Ni vitu gani vinavyochochea ugomvi hapa jukwaani...?

Ni vitu gani vinavyochochea ugomvi hapa jukwaani...?

Kujuana kumezidi. Ukiangalia wengi waliozinguana recently ni wale ambao wameshafahamiana in real life.

Mkishafahamiana in personal, kinachofuata ni dharau na kupingana kwenye nyuzi zenu maana mengine tunayoandika siyo uhalisia wetu.

Hili jukwaa ni la majadiliano kwa hoja, mkishaleta personal issues tu, baaasi.
Ushamaliza
 
si tunajuana mimi na wew😉😄

haiwezi bwana, da kidoti namfaham vizuri tu ye anampend zake shadow, sasa wew endelea hivyo hivyo kujidanganya😅😅
Huwezi kunikatisha tamaa,umesha chelewa,penzi letu limesha ota mizizi,
Ila wewe unaweza kua mchepuko wangu,usikae tu mbali ili nisije kukusahau.
 
Kinachotokea ni mimi na wewe tukifahamiana kwa ID fulani, ukiandika kitu humu ndani nakuja kukuamshia kwa ID nyingine (parody).

Lakini kwa sababu unajua touches zangu, utagundua tu huyu ni fulani amenijia kwa ID tofauti.

Na ndiyo maana watu kwa sasa wanajua ID hizi na hizi ni za fulani. Haujiulizi wamejuaje?
Ndio maana huwa nasema usiombe kukutana na mpumbavu humu, utajuta...
 
Back
Top Bottom