😂😂😂😂,yaani wanakuwa kati,coca sijui yupo wapi kaadimika.
mi pia😄😄😄 sema ukiwa unaona mtanange usiache kuniitaDaah,Huwa nakaaga pembeni natizama mtanange🚶♀️🚶♀️
Na wakishajuana kwa ID hii na hii, wanakuja kupingana kwa ID zingine.Umesema kweli,wanaogombanaga wanajuana.
Sana,wengine tabia zetu hazisoneki wallah.Mtu wa hivo hata akiwa mshkaji wako offline huwezi kumjua tabia zake.
Jf🙌Na wakishajuana kwa ID hii na hii, wanakuja kupingana kwa ID zingine.
Ila kwa sababu wameshajuana "touches" zao, ndipo sasa mabifu yanapoanza, ndiyo maana imekuwa rahisi kwao kujua ID fulani na fulani ni za mtu fulani.
Sawa,navizia kule wakianzisha tu nakuita.mi pia😄😄😄 sema ukiwa unaona mtanange usiache kuniita
😄😄😄😄 sawa mumy,,, haya nipe story ya harusi ya yule tajeer wa katoro, iliendajeSawa,navizia kule wakianzisha tu nakuita.
Yaani wanaanzaga kuyazua ata ya mwaka wa nyuma😂mi pia😄😄😄 sema ukiwa unaona mtanange usiache kuniita
hadi wanakereka na kuja jf kuleta vurugu kisa wamesikia dada zao wanavyopelekewa miotoKwaio vijana wanasikia vilio vya kugugumia dada zao
Jidanganye.Sana,wengine tabia zetu hazisoneki wallah.
Mmmhhh mhhh ndio zenu eeh.Sawa,navizia kule wakianzisha tu nakuita.
Sema ni upumbavu tu. Na hawa ndiyo wanaoiharibu jf. Watu tunafahamiana sana humu jf, na wengine mpaka wamejipatia waume na wake humuhumu. Ila kuna ka kikundi kanajifanya much-know sana siku za hivi karibuni.Jf🙌
Jf kucheza Kwa stepu🚶♀️
yani huwa ni hatari mno😄 bado na tu chumvi tunaongezwa KidogoYaani wanaanzaga kuyazua ata ya mwaka wa nyuma😂
Hivi kusoma juu juu ndio kukoje?kuna uzi wa jana niliusoma juu juu maana nilikua na uchovu wa usingizi,
ugomvi unaanzaga kama hivi😄😄Hivi kusoma juu juu ndio kukoje?
Au unakua unasoma kwa jicho moja tu,huku jicho lingine ukiwa umelifumba?
Aaah,harusi haikuwa na maajabu😄😄😄😄 sawa mumy,,, haya nipe story ya harusi ya yule tajeer wa katoro, iliendaje
Kweli,Kuna waliooana humuSema ni upumbavu tu. Na hawa ndiyo wanaoiharibu jf. Watu tunafahamiana sana humu jf, na wengine mpaka wamejipatia waume na wake humuhumu. Ila kuna ka kikundi kanajifanya much-know sana siku za hivi karibuni.
Na hawa ni wale wanaoigeuza jf kuwa their personal chatting platform. Ni vizuri wakaenda kwenye platform kama Whatsapp, Facebook nk wakawe active na malumbano ya kipumbavu kule ila siyo hapa.
Na wajue wao sio wa kwanza kufahamiana in person humu jf. Nakumbuka miaka fulani members wa jf wanaofahamiana walikuwa na Whatsapp Groups zao. Ilikuwa wakiona wanataka kuharibu hapa jf, basi unaona wanaalikana wakutane kwenye platforms zingine huko wakaendelee na personal issues zao huko.
Burudani.Mmmhhh mhhh ndio zenu eeh.