRIKO NI HUMU JF

MNATENGENEZA VINYONGO VYA MITANDAO UKIWA NYUMA YA ID ULIOFICHA UTAMBULISHO HALISIA

UNAKUTA UNAFUATILIA KIDUME MWENZAKO 24 HRS ILI UMUITE SHOGA NA MAJINA YOTE ILI UFAIDIKE NA NINI HASWA? UNAKUTA NDIE ANAELIPIA BILI DADA YAKO ALAFU DADA YAKO ANAKUKOPESHA PESA ZA BAANDO

HAMNA MAISHA, MASIKINI WA AKILI .
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

Ngoja vijana wenye stress waone hii komenti 😁
 
AFYA YA AKILI

KAZI MAALUM HAMNA

ULIMBUKENI

MIHEMUKO KULIKO LOGIC

UMASIKINI

STRESS

TRAUMA

JF NDIO BABA YENU, JF NDIO MAMA YENU.

MNAJICHUKIA KATIKA UHALISIA NA SEHEMU YA KUDONDOSHA MAKASIRIKO NI HUMU JF

MNATENGENEZA VINYONGO VYA MITANDAO UKIWA NYUMA YA ID ULIOFICHA UTAMBULISHO HALISIA

UNAKUTA UNAFUATILIA KIDUME MWENZAKO 24 HRS ILI UMUITE SHOGA NA MAJINA YOTE ILI UFAIDIKE NA NINI HASWA? UNAKUTA NDIE ANAELIPIA BILI DADA YAKO ALAFU DADA YAKO ANAKUKOPESHA PESA ZA BAANDO

HAMNA MAISHA, MASIKINI WA AKILI .
😁Aiseee nimesoma hii comment , bwna shmeji alikuwa kanituma maji ya kunywa, nimeyanywa mimi mwenyeww na nimeondoka bila kuaga,

Popote kambi.
 
Wakianzishaga ugomvi nagongaga like tu kwenye reply zao
 
Back
Top Bottom