Mzigua_255
JF-Expert Member
- Jun 25, 2026
- 822
- 1,680
- Thread starter
- #121
Ukiona uzi uzi una reply 200 minutes 30 ago. pitia chap utakuta
🤣🤣🤣kwa hiyo mnajuana kwa majina na picha au sio.?Mimi nitoe kwenye hayo mambo 😂😂😂
Mbona hizo taarifa huwa tunazipata tu.
Nijuane na hawa vijana wa kuanzia 2020 ? 😂😂😂🤣🤣🤣kwa hiyo mnajuana kwa majina na picha au sio.?
Eti kweli unakaza Ndonga kuthibitisha anakukera Inasikitisha sana 🤭watu wako serious sana na ugonvi kwa mtu ambae hata hamjui anafananaje
Kweli unakuta mwanaume mzima amekamilika anakuja JF kuanza kubadilisha majina ya watu kuwa viungo vya uzazi vya mwanamke na other body parts.UNAKUTA UNAFUATILIA KIDUME MWENZAKO 24 HRS ILI UMUITE SHOGA NA MAJINA YOTE ILI UFAIDIKE NA NINI HASWA?
Huu utaratibu unafaa sana watu wakizinguana wapeane location wakamalizane tofauti zaoKuna wale walionzaga ugomvi humu wakapeana namba pm wakaenda kuzichapa huko mtaani ila Mmoja alikimbia baada ya Kuona mwamba mtu wa mazoezi.
Ule uliwaacha watu hoi
Kwa nini ufutwe...?Mkuu huu uzi haujafutwa tu
Nakupenda mtoto wa mama yangu!Nijuane na hawa vijana wa kuanzia 2020 ? 😂😂😂
Nipo busy na majukumu yangu binafsi ukizingatia Dada yangu unazeeka unahitaji back up ya mdogo wako apa
Nakupenda pia ♥️💕Nakupenda mtoto wa mama yangu!
Achana na uzi,upendo wako naujua mdogo wangu kipenzi!Nakupenda pia ♥️💕
Hata nikiamua kukuanzishia uzi nitaonekana najipendekeza tu.
Upo moyoni Dada
Huo ubuyu mbona hunipi 😂😂😂😂Inaeleweka Vijana humu mnapasiana sana mipira humu, hasira na makasiriko baada ya kupasiana mipira yanaletwa humu kwa njia ya comment.
Doooh mambo ya Vijana humu yana balaa , siwezi kusema lolote maana nitakuwa nimejisaliti.Huo ubuyu mbona hunipi 😂😂😂😂
Sasa Cocastic si yupo mwambie akupe ubuyu kamili, kumbe huko pm wanatumiana mpaka tupu zao ? 🤣Huo ubuyu mbona hunipi 😂😂😂😂
😀😀😀😀WeeeeSasa Cocastic si yupo mwambie akupe ubuyu kamili, kumbe huko pm wanatumiana mpaka tupu zao ? 🤣
Mbona huko selfika ameandika sana aisee watu wana mambo ya ajabu halafu hii mitandao inatunza mambo. Baadaye umeshakuwa public figure halafu mihemko ya mitandao nayo inakuja kukuharibia😀😀😀😀Weeee