Hakuna😂niko hapa kusubiri watakao gombana kwenye huu uzi 😎
Hasa kwa wanawake
Muda mwingine mtu mgomvi ni mgomvi tu kikubwa mpe jukwaa tu.Kujuana kumezidi. Ukiangalia wengi waliozinguana recently ni wale ambao wameshafahamiana in real life.
kuna uzi wa jana niliusoma juu juu maana nilikua na uchovu wa usingizi, ulikua unafukua makaburi ya selfkia hivi uliishaje? haukuibuka ugomvi kweli🤭😄😄Hakuna😂
Hivi huo mpira mkishapasiana mnajuaje vijana?Inaeleweka Vijana humu mnapasiana sana mipira humu, hasira na makasiriko baada ya kupasiana mipira yanaletwa humu kwa njia ya comment.
Mmh wengine kutusoma tabia zetu Kwa maandishi ni ngumu.Muda mwingine mtu mgomvi ni mgomvi tu kikubwa mpe jukwaa tu.
Jukwaani ambacho hakijulikani ni majina yako tu lakini tabia za mtu unaweza kuziona kupitia anavyojieleza.
Ni kukosa kujielewa tu, mambo yenu personal hayahusiani na mijadala inayofanyika humu. Watu wakiwezs kuweka personal relationships zao pembeni wakaingia humu wakiwa neutral sidhani kama magomvi yatakuwepo.Kujuana kumezidi. Ukiangalia wengi waliozinguana recently ni wale ambao wameshafahamiana in real life.
Mkishafahamiana in personal, kinachofuata ni dharau na kupingana kwenye nyuzi zenu maana mengine tunayoandika siyo uhalisia wetu.
Hili jukwaa ni la majadiliano kwa hoja, mkishaleta personal issues tu, baaasi.
Wanang'atana masikio, vijana hawana kaba 🤪Hivi huo mpira mkishapasiana mnajuaje vijana?
😂😂😂,yaani sema kumepoa wale wa kupenda mashengesha wapo bize🚶♀️🚶♀️kuna uzi wa jana niliusoma juu juu maana nilikua na uchovu wa usingizi, ulikua unafukua makaburi ya selfkia hivi uliishaje? haukuibuka ugomvi kweli🤭😄😄
Kwaio vijana wanasikia vilio vya kugugumia dada zaoVijana kuishi kwa shemeji zao ndio chanzo kikubwa jf kuzorodha kimaadili. Achana nayo
😄😄 wakirudi tutaendelea na mlipo ishia😂😂😂,yaani sema kumepoa wale wa kupenda mashengesha wapo bize🚶♀️🚶♀️
Wapuuzi kabisa😂😂...ukute wanaambiana nenda mimi tayariWanang'atana masikio, vijana hawana kaba 🤪
Stress pia za maisha,watu wanataka yanayowafurahisha wao tuu!Ni vitu gani vinavyochochea ugomvi hapa jukwaani..?
binapfsi naona NI..?
Kukosoa hoja ya mtu yani mtu ka comment harafu kuna anaekosoa commen ya mwenzie kwa matusi
Kuchangia mada ukisema hii mada ya hovyo wakati wanaounga mkono hoja ni wengi wewe unakuja kukosoa kwa matusi
Nk
we unaona ni kitu gani kinachangia matusi ugomvi n.k humu jukwaani..?
Daah,Huwa nakaaga pembeni natizama mtanange🚶♀️🚶♀️😄😄 wakirudi tutaendelea na mlipo ishia
Mtu wa hivo hata akiwa mshkaji wako offline huwezi kumjua tabia zake.Mmh wengine kutusoma tabia zetu Kwa maandishi ni ngumu.
Kinachotokea ni mimi na wewe tukifahamiana kwa ID fulani, ukiandika kitu humu ndani nakuja kukuamshia kwa ID nyingine (parody).Ni kukosa kujielewa tu, mambo yenu personal hayahusiani na mijadala inayofanyika humu. Watu wakiwezs kuweka personal relationships zao pembeni wakaingia humu wakiwa neutral sidhani kama magomvi yatakuwepo.