Ni vitu gani vinavyochochea ugomvi hapa jukwaani...?

Ni vitu gani vinavyochochea ugomvi hapa jukwaani...?

JF imeharibika hivi karibuni baada ya kuvamiwa na mashoga ambayo yanataka kutangaza ushoga wao humu kwa nguvu,ukiyapiga vita ndio yanaanzisha ugomvi na matusi,

Sasa hivi mashoga kibao yamepigwa ban,unaweza kuona kuna utofauti mkubwa sana kati ya sasa na hapo mwanzo humu JF kwenye issue ya amani,

Sasa hivi ni karibu siku 4 au 5 kumekua na amani kubwa sana JF,na mada zinajadiliwa bila ugomvi coz kuna mashoga yamepigwa ban.
Nakubali.

Japo kuna mengine yana ID mpya ila yanajulikana.

Japo kwa sasa yana adabu.
 
Sijaona sababu ya msingi, ila mfano akatokea mtia nia hapo mbona watu wanakufanyia assignment tu. Mtaanza na likes za 🤩😍🥰 ➡️quotes➡️ PM➡️ watsup ➡️fanya taratibu bas babe.
😂😂😂😂, daaah.
 
Watu kumiliki ID's kumi kumi.

Moja anakutukana nyingine inakuja kumsapoti huyo mjinga anayetukana.
Moderator hii issue mnatakiwa muichukulie very serious,mtu kua na ID's nyingi ndio chanzo cha JF kupoteza maadili,

Pia imezuka tabia ya baadhi ya member kuchafua ID's au Username za watu wengine,hili jambo ni la hatari sana kwa mustakbali wa hii Forums,watu kama hawa wanatakiwa wapigwe life ban coz kuna siku,member watashindwa kuchangia humu,kisa User name zao zimechafuliwa,

Unakuta mtu anatumia user name ya member wa Jf kuwasilisha kiungo fulani cha Mwanamke,muhanga mkubwa wa tabia hii ni member anaye tumia ID ya Makebo.

Active Moderator Maxence Melo
 
Moderator hii issue mnatakiwa muichukulie very serious,mtu kua na ID's nyingi ndio chanzo cha JF kupoteza maadili,

Pia imezuka tabia ya baadhi ya member kuchafua ID's au Username za watu wengine,hili jambo ni la hatari sana kwa mustakbali wa hii Forums,watu kama hawa wanatakiwa wapigwe life ban coz kuna siku,member watashindwa kuchangia humu,kisa User name zao zimechafuliwa,

Unakuta mtu anatumia user name ya member wa Jf kuwasilisha kiungo fulani cha Mwanamke,muhanga mkubwa wa tabia hii ni member anaye tumia ID ya Makebo.

Active Moderator Maxence Melo
Kabisa na wanaofanya hivyo wanajulikana.

Mimi walinianzishia huo ujinga wao wa kugeuza ID yangu nikawa nayapelekea moto.

Yamepoa sasa hivi baada ya wengine kula ban.
 
Back
Top Bottom